Takriban Wapalestina 90 wameripotiwa kuuawa katika shambulizi la Israel lililomlenga mkuu wa jeshi la Hamas

Takriban Wapalestina 90 wameripotiwa kuuawa katika shambulizi la Israel dhidi ya kambi ya watu waliokimbia makazi yao kusini mwa Gaza ambayo Israel ilisema ilimlenga mkuu wa kijeshi wa Hamas, ambaye anadaiwa kuwa mpangaji mkuu wa mashambulizi ya Oktoba 7. Kanda za Al-Mawasi, ambalo limeteuliwa kuwa eneo salama kwa Wapalestina wanaokimbia mapigano mahali pengine, zinaonyesha miili…

Read More

RC CHALAMILA ATANGAZA UUZAJI VIWANJA MABWEPANDE-KINONDONI

 -Asema Serikali imeshapima viwanja zaidi ya 2274. -Awataka wale wote waliovamia na kujenga kulipia viwanja hivyo mara moja kwa kuwa wamepunguziwa bei. Kufuatia maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kutaka waliovamia na kujenga kwenye eneo linalomilikiwa na shirika la maendeleo Dar es Salaam (DDC) lililopo Mabwepande kuuziwa viwanja…

Read More

Yanga yaziachia msala Simba, Azam

KIKOSI cha Yanga kimeondoka nchini jana kwenda Algeria kuwahi pambano la pili la Kundi B la Ligi ya Mabingwa Afrika ikitoka kushinda dhidi ya AS FAR Rabat kwa bao 1-0, huku kocha wa kikosi hicho, Pedro Goncalves akifichua siri inayombeba atangu ajiunge na timu hiyo Oktoba 15. Ijumaa ya wiki hii ugenini Algeria, Yanga itavaana…

Read More

Sababu mwanafunzi UDOM kujitumbukiza kisimani

Dodoma. Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Said Kabuga amefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye kisima huku taarifa zikieleza kuwa ni hofu ya kupoteza fedha nyingi kwenye kamali. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gallus Hyera amethibitisha tukio hilo akisema taarifa za awali zinaonyesha alijitupa mwenyewe kisimani. Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo…

Read More

Wafanyabiashara walia kufungwa mtandao wa X

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikitangaza kuufungia mtandao wa X (twitter zamani) hapa nchini wafanyabiashara na wahamasishaji (infulencers) wameanza kuonja joto la jiwe. Hiyo ni baada ya biashara zilizokuwa zikifanyika katika mtandao huo kuanza kudorora huku baadhi ya kampuni zikisitisha mikataba waliyokuwa wameingia na watumiaji mbalimbali wa mtandao huo ikiwemo zile zilizohusu kampeni mbalimbali. Hivi…

Read More

Copco yatupwa nje kombe la FA, yabamizwa 5-0

YANGA leo ilikula kiporo cha mechi za Kombe la Shirikisho kiulaini baada ya kuifumua Copco ya Mwanza kwa mabao 5-0, huku nyota mpya wa kikosi hicho, Jonathan Ikangalombo ‘Ikanga Speed’ akishindwa kuanza kuitumikia timu hiyo baada ya kuanzishwa jukwaani na Kocha Sead Ramovic. Wakati Ikanga Speed akianzia jukwaani, beki wa kulia Israel Mwenda aliyesajiliwa katika…

Read More