
Wananchi Iringa watakiwa kulinda miundombinu ya barabara kwa matumizi endelevu
Na Mwandishi Wetu, Iringa. Wananchi mkoani Iringa wamehimizwa kuilinda na kuitunza vema miundombinu ya barabara ili iwe endelevu na wanufaike nazo kwa muda mrefu kwa maendeleo yao na Taifa kwa ujumla. Rai hiyo imetolewa na Meneja wa TARURA mkoa wa Iringa, Mhandisi David Tembo alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu miradi mbalimbali inayotekeleza mkoani humo….