Mtandao wa wizi wa pikipiki wafichuliwa, tisa wadakwa Iringa
Iringa. Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limekamata pikipiki 115 na watuhumiwa tisa katika operesheni maalumu iliyovunja mtandao wa wizi na usambazaji wa pikipiki nchini. Akizungumza jana Machi 25, 2026 katika Kituo Kikuu cha Polisi Iringa, Kamanda wa Polisi Mkoa huo, Allan Bukumbi, alisema operesheni hiyo ilianza Januari 17, 2026 Kihesa, ikihusisha ufuatiliaji wa kina…