Mhudumu apandishwa kizimbani kwa tuhuma za mauaji

Musoma. Mhudumu katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, Simon Ruhinda amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Musoma kwa tuhuma za mauaji ya Rhoda Mobe, mkazi wa Kijiji cha Burunga, Wilaya ya Serengeti mkoani Mara. Ruhinda (55) ameunganishwa na watuhumiwa wengine wawili ambao ni Mwita Maginga (47), mkazi wa Tarime…

Read More

WIZARA TATU KUIMARISHA KILIMO MAGEREZA

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Patrobas Katambi akizungumza Kikao cha kwanza na Uongozi wa Juu wa Jeshi la Magereza, Maafisa, askari na watumishi raia(hawapo pichani),wakati wa ziara ya kwanza baada ya kuteuliwa kuongoza wizara hiyo.Kikao hicho kimefanyika Makao Makuu ya Jeshi hilo,jijini Dodoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Nchi  ……. Na Mwandishi Wetu,DODOMA Serikali…

Read More

Suluhisho kukabiliana na udumavu Iringa -3

Iringa. Wadau wa lishe wanapendekeza hatua mahususi za kukabiliana na viwango vya udumavu wa watoto mkoani Iringa, wakionya kuwa sheria na sera zilizopo hazitafsiriwi ipasavyo wala kutekelezwa katika ngazi ya kaya na jamii. Licha ya Iringa kuwa miongoni mwa mikoa mikuu ya uzalishaji wa chakula, bado inaongoza kwa viwango vya juu vya udumavu miongoni mwa…

Read More

Pingamizi lakwamisha kesi watuhumiwa walioandamana kufanya uhaini

Arusha. Mabishano ya kisheria yameibuka katika kesi ya kukusanyika na kuandamana kwa lengo la kufanya uhaini, inayowakabili washtakiwa watano baada ya upande wa utetezi kuwasilisha pingamizi, kupinga Jamhuri kuomba kuingiza vielelezo kwenye mfumo. Upande wa Jamhuri uliwasilisha maombi kwamba, miongoni mwa vielelezo walivyotaja wakati wa kusoma maelezo ya awali (PH) katika kesi hiyo, havijaingizwa kwenye…

Read More

USHIRIKISHWAJI WA MAOTEO YA BAJETI NI NGUZO YA UTEKELEZAJI WA MAENDELEO YA TAASISI- MWENYEKITI TUME YA UTUMISHI.

Na Belinda Joseph-Arusha. Mwenyekiti wa Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji Mstaafu Hamisa H. Kalombola, amesema kuwa usimamizi bora na ushirikishwaji wa maoteo ya bajeti kwa Taasisi za Umma ni nguzo muhimu katika kuhakikisha utekelezaji wenye ufanisi wa bajeti na mipango ya maendeleo, sambamba na kupunguza migogoro, kudhibiti mianya ya ubadhirifu na…

Read More

Sh7 bilioni kuviwezesha vikundi 57 Dodoma

‎Dodoma. Taasisi ya Aga Khan kwa kushirikiana na Ubalozi wa Ireland nchini kupitia mradi wa Tuamke Pamoja imepanga kutumia Sh7 bilioni kwa mitatu kuviwezesha vikundi vya kijamii 57 kwenye halmashauri sita za Mkoa wa Dodoma. ‎‎Vikundi hivyo kutoka halmashauri za Wilaya ya Kondoa Vijijini, Kondoa Mji, Bahi, Chamwino, Dodoma Mjini na Chemba, wanufaika wakubwa katika…

Read More

Anayekipiga nje ataja watatu WBDL

SUPASTAA wa zamani wa timu DB Lioness, Orlyne Londo aliyetimkia Bravehearts ya Malawi inayoshiriki Ligi ya Kikapu nchini humo amewataja Jesca Lenga wa DB Troncatti, Jesca Ngisaise (JKT Stars) na Irene Gerwin (DB Troncatti) kuwa ndio nyota watatu waliouteka mchezo huo katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam kwa Wanawake (WBDL). Orlyne ameyasema…

Read More

Mkataba wa Bahari Kuu Utabadilisha Bahari Yetu Tete na Kuwa Bora – Masuala ya Ulimwenguni

Matumbawe ya bahari kuu ni kati ya hazina zilizopatikana wakati wa msafara katika Visiwa vya Marianas Kaskazini katika Bahari ya Pasifiki. Chanzo: UN News Maoni na Pietro Bertazzi (amsterdan / london) Jumanne, Februari 03, 2026 Inter Press Service Mkataba wa kimataifa wa kubadilisha mchezo wa bahari unaanza kutumika. AMSTERDAN / LONDON, Februari 3 (IPS) –…

Read More

Wahudumu 160 ‘wapikwa’ kupambana na malaria

Morogoro. Baada ya Tanzania kuorodheshwa kuwa miongoni mwa nchi 10 duniani zinazoongoza kwa vifo vinavyotokana na ugonjwa wa malaria, Shirika la Amplify Health & Development in Africa limeanzisha mpango maalumu wa kuwaandaa wahudumu wa afya ngazi ya jamii na vijana 160. Wahudumu hao watatumika kutoa elimu na hamasa kwa wananchi kuhusu kinga, utambuzi wa mapema…

Read More