Posho yaibua sintofahamu uchaguzi Bavicha

Dar es Salaam. Mkutano wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha) ulisimama kwa dakika kadhaa leo, Jumatatu Januari 13, 2025, baada ya wajumbe kuhoji hatma ya posho zao za kujikimu, tofauti na ahadi walizokuwa wamepewa awali. Tukio hilo limetokea katika ukumbi wa Ubungo Plaza, jijini Dar es Salaam, muda mfupi baada ya viongozi wa kitaifa…

Read More

CCM KUFADHILI KITABU CHA MZEE SONGAMBELE KUENZI HISTORIA YA NCHI, CHAMA NA SERIKALI

::::::: _Balozi Nchimbi atoa neno, akimwakilisha Dkt. Samia msibani_ Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema kitabu alichoandika Alhaj Mzee Mohamed Mustafa Songambele kitakuwa mojawapo ya rejea adhimu za historia ya Tanzania.  Balozi Nchimbi amesema kuwa kitabu hicho kiitwacho “_*Safari ya Karne*_”, kina utajiri wa maelezo kuhusu mapambano ya…

Read More

Aliyeizima Simba achana mkataba Coastal Union

UNAMKUMBUKA aliyezamisha jahazi la Simba ikiambulia pointi moja dhidi ya Coastal Union kwenye Uwanja wa KMC,  si mwingine namzungumzia Abdallah Hassan amemalizana na uongozi wa timu hiyo baada ya makubaliano ya pande mbili. Simba ambayo ilikuwa timu mwenyeji wa mchezo huo wa ligi walitangulia kwa mabao mawili kipindi cha kwanza kutoka kwa Mohamed Hussein ‘Tshabalala’…

Read More

Sababu zitakazombeba Profesa Janabi kushinda WHO

Dodoma. Serikali imeainisha sababu zinazomfanya Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi, kuwa na uwezo wa kushinda katika uchaguzi wa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa kanda ya Afrika. Nafasi ya Mkurugenzi wa WHO Kanda ya Afrika iliachwa wazi na Dk Faustine Ndugulile, ambaye alifariki dunia Novemba 27, 2024,…

Read More

Wazazi watakiwa kuwalinda watoto kipindi cha likizo na sikukuu

Mwenyekiti wa Chipkizi Chama Cha Mapinduzi (CCM)Mkoa wa Morogoro Jeremia Kisena Mabuba amewataka wazazi na walezi kuwalinda watoto na vitendo vya ukatili hasa kipindi hiki Cha likizo na sikukuu. Mabuba amesema kuwa ataungana na Serikali ya awamu ya sita katika kuhakikisha wanakabiliana na vitendo vya kikatili wanavyofanyiwa watoto hasa wakiume ambao wanaonekana wamesahaulika katika jamii…

Read More

Uchaguzi Serikali za Mitaa CCM Vumilia Ukooni shwari

Na Mwandishi Wetu HATIMAYE Uchaguzi wa kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) mtaa wa Vumilia Ukooni, Kata ya Kisarawe I| wilayani Kigay, Dar es Salaam umamalizika kwa amani leo. Uchaguzi huo umefanyika leo Oktoba 24,2024 baada ya jana kushindwa kufanyika kutokana na vurugu zilizojitokeza na kasoro mbalimbali. Uchaguzi huo leo hii umefanyika kwa…

Read More