Wabunge walia gharama kwa wagonjwa wa figo

Dodoma. Wabunge wameitaka Serikali kutazama gharama za usafishaji wa damu kwa wenye magonjwa sugu ya figo nchini ‘dialysis’. Wakati wabunge wakisema hayo Serikali  imewataka Watanzania kujinga kwa kufuata maelekezo ya wataalamu wa afya akiwemo Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi. Changamoto hiyo inaelezwa wakati ambapo nchini kuna vituo vya…

Read More

Mpina bungeni hadi Novemba | Mwananchi

Dodoma. Bunge limemsimamisha mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina kuhudhuria vikao 15 hadi Bunge la Novemba, 2024. Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema Mpina hatahuduria vikao vitano vya Bunge hili la Bajeti kuanzia leo, pia hatahudhuria Bunge lijalo la Septemba ambalo lina vikao tisa. Amesema vikao vitano vya Bunge la Bajeti na vikao tisa…

Read More

Iringa yaruhusu wenza kushuhudia wake zao wakijifungua

Iringa. Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Iringa imeanzisha rasmi huduma mpya ya kujifungua, huku ndugu au mweza wako akishuhudia namna tukio hilo linavyotokea. Akizungumza na mwananchi ofisini kwake December 10, 2024 Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo Dk Alfred Mwakalebela amesema huduma hiyo ni mpya katika mkoa huo, hivyo mjamzito atapaswa kwenda na mwenza au ndugu…

Read More

Rasmi Samatta kucheza Le Havre Ufaransa

Nyota wa soka wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta, amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea Le Havre inayoshiriki Ligi Kuu Ufaransa (Ligue 1), hatua inayoweka historia kwa kuwa mchezaji wa kwanza Mtanzania kucheza katika ligi hiyo ya juu  nchini humo. Le Havre wamemtambulisha mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 32, wakithibitisha kuwa atavaa jezi namba 70…

Read More

Mawakili kesi ya Kombo wa Chadema watakavyochuana leo

Dar es Salaam. Kesi ya mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Tanga, aliyepotea kwa mwezi mzima, baadaye kupandishwa kizimbani, Kombo Mbwana inatarajiwa kusikilizwa kuhusiana na hatima ya dhamana yake. Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa leo Jumatatu, Agosti 12, 2024 na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya Tanga, Moses Maroa kuhusiana na zuio la…

Read More

Beki KMC kuitimkia JKT Tanzania

MABOSI wa JKT Tanzania wako kwenye hatua za mwisho kumalizana na beki wa mkongwe wa KMC, Fred Tangalo ambaye alimaliza mkataba na kikosi hicho msimu uliomalizika. Beki huyo ambaye amewahi kuichezea Namungo, Lipuli na Polisi Tanzania, huku msimu uliomalizika ndio ulikuwa wa mwisho kwake ndani ya KMC. Baada ya kutokuona dalili za kuendelea na kikosi…

Read More