Wanachama 11 wa Genge la Ulaghai la Ming Wanyongwa China
Wanachama 11 wa Genge la Ulaghai la Ming Wanyongwa China – Global Publishers Home Habari Wanachama 11 wa Genge la Ulaghai la Ming Wanyongwa China
Wanachama 11 wa Genge la Ulaghai la Ming Wanyongwa China – Global Publishers Home Habari Wanachama 11 wa Genge la Ulaghai la Ming Wanyongwa China
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akicheza pamoja na kikundi cha ngoma za asili cha Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kisutu mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), tarehe 29 Januari, 2026.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, ameonesha kukerwa na kitendo cha Mkuu wa Shule moja mkoani humo aliyerudisha nyumbani wanafunzi waliochelewa kuleta rimu baada ya shule kufunguliwa, akibainisha kuwa uamuzi huo umekosa hekima na busara. Akizungumza kuhusu hali ya lishe na upatikanaji wa chakula kwa wanafunzi shuleni, RC Kheri James amesema viongozi na…
Njombe. Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe limeanzisha msako aliyetengeneza video na kusambaza mtandaoni ikionyesha tukio la zamani ambalo askari walikwenda kutoa msaada kwa wananchi na kutengenezea taarifa ya uongo kwamba askari polisi amevamiwa na wananchi na kuporwa silaha kisha kuchomwa. Jeshi hilo mkoani Njombe, limekanusha taarifa hizo zilizosambazwa katika mitandao ya kijamii nchini zikiambatana…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akicheza pamoja na kikundi cha ngoma za asili cha Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kisutu mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), tarehe 29 Januari, 2026.
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Dodoma (MNEC) Donald Mejetii, amesema serikali ya Chama Cha Mapinduzi imeamua kurasimisha ajira zisizotambuliwa ili ziwe rasmi, hatua inayolenga kuwawezesha vijana waliyojiajiri kujikwamua kiuchumi na kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya taifa. Akizungumza na wana-CCM wa Mkoa wa Dodoma mara baada ya kufungua Shina la Wakereketwa la CCM…
Ishi Kidigitali Kwa Kupata Taarifa Muhimu Kiganjani Mwako kwa Kutumia Simu Yako – Global Publishers Home Habari Ishi Kidigitali Kwa Kupata Taarifa Muhimu Kiganjani Mwako kwa Kutumia Simu Yako
Songwe.Watu wawili wameuawa na wananchi wenye hasira katika Kijiji cha Isalalo, wilayani Mbozi, kwa tuhuma za wizi wa ng’ombe wanane wanaodaiwa kuibwa wilayani Momba. Katika tukio hilo, wananchi wamechoma moto na kuteketeza gari aina ya Fuso lililokuwa limebeba mifugo hiyo, huku ng’ombe hao wakidaiwa kutoroshwa na watu wasiojulikana baada ya vurugu hizo kutokea. Kamanda wa…
Nafasi ya Kazi: Sales and Marketing Officer – Wezesha Mzawa Microfinance – Global Publishers Home Ajira Nafasi ya Kazi: Sales and Marketing Officer – Wezesha Mzawa Microfinance
Brooklyn Beckham Aonesha Anasa Kupindukia, Divai ya Milioni 60 Yazua Gumzo! – Global Publishers Home Burudani Brooklyn Beckham Aonesha Anasa Kupindukia, Divai ya Milioni 60 Yazua Gumzo!