Ajali ya Kariakoo ni hasara juu ya hasara

Tukio la kuanguka kwa jengo la ghorofa nne katika Mtaa wa Congo na Mchikichi jijini Dar es Salaam liliibua simanzi miongoni mwa watu, kutokana na kusababisha vifo na majeraha kwa makumi ya watu. Ghorofa hilo liliporomoka asubuhi ya Novemba 16, 2024. Picha zilizopigwa eneo la ajali tangu siku ya kwanza zinaonyesha namna jengo hilo lililokuwa…

Read More

TIA kuwapiga msasa kidigitali watu wenye mahitaji maalumu

Morogoro. Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) kupitia kwa Kaimu Mtendaji Mkuu wake, Dk Momole Kasambala imetangaza mpango wake wa kuhakikisha wanafunzi wenye mahitaji maalumu wanaosoma kwenye vyuo vya taasisi hiyo, wanapata mafunzo ya teknolojia kama wanafunzi wengine. Imesema lengo ni kutaka wakidhi mahitaji ya soko la ajira na kujiajiri wenyewe. Akizungumza na Mwananchi Digital leo…

Read More

‘Vifo magonjwa yasiyoambukiza vyapunguza umri wa kuishi’

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Serikali imesema kasi ya vifo vitokanavyo na magonjwa yasiyoambukiza inazidi kuongezeka hali inayosababisha Watanzania wengi kushindwa kufikia umri wa miaka 66 ambao ni wastani wa kuishi. Takwimu zinaonyesha vifo vingi vinasababishwa na magonjwa ya Shinikizo la juu la damu, saratani, kisukari, afya ya akili na ajali mbalimbali. Akizungumza Desemba 6,2024…

Read More

Tuzo za TFF kutolewa mechi ya Ngao ya Jamii

TUZO za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa msimu huu zitafanyika wakati wa mchezo wa Ngao ya Jamii tofauti na mwanzoni zilipokuwa zinafanyika siku tatu kabla ya kumalizika kwa fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC). Katika taarifa iliyotolewa na TFF ilieleza kwamba, sababu kubwa za tuzo hizo kufanyika kipindi hicho ambacho…

Read More

Katambi aitaka NDC kuleta mapinduzi ya viwanda

Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Patrobas Katambi ameliagiza Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) kuchukua hatua madhubuti za kuleta mapinduzi ya viwanda nchini kwa kufungua viwanda vingi zaidi na kuzalisha fursa za ajira, hususan kwa vijana. Aidha, amelitaka shirika hilo kuongeza kasi ya utekelezaji wa majukumu yake na kuimarisha uwajibikaji ili…

Read More

WATENDAJI ARDHI WATAKIWA KUTOCHELEWESHA HUDUMA KWA MAKUSUDI

Na Munir Shemweta, WANMM IRINGA Serikali imewataka watendaji wa sekta ya Ardhi nchini kutochelewesha huduma za sekta ya Ardhi kwa makusudi wakati wanapowahudumia wananchi wanaokwenda kupata huduma katika ofisi zao. Hayo yameelezwa Januari 31, 2025 mkoani Iringa na Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bw. Hamdouny Mansoor…

Read More

Benki ya Exim Tanznia yaja na Burudani yenye Lengo la Kuboresha Huduma za Afya ya Akili “EXIM BIMA FESTIVAL 2024” – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mwezi Septemba, Benki ya Exim Tanzania inawakaribisha Watanzania wote na wadau mbalimbali kujumuika pamoja kwa ajili ya jambo muhimu na la kipekee; Afya ya Akili. Ikiwa inasherehekea miaka 27 ya kuwahudumia Watanzania tangu kuanzishwa kwake, benki ya Exim inakuja na Exim Bima Festival 2024, ikiwa na kaulimbiu ‘Amsha Matumaini’, ambayo itafanyika mnamo tarehe 28 Septemba…

Read More

Muuguzi auawa kwa kuchomwa kisu, muuaji adaiwa kujinyonga

Bunda. Muuguzi wa Zahanati ya Kijiji cha Malembeka kilichopo wilayani Bunda, Mkoa wa Mara, Zawadi Kazi (31) amefariki dunia baada ya kuchomwa na kisu sehemu mbalimbali za mwili wake na mtu anayedhaniwa kuwa ni mpenzi wake kwa kile kinachelezwa ni ugomvi wa kimapenzi. Baada ya kufanya tukio hilo mtuhumiwa huyo alikimbilia kusikojulikana  hata hivyo mwili…

Read More