UMEME UTAONGEZA THAMANI YA MAZAO YA KILIMO SINGIDA – RC HALIMA DENDEGO
📌 Serikali yatenga shilingi bilioni 45.6 kwa ajili ya kusambaza umeme katika vitongoji 376 📌 Kampuni ya China Railway No. 4 Engineering Group Ltd kuanza utekelezaji wa mradi mkoani Singida 📌 Wananchi zaidi ya 13,000 kunufaika na huduma ya umeme. Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mhe. Halima Dendego, amesema kuwa utekelezaji wa mradi wa kusambaza…