Maema, Camara washindwa kujizuia | Mwanaspoti

NYOTA wapya wa Simba, Neo Maema na Naby Camara wameeleza vile walivyo na shauku ya kucheza Ligi Kuu Bara mara ya kwanza huku wakiwa na malengo ya kuisaidia timu hiyo kurejesha heshima. Kwa misimu minne mfululizo, Simba imekuwa ikishuhudia Yanga ikitwaa ubingwa wa ligi jambo ambalo wadai linawapa hamasa kupigania kurejesha makali ya Msimbazi. Maema,…

Read More

Mpina afichua kuhusu kuchoma nyavu alipokuwa waziri

Dar es Salaam. Mtiania wa urais kupitia ACT Wazalendo, Luhaga Mpina amesema uamuzi wake wa kuchoma nyavu alipokuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, ulitokana na matakwa ya sheria na kwamba alizozichoma zote zilistahili kufanywa hivyo. Kauli hiyo ya Mpina inafafanua mitazamo ya wanasiasa mbalimbali ambao wamekuwa wakidai, hatua yake hiyo alipokuwa waziri ilihusisha uonevu dhidi…

Read More

NYEPESI NYEPESI ZA DABI: Yanga yaihenyesha Simba kibabe

KWA sasa kuna kelele nyingi kuhusu Yanga kuifunga Simba mara nne mfululizo, lakini kama hujui ni, Simba iliwahi kuhenyeshwa kwa miaka mitano ikicheza mechi 12 mfululizo bila kuonja ushindi wowote mbele ya watani wao. Balaa hilo kwa Simba lilianzia Septemba 5, 1981 hadi ilipokuja kujikomboa Agosti 23, 1986 huku ikiwa imecheza mechi 12 mfululizo ikitoka…

Read More

WAZIRI RIDHIWANI AHIMIZA WANAGENZI KUZINGATIA UJUZI WANAOPATIWA VYUONI

Na, Mwandishi Wetu – SINGIDA Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete, amewasihi vijana wanufaika wa mafunzo ya ufundi stadi kuzingatia ujuzi wanaopatiwa vyuoni ili waweze kuweza kujiajiri ama kuanzisha shughuli ambazo zitawaingizia kipato. Aidha, amewataka vijana hao kuhakikisha wanafanya vizuri katika mafunzo hayo yanatolewa kwa…

Read More

UKOMBOZI WA KIUCHUMI NI SAFARI NDEFU, SADC YAKUMBUSHWA

Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimekumbushwa kuwa ukombozi wa kiuchumi ni safari ndefu na ili kuifikia nchi hizo zinahitaji mtangamano wenye nguvu na usioyumbishwa katika utekelezaji wa malengo waliyojiwekea.  Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Biashara za Kimataifa wa Zimbabwe, Prof. Amon Murwira kabla ya kukabidhi uenyekiti wa…

Read More