Zitto aendelea kutangaza neema Kigoma

Kigoma. Mgombea ubunge wa Kigoma Mjini kupitia tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema endapo atachaguliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo, mojawapo ya kipaumbele chake cha awali kitakuwa kuboresha miundombinu ya masoko ya jioni yaliyopo katika Kata ya Buhanda, hususan masoko ya Mwansenga na Mgeo. Akizungumza leo Jumatano, Septamba 24, 2025 kwenye mkutano wa…

Read More

Wanawake wa Afghanistan hufa bila sababu baada ya majanga ya asili – maswala ya ulimwengu

Mtetemeko wa nguvu wa ukubwa wa 6.0-ukubwa uligonga mashariki mwa Afghanistan mwishoni mwa tarehe 31 Agosti 2025, na kitovu chake karibu na Jalalabad katika Mkoa wa Nangarhar. Upungufu wa madaktari wa kike waliwaacha wanawake wasiotibiwa kama ushuru wa tetemeko ulivyozidi. Mikopo: UNICEF/Amin Meerzad na chanzo cha nje (Kabul) Jumatano, Septemba 24, 2025 Huduma ya waandishi…

Read More

Wanafunzi msingi wapewa elimu ya usalama barabarani

Dodoma. Wanafunzi wanaosoma katika Shule ya Msingi Mnadani iliyopo Jijini Dodoma wamepewa elimu ya usalama barabarani ili kujilinda na ajali wakati wa kwenda shuleni na kurudi nyumbani. ‎‎Aidha, wanafunzi hao wamefundishwa  alama muhimu za kuvuka barabara kwa usalama ili wasigongwe na magari kutokana na shule yao kupakana na barabara kuu ya kwenda Wilayani Kondoa. ‎‎Wakizungumza…

Read More

UDP kukomalia kilimo cha umwagiliaji ikishinda uchaguzi mkuu

Siha. Mgombea Urais kupitia Chama cha UDP, Saumu Rashidi ametangaza mambo matano ambayo anakwenda kushughulika nayo pindi atakapopata ridhaa ya wananchi ya kuwa kiongozi katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025. Miongoni mwa mambo anayopigania mgombea huyo kipaumbele cha kwanza ni kilimo cha umwagiliaji, viwanda, afya, elimu pamoja na maji. Saumu amesema leo Jumatano Septemba 24,…

Read More

Othman aahidi kutoa haki bila kuangalia itikadi kisiasa

Unguja. Mgombea urais wa Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema atakapochaguliwa kuiongoza Zanzibar, Serikali yake haitatoa huduma kwa kuangalia itikadi za kisiasa. Sambamba na hilo, amesisitiza kusimamia ardhi kuwa rasilimali inayomilikiwa na mwananchi badala ya Serikali na wananchi ndio watakaokuwa na mamlaka ya kuikodisha, huku Serikali ikipokea kodi na kutoa mwongozo unaosimamia. Othman…

Read More