Urusi yasema imedhibiti kijiji kimoja mashariki mwa Ukraine – DW – 27.10.2024
Urusi imesema wanajeshi wake wamesogea zaidi mashariki mwa Ukraine na kukitwaa kijiji kimoja kwenye eneo la mapambano, kilomita chache tu kutoka kaskazini mwa mji muhimu ambao ni kitovu wa shughuli za kiviwanda unaoshikiliwa na Ukraine.Soma Pia: Viongozi wakuu duniani waunga mkono uhuru wa Ukraine Wizara ya ulinzi ya Urusi imesema vikosi vyake vimelikombowa eneo la…