Nyalusi aacha simanzi, viongozi Chadema, wananchi wamlilia

Iringa. Kifo cha Frank Nyalusi, aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa Jimbo la Iringa Mjini, kimeacha simanzi miongoni mwa wanachama wa chama hicho, viongozi wa kisiasa na wakazi wa Mkoa wa Iringa kwa ujumla. Nyalusi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, Septemba 19, 2025, akiwa hospitalini kwenye chumba cha wagonjwa wanaohitaji…

Read More

Yanga mwendo mdundo, yaizima Wiliete kwao

‘NO Aucho No problem!’ Ndivyo mashabiki wa Yanga kwa sasa wanatamba mtandaoni, baada ya kiungo mkabaji, Aziz Andabwile kugeuka lulu kikosini na kuendelea kuwapa raha pale jana alipofunga bao tamu wakati timu hiyo ikiizamisha Wiliete Benguela ya Angola kwa mabao 3-0. Katika mechi hiyo ya kwanza ya raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika…

Read More

Maswali kutekwa mwanafunzi, kuuawa na mwili kuchomwa

Mbeya. Aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Mzumbe ndaki ya Mbeya, Shairose Mabula ameuawa kikatili kisha mwili kuchomwa moto, tukio lililoibua simanzi na maswali lukuki. Mwili wa mwanafunzi huyo ukitarajiwa kuzikwa kesho Jumamosi, Septemba 20, 2025, baba yake mzazi, Dk Mabula Mahande, amesimulia tukio hilo huku akiliomba Jeshi la Polisi kuongeza nguvu kuwabaini na kuwakamata waliohusika….

Read More

AAFP yaahidi kupaisha bei ya karafuu hadi Sh50,000 kwa kilo

Pemba. Mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wakulima (AAFP), Said Soud Said, amesema maono yake ni kuleta mabadiliko, iwapo wananchi wakimchagua atahakikisha anabadilisha maisha ya Wazanzibari, hususan wakulima wa karafuu. Mgombea huyo ametoa kauli hiyo leo, Septemba 19, 2025, wakati akizungumza na viongozi, wananchi na wanachama wa chama hicho katika mkutano wa hadhara…

Read More

ishu ya Fadlu kuondoka iko hivi

BAADA ya dabi kumalizika na Simba kupoteza kwa mara ya sita mfululizo mbele ya Yanga, mjadala mkubwa kwa sasa ni kocha wa Wekundu wa Msimbazi, Fadlu Davids ikielezwa yupo mbioni kupigwa chini, lakini kumbe ukweli wa mambo wala sivyo ulivyo kama ilivyosambaa mtandaoni. Tangu jana jioni kumekuwa na taarifa kwamba huenda Fadlu asirejee na kikosi…

Read More

OMO aahidi kuwashirikisha wananchi kuinua uchumi Zanzibar

Pemba. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman, maarufu OMO, amesema Serikali atakayoiunda itahakikisha kila mwananchi wa Pemba anashiriki katika shughuli za kiuchumi ili kukuza maendeleo ya kisiwa hicho. Amesema wakazi wa Pemba hawatakiwi kufundishwa biashara, kwa sababu wana kipaji na uwezo, hivyo, Serikali ya ACT-Wazalendo itakayoundwa baada ya…

Read More

Ile ishu ya Fadlu kuondoka iko hivi

BAADA ya dabi kumalizika na Simba kupoteza kwa mara ya sita mfululizo mbele ya Yanga, mjadala mkubwa kwa sasa ni kocha wa Wekundu wa Msimbazi, Fadlu Davids ikielezwa yupo mbioni kupigwa chini, lakini kumbe ukweli wa mambo wala sivyo ulivyo kama ilivyosambaa mtandaoni. Tangu jana jioni kumekuwa na taarifa kwamba huenda Fadlu asirejee na kikosi…

Read More