Polisi yawasaka waliosambaza taarifa askari kuporwa silaha, kuchomwa moto

Njombe. Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe limeanzisha msako aliyetengeneza video na kusambaza mtandaoni ikionyesha tukio la zamani ambalo askari walikwenda kutoa msaada kwa wananchi na kutengenezea taarifa ya uongo kwamba askari polisi amevamiwa na wananchi na kuporwa silaha kisha kuchomwa. Jeshi hilo mkoani Njombe, limekanusha taarifa hizo zilizosambazwa katika mitandao ya kijamii nchini zikiambatana…

Read More

MAADHIMISHO MIAKA 49 YA CCM: MNEC DODOMA AFUNGUA SHINA LA WAKEREKETWA JAMUHURI, APANDA MITI, AWEKA MKAZO MIKOPO KWA VIJANA.

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Dodoma (MNEC) Donald Mejetii, amesema serikali ya Chama Cha Mapinduzi imeamua kurasimisha ajira zisizotambuliwa ili ziwe rasmi, hatua inayolenga kuwawezesha vijana waliyojiajiri kujikwamua kiuchumi na kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya taifa. Akizungumza na wana-CCM wa Mkoa wa Dodoma mara baada ya kufungua Shina la Wakereketwa la CCM…

Read More

Wawili wachomwa moto Songwe wakidaiwa kuiba ng’ombe

Songwe.Watu wawili wameuawa na wananchi wenye hasira katika Kijiji cha Isalalo, wilayani Mbozi, kwa tuhuma za wizi wa ng’ombe wanane wanaodaiwa kuibwa wilayani Momba. Katika tukio hilo, wananchi wamechoma moto na kuteketeza gari aina ya Fuso lililokuwa limebeba mifugo hiyo, huku ng’ombe hao wakidaiwa kutoroshwa na watu wasiojulikana baada ya vurugu hizo kutokea. Kamanda wa…

Read More