Dkt.Jingu, Wadau wa Afya wajadili Ugharamiaji wa gharama za matibabu
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Jingu, Juni 7, 2024, akiwa ameambatana na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Tumaini Nagu, ameongoza Mkutano wa Afya wa DPG 2024 unaolenga kuendeleza ushirikiano baina na Serikali na Wadau wa Maendeleo na Afya. Mkutano huo ambao umefanyika katika ukumbi wa ofisi ndogo za Wizara jijini, Dar Es Salaam, umeshirikisha…