WAKULIMA NDOGOWE WAPATIWA ELIMU YA AFYA YA UZAZI

Na Mwandishi Wetu BAADHI ya wakulima na Wanufaika wa mradi wa mashamba ya Serikali ya Jenga kesho iliyobora(BBT)wapatao 300 katika Kijiji cha Mlazo kata Ndogowe Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma wamepatiwa Semina ya kufahamu changamoto ya Afya ya Akili,Afya ya Uzazi na namna ya kujinginga na magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya Ngono. Msomaji Lusinde na  Sharifa…

Read More

DIWANI WA ZUZU ATOA MSIMAMO KUHUSU CHIMBO LENYE UTATA MAZENGO

…….. Na Carlos Claudio, Dodoma. Wananchi wa Mtaa wa Mazengo, Kata ya Zuzu jijini Dodoma, wameiomba Serikali kuingilia kati na kusitisha mara moja shughuli za uchimbaji wa madini ujenzi zinazoendelea katika eneo lao, wakieleza kuwa zinahatarisha maisha yao na kusababisha uharibifu wa mazingira. Ombi hilo lilitolewa wakati wa ziara ya Diwani wa Kata ya Zuzu,…

Read More

Serikali za EAC zashinikizwa kugawa pedi bure, kuondoa tozo

Dar es Salaam. Serikali za nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimetakiwa kupitia upya sera na mifumo ya kodi ili kuhakikisha upatikanaji wa taulo za kike (pedi) unakuwa rahisi au bure, hatua itakayosaidia kupunguza changamoto zinazowakabili wasichana hasa walioko vijijini na familia zenye kipato duni. Kukosekana kwa taulo za kike, imesababisha baadhi ya…

Read More

UDOM, UNICEF WALETA MAPINDUZI YA KIDIJITALI KONDOA

Mkurugenzi wa Mawasiliano na Masoko wa UDOM, Bi. Rose Joseph, akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Amani Abeid Karume kuhusu fursa za kujifunza kidijitali, wakati wakikagua huduma ya mtandao imavyofanya kazi shuleni hapo na kusaidia wanafunzi kujifunza. …. Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na UNICEF Tanzania, kimeanza kufungua ukurasa mpya wa maendeleo…

Read More