Mutale afichua siri Msimbazi | Mwanaspoti

WINGA Joshua Mutale amekuwa mtamu kama mcharo. Kwa wanaokumbuka wakati anatua Msimbazi kutoka Power Dynamos ya Zambia, jina lake lilibeba matumaini. Mutale maarufu kama Budo, aliingia kikosi cha Simba kama mmoja wa wachezaji waliotarajiwa kuleta mapinduzi msimu huu, lakini kama ilivyo kwa nyota wengi, safari yake haikuwa tambarare, hata hivyo kwa sasa ni kama gari…

Read More

Tuzo yampa jeuri  Mpole | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Pamba Jiji, George Mpole amefunguka kwa mara ya kwanza tangu arejee Ligi Kuu Bara akijiunga na timu hiyo ya Mwanza, akisema tuzo ya Nyota wa Mchezo dhidi ya Dodoma Jiji ni mwanzo wa kazi kubwa aliyojipanga kuifanya msimu huu, licha ya kukataa kujitabiria ufungaji Bora. Mpole aliyekosa mechi ya kwanza ya msimu huu…

Read More

Viboko shuleni bado pasua kichwa, WHO yaonya

Ripoti ya Shirika la Afya Duniani (WHO) imebaini kuwa adhabu ya viboko imesambaa kwa kiwango cha kutisha, ikiwakosesha usalama na haki takribani watoto 1.2 bilioni duniani kote.  Ripoti hiyo inaonesha kuwa watoto wanakumbana na adhabu ya viboko nyumbani,  huku hali ikiwa mbaya zaidi shuleni ambapo kwa nchi za Afrika takribani asilimia 70 wanafunzi wanapewa adhabu…

Read More

Bosi Mtibwa hesabu kali | Mwanaspoti

SIKU chache baada ya uongozi wa Mtibwa Sugar kumrejesha aliyekuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa timu hiyo, Swabri Aboubakar baada ya kikosi hicho kushuka daraja, bosi huyo ameanza kupiga hesabu kali kwa nia ya kurejesha heshima ya mabingwa hao wa zamani wa Ligi Kuu Bara 1999 na 2000. Swabri aliondolewa kikosini humo Desemba 29, mwaka jana…

Read More

Straika Stellenbosch aingiwa ubaridi, adai Simba ni hatari

Kwa mara nyingine macho na masikio ya wapenda soka yataelekezwa Zanzibar, Jumapili hii, pale Simba  itakapoumana na Stellenbosch ya Afrika Kusini katika mchezo wa nusu fainali ya kwanza ya  Kombe la Shirikisho Afrika utakaopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex. Katika kuelekea mchezo huo mshambuliaji wa Stellenbosch, Andre Ernest de Jong, raia wa New Zealand,…

Read More

Wafanyakazi wa kampuni ya Barrick Wameshiriki mbio za kimataifa za Kilimanjaro Marathon

Wafanyakazi wa kampuni ya Barrick nchini kwa mara nyingine wameshiriki mbio za kimataifa za Kilimanjaro Marathon zilizofanyika mjini Moshi mkoani Kilimanjaro na kujumuisha wadau mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi ikiwemo makampuni makubwa ya hapa. Kwa kusaidiwa na programu ya kampuni ya Barrick ya kuwataka Wafanyakazi kufanya mazoezi ya kujenga afya washiriki walimudu kukimbia…

Read More

Meridianbet Kuja na Meridian Bonanza Yenye Ushindi Mfululizo – Global Publishers

Katika zama hizi ambapo michezo ya kubashiri mtandaoni inazidi kuchukua nafasi kubwa kwenye burudani ya kidijitali, Meridianbet imezidi kujiimarisha zaidi kwa wateja wake kwani hivi sasa imeizindua Meridian Bonanza, mchezo wa kasino wa kisasa unaobeba msisimko, mikakati, na fursa za ushindi ambazo hazijawahi kushuhudiwa. Meridian Bonanza imeundwa kwa teknolojia ya kisasa inayoweka mchezaji katikati ya…

Read More