WAKULIMA NDOGOWE WAPATIWA ELIMU YA AFYA YA UZAZI
Na Mwandishi Wetu BAADHI ya wakulima na Wanufaika wa mradi wa mashamba ya Serikali ya Jenga kesho iliyobora(BBT)wapatao 300 katika Kijiji cha Mlazo kata Ndogowe Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma wamepatiwa Semina ya kufahamu changamoto ya Afya ya Akili,Afya ya Uzazi na namna ya kujinginga na magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya Ngono. Msomaji Lusinde na Sharifa…