Prisons yagoma kushuka, yaichongea Fountain Gate

MAAFANDE wa Tanzania Prisons wamegoma kushuka daraja kwa mara nyingine baada ya kuifumua Fountain Gate mabao 3-1 katika mechi ya marudiano ya play-off iliyopigwa kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya. Msimu wa 2021-2022 Prisons ilinusurika pia kushuka daraja kupitia play-off dhidi ya JKT Tanzania kwa ushindi wa jumla wa mabao 2-1, baada ya kushinda ugenini…

Read More

Wananchi Mbinga waomba zahanati yao ifunguliwe haraka

Mbinga. Wananchi wa Kijiji cha Mundeki, Kata ya Muyangayanga, Wilaya ya Mbinga, wameiomba Serikali kuharakisha kupeleka wataalamu wa afya na vifaa tiba katika zahanati yao ili huduma za afya zianze kutolewa. Wananchi hao wamesema ukosefu wa huduma hiyo umewalazimu kusafiri umbali mrefu, jambo linalosababisha changamoto kubwa, hasa kwa wagonjwa na wanawake wajawazito. Wakizungumza na Mwananchi…

Read More

Benki ya CRDB yahamasisha mageuzi ya uchumi Afrika katika Mkutano wa Mwaka wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AFDB)

Nairobi, Mei 28, 2024 – Katika jitihada za kuboresha maisha na kukuza uchumi wa masoko inayoyahudumia, Benki ya CRDB imeendesha mjadala uliolenga kujadili ukuzaji wa huduma za benki zinazovuka mipaka ya nchi za Afrika ili kuchochea mageuzi ya uchumi barani Afrika. Mjadala huo rasmi umefanyika kando ya mkutano wa mwaka 2024 wa Benki ya Maendeleo…

Read More

DKT. NCHEMBA AKUTANA NA MKURUGENZI MTENDAJI BENKI YA NCBA

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (kushoto) akizungumza jambo wakati wa mkutano na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NCBA Tanzania Bw. Claver Serumaga, ulioangazia ushirikiano wa maendeleo, katika Ofisi ya Waziri wa Fedha Treasure Square, jijini Dodoma. Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (kulia) akieleza umuhimu wa ushirikiano katika…

Read More

Nyota San Jose Earthquakes aitamani Stars

KIUNGO mshambuliaji wa San Jose Earthquakes ya Ligi Kuu ya Marekani (MLS), Amahl Pellegrino mwenye uraia wa Norway na asili ya Tanzania, ameanza kujinadi akionyesha anatamani kuichezea timu ya Taifa Taifa Stars. Nyota huyo ambaye aliwahi kuitwa kwenye kikosi cha awali cha Stars na Kocha Adel Amrouche ingawa hakucheza mechi hata moja, ameoinyesha ana nia…

Read More

Mhadhiri UDSM ashinda ubunge EALA, awashukuru upinzani

Dodoma. Wabunge wa Tanzania wamemchagua Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Dk Gladnes Salema kuwa mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) baada ya kupata kura 254 kati ya kura 272 zilizopigwa katika uchaguzi huo. Uchaguzi huo umefanyika leo Alhamisi, Septemba 5, 2024 bugeni jijini Dodoma ili kujaza nafasi hiyo iliyoaachwa wazi…

Read More

CCM yapinga kauli ya Nape ushindi katika uchaguzi

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimeipinga kauli ya kiongozi wake wa zamani, Nape Nnauye aliyesema ushindi katika uchaguzi hautokani na wingi wa kura za kwenye boksi, bali nani anayehesabu na kutangaza matokeo.  Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla leo Jumanne Julai 16, 2024 amesema kauli hiyo haitokani…

Read More