Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy
Habari

Serikali kutoa ufadhili wahitimu 50 waliofaulu vizuri kidato cha sita

July 8, 2025 Admin

Arusha. Vijana 700 waliofaulu kwa kiwango cha juu katika masomo ya sayansi kwenye matokeo ya kidato cha sita yaliyotangazwa jana watanufaika na ufadhili wa masomo

Read More
Habari

‘Uandishi wa sheria za uchaguzi ulizingatia demokrasia’

July 8, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mwandishi Mkuu wa Sheria (OCDP), Onorius Njole, amesema mfumo wa sheria za uchaguzi nchini ni mzuri na umezingatia misingi ya kidemokrasia. Mfumo

Read More
Habari

Bomba jipya kusafirisha gesi asilia kujengwa

July 8, 2025 Admin

Dar es Salaam. Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) linapanga kuwekeza Sh120 bilioni katika ujenzi wa bomba la gesi asilia lenye urefu wa kilomita

Read More
Habari

Kanisa la Wasabato lilivyowashinda ‘wanakwaya’ kesi ya hakimiliki ya nyimbo

July 8, 2025 Admin

Dar es Salaam. Kanisa la Waadventista wa Sabato Tanzania (SDA) limeshinda rufaa dhidi ya waliokuwa wanakwaya wa Kanisa la SDA Kinondoni, jijini Dar es Salaam,

Read More
Habari

Huduma za fedha kidijitali zitakavyoboresha kilimo nchini

July 8, 2025 Admin

Dodoma. Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imeeleza namna huduma za mawasiliano na fedha kidijitali zitakavyoboresha kilimo ambacho kinachangia asilimia 30 ya pato la

Read More
Habari

Raia Congo DRC jela kwa kosa la kuishi nchini ‘kinyemela’

July 8, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuhukumu raia wa Congo DRC, Gabriel Mahdera (27) kulipa faini ya Sh250,000 au jela mwaka mmoja, baada

Read More
Habari

𝗲-𝗠𝗿𝗲𝗷𝗲𝘀𝗵𝗼 𝗩𝟮 𝗞𝗜𝗡𝗔𝗥𝗔 𝗪𝗔 𝗧𝗨𝗭𝗢 𝗬𝗔 𝗪𝗦𝗜𝗦 𝟮𝟬𝟮𝟱

July 8, 2025 Admin

…………….. Tanzania kupitia Mfumo wa e-Mrejesho toleo la pili (e-MrejeshoV2) imeibuka mshindi katika kipengele cha Serikali Mtandao, kwenyeTuzo za Mkutano wa Dunia wa Jumuiya ya

Read More
Habari

CUF kupata mgombea urais Agosti

July 8, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati makada wa Chama cha Wananchi (CUF) wakiendelea kujitokeza kuchukua fomu kuomba ridhaa za chama chao kugombea nafasi za udiwani, ubunge na

Read More
Habari

MIRADI ILIYOTEKELEZWA KWA KODI IWEKEWE MABANGO

July 8, 2025 Admin

…..,……,…..  Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ameagiza miradi yote mikubwa iliyojengwa na inayoendelea kujengwa kwa fedha za ndani zinazotokana

Read More
Habari

TANZANIA KOREA KUFANYA MRADI WA UPANUZI WA MFUMO WA GOTHOMIS

July 8, 2025 Admin

lNa Angela Msimbira, Seoul, Korea  Serikali ya Korea Kusini kupitia shirika la KOICA imeandaa Mkutano wa Kimataifa kubadilishana uzoefu kwenye kuboresha mifumo ya usimamizi wa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 6 7 8 … 3,693 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.