Kamwe: Msipoona mafuriko kesho, nipigeni makofi

Msemaji wa Yanga, Ally Kamwe ametoa ahadi nzito kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika, akisema kama Yanga isiposhinda kwa kishindo atakubali kupigwa makofi. Akizungumza klabuni hapo, Kamwe amewatoa wasiwasi mashabiki wa timu hiyo wenye wasiwasi na timu yao akisema mfumo uwanjani umeshakubali. Kamwe amesema wameshajaribu kila kitu kuelekea mchezo huo wa marudiano…

Read More

Diarra apewa kifaa cha kumzuia Fei Toto, Sopu

UNGUJA. Yanga inafanya mambo kama ipo Ulaya vile. Leo hii imewaacha watu wengi midomo wazi baada ya kutambulisha kifaa kipya cha mazoezi kwa makipa wao wakiongozwa na kipa namba moja, Djigui Diarra. Awali, Yanga ilitambulisha vifaa tofauti mazoezini ikiwemo ‘ball launcher’ ambacho kinatumika kama mbadala wa wachezaji kuwapigia makipa mashuti langoni. Kikosi hicho kinajiandaa na mchezo…

Read More

Majaliwa atembelea banda la Yas Nanenane

Dodoma. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametembelea banda la kampuni ya Yas katika Maonesho ya Kitaifa ya Wakulima (Nanenane) yanayoendelea kwenye viwanja vya Nzuguni jijini hapa. Akiwa katika banda hilo leo Agosti 4, 2025, Majaliwa alipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Mixx by Yas Kanda ya Kati, Charles Gasper kuhusu namna kampuni hiyo inavyowawezesha wakulima kupitia…

Read More

Wadau waitwa kuwekeza sekta ya mifugo Tanzania

Dar es Salaam. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amewaita wadau kuwekeza katika sekta za malisho, chanjo, maji ya mifugo na majosho, ili kuleta matokeo chanya katika sekta hiyo. Ulega ametoa wito huo leo Jumatatu Juni 24, 2024 katika uzinduzi wa taarifa ya 21 ya uchumi wa Tanzania iliyotolewa na Benki ya Dunia (WB),…

Read More

Serikali yaifungulia India fursa mpya ya uwekezaji nchini

Dar es Salaam. Serikali imewakaribisha wawekezaji kutoka India kuja kuwekeza katika uongezaji thamani wa mazao yanayopatikana nchini kwani malighafi zinapatikana kwa wingi, hivyo gharama za uzalishaji zitakuwa nafuu kwao. Hayo yamebainishwa leo Julai 15, 2025 jijini Dar es Salaam wakati wa jukwaa la biashara la Tanzania – India lenye lengo la kuwafungulia fursa zinazopatikana Tanzania…

Read More

RAIS MSTAAFU DKT.KIKWETE ASHIRIKI MIKUTANO YA KUBORESHA KILIMO

RAIS Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akiwa Mwenyekiti wa Kamati ya Tuzo ya Chakula Afrika (Africa Food Prize Committee) na Mjumbe wa Bodi ya AGRA, anashiriki Mikutano mbalimbali kuhusu uboreshaji wa kilimo barani Afrika, kuelekea kupitishwa kwa Programu ya Kuendeleza Kilimo Barani Afrika (CAADP 2026 – 2035), Kampala, nchini Uganda. Mikutano hii itafikia kilele kwa…

Read More

Kocha Morocco aita mashabiki CHAN ’24

KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars inayojiandaa na fainali za michuano ya Ubingwa kwa nchi za Afrika (CHAN) 2024, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amewaita mashabiki kujitokeza katika mechi za fainali hizo akisema kikosi hicho kipo freshi kwa vita hiyo inayoanza Agosti 2-30. Morocco aliyasema hayo mara baada ya kupata ushindi wa bao 1-0…

Read More