Ngowi achaguliwa kuwa diwani Kirua Vunjo Magharibi

Moshi. Msimamizi msaidizi wa uchaguzi wa Kata ya Kirua Vunjo Magharibi, Daniel Maeda amemtangaza Heriel Ngowi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa diwani wa kata hiyo, baada ya kupata kura 3,536 za ‘Ndiyo’ kati ya kura 4,358 zilizopigwa.Uchaguzi huo umefanyika baada ya kusogezwa mbele kufuatia kifo cha aliyekuwa mgombea udiwani kupitia CCM, John Kessy, aliyefariki…

Read More

Doyo aibukia NLD, ateuliwa kuwa Katibu Mkuu

Dar es Salaam. Aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Doyo Hassan Doyo ameibukia kwenye chama cha National League for Democracy (NLD), akieleza sababu za kuhama chama hicho akiwa mmoja wa waasisi wake. Doyo ambaye Juni 29, 2024 alishindwa kwa tofauti ya kura 51 na Shaban Itutu aliyepata kura 121 katika…

Read More

Tanzania ya watu wasomaji inawezekana

Dar es Salaam. Tanzania ni miongoni mwa nchi   zinazokabiliwa na changamoto kubwa ya kukosa utamaduni wa kujisomea. Pamoja na kwamba elimu ni moja ya nguzo kuu ya maendeleo, Watanzania wengi hawajaweka usomaji kuwa sehemu ya maisha yao ya kila siku. Kwa ujumla, tabia ya kusoma nchini imeendelea kudidimia kwa sababu mbalimbali, ikiwamo ukosefu wa miundombinu…

Read More

Waziri Mhagama, Awasha umeme Chihurungi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) Peramiho, akiwasha umeme katika kitongoji cha Shuleni kilichopo katika kijiji cha Chihurungi Halmashauri ya Songea. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama (Mb) Peramiho,akizungumza na wananchi wa Chihurungi na Parangu wakati wa ziara…

Read More

Mapato ya utalii yaongezeka kwa asilimia sita Serengeti

Serengeti. Hali ya utalii katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti imezidi kuimarika, huku mapato yake yakiongezeka kwa asilimia sita katika kipindi cha Oktoba mosi 2025 hadi Desemba 14, 2025. Mapato hayo ya utalii yamefikia Sh49.2 bilioni ikilinganishwa na Sh46.4 bilioni zilizokusanywa katika kipindi kama hicho mwaka jana. Hayo yameelezwa leo Alhamisi, Desemba 18, 2025, na…

Read More

CCM kuanza ziara ufutiliaji wa ahadi za siku 100

Dodoma. Zikiwa zimekaribia kutimia siku 100 tangu Chama cha Mapinduzi (CCM) kichukue madaraka, kwa awamu ya sita uongozi wa chama hicho umetangaza kuanza rasmi kazi ya ufuatiliaji wa ahadi za viongozi wake ikiwemo alizozitoa Rais. Mbali na hilo, chama hicho kikongwe barani Afrika kimewataka viongozi waliomaliza muda wao kustaafu kwa heshima ili waendelee kuwa msaada…

Read More