Profesa Janabi aelekeza vipimo vitano mgonjwa afikapo hospitali

Pwani. Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi amesisitiza mambo matano kwa watoa huduma za afya ngazi ya jamii (CHWs), pindi wanawapopokea wagonjwa, ikiwamo kuwapima kiwango cha shinikizo la damu. Mambo mengine ni kuwapima kiwango cha mafuta mwilini, upana wa kiuno, akizingatia ukubwa unaoshauriwa sentimita 35 kwa mwanamke na 40 kwa mwanaume,…

Read More

Matarajio ya wadau ziara ya Rais Samia Angola

Dar es Salaam. Kuimarisha ushirikiano, kukuza biashara, mustakabali wa kinachoendelea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ni miongoni mwa mambo yanayotarajiwa katika ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Angola. Kwa mujibu wa wadau tofauti, ziara hiyo mbali na kukuza uwekezaji na biashara baina ya mataifa hayo mawili, pia, inatarajiwa kutengeneza msingi wa mpango wa…

Read More

CEO KMC ang’oka, mrithi wake aanza kusakwa

MABOSI wa KMC wako katika mchakato wa kutafuta ofisa mtendaji mkuu mpya (CEO), baada ya Daniel Mwakasungula, aliyekuwa anashikilia nafasi hiyo kumaliza mkataba, huku kukiwa hakuna mazungumzo mapya ya kuongeza mwingine kikosini humo. Licha ya uongozi wa KMC kutoweka wazi juu ya suala hilo, lakini Mwanaspoti linatambua Mwakasungula amemaliza mkataba wake na kikosi hicho, hivyo…

Read More

THRDC yawapa kibarua watetezi wa wafugaji

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umewataka watetezi wa haki za Binadamu kwa jamii ya wafugaji kuongeza juhudi katika utekelezaji wa majukumu yao kwa kuwa hivi sasa inakabiliwa na changamoto nyingi. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Wito huo ulitolewa hivi karibuni na Mratibu wa THRDC, Onesmo Olengurumwa katika mafunzo ya kuwajengea uwezi watetezi…

Read More

Airtel Africa signs multi-year strategic partnership with, Xtelify, Airtel India’s digital arm

Xtelify’s pioneering digital capabilities to accelerate Airtel Africa’s digital transformations Africa, August 04, 2025: Xtelify, a fully owned subsidiary of Bharti Airtel (‘Airtel’) housing all of Airtel’s digital assets and capabilities, today launched an AI-powered, future-ready software platform that will help telcos all around the world rid themselves of underlying complexity, focus on the customer,…

Read More

Wanandoa wafa, ajali iliyoua walimu wanne Nyasa

Songea. Wanandoa wawili ni miongoni mwa watu sita waliofariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea wilayani Mbinga Mkoa wa Ruvuma. Ajali hiyo ilitokea jana saa 1:10 asubuhi, baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuanguka katika mteremko wa Chunya wilayani humo. Wanandoa hao waliofariki dunia ni Michael Mkinga, aliyekuwa dereva na mke ni Judith Nyoni ambaye ni…

Read More

Vijana kuchangamkieni fursa za uhasibu

 BODI ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imewahimiza vijana wa kitanzania nchini kuchangamkia fursa za Uhasibu na Ukaguzi kutokana na kuwa na mchango mkubwa katika maendeleo endelevu ya Taasisi, makampuni ili kuleta tija kwenye ukuaji wa uchumi na ujenzi wa Taifa. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu…

Read More