MSHINDI WA ZIGO LA MWEZI LA PIKU AKABIDHIWA PIKIPIKI
Na Mwandishi Wetu JUKWAA la kidijitali la PIKU Afrika, linaloendesha minada ya kipekee kupitia mtandaoni, leo Septemba 25, 2025 limetangaza na kukabidhi zawadi kwa washindi wa awamu ya tano ya promosheni yake ya minada ya kidijitali. Katika hafla hiyo iliyofanyika Mabibo jijini Dar es Salaam, mshindi wa kwanza Adam Ahmed Adam alikabidhiwa pikipiki mpya aina…