Mhudumu apandishwa kizimbani kwa tuhuma za mauaji
Musoma. Mhudumu katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, Simon Ruhinda amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Musoma kwa tuhuma za mauaji ya Rhoda Mobe, mkazi wa Kijiji cha Burunga, Wilaya ya Serengeti mkoani Mara. Ruhinda (55) ameunganishwa na watuhumiwa wengine wawili ambao ni Mwita Maginga (47), mkazi wa Tarime…