Abiria treni ya Ubungo walalamikia ubovu wa reli, giza usiku, kung’atwa na mbu

Dar es Salaam. Abiria wanaotumia treni ya Kariakoo kwenda Ubungo maarufu kama Treni ya Mwakyembe wamelalamikia ubovu wa kipande cha reli kutoka Barabara ya Mandela hadi Kwa Mnyamani, Buguruni, hali inayowafanya kurushwarushwa na kugongana wakati wa safari. Wakizungumza na Mwananchi Digital kwa nyakati tofauti, abiria hao wameiomba TRC kuitupia jicho reli hiyo kabla haijasababisha maafa….

Read More

TCB YAZINDUA KAMPENI YA KUCHOCHEA UCHUMI NA KUWEZESHA NDOTO ZA WATANZANIA

 ******* Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imezindua kampeni maalum yenye lengo la kuimarisha ujumuishwaji wa kifedha na kuchochea ukuaji wa uchumi kwa kuwawezesha Watanzania kupata suluhisho sahihi za kifedha.  Hatua hiyo inalenga kuongeza upatikanaji wa huduma za kifedha kwa makundi mbalimbali, hususan wajasiriamali na biashara ndogo na za kati, ili kuchangia ukuaji wa kipato na…

Read More

Wanaodaiwa kumteka Mtanzania Kenya wasota mahabusu siku 16

Dar/Nairobi. Mahakama nchini Kenya, kesho itatoa uamuzi wa iwapo raia wawili wa Kenya na Mtanzania wanaotuhumiwa kufanya jaribio la kumteka mwanaharakati wa Tanzania, Mshabaha Hamza, waachiwe kwa dhamana ama la. Katika jaribio hilo la utekaji ambalo lilishindikana, lililotokea Februari 22, 2026 huko Kaunti ya Machakos katika ardhi ya Kenya, watuhumiwa wanadaiwa kumchoma sindano mwanaharakati huyo…

Read More

Sintofahamu majumba Kikwajuni ilivyomalizwa | Mwananchi

Unguja. Hatimaye sintofahamu kati ya Serikali na wananchi wa nyumba za Kikwajuni imefikia tamati baada ya pande zote kukubaliana kupisha eneo hilo kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa nyumba za kisasa. Februari 4, 2026, Mwananchi liliripoti mvutano huo uliotokana na hofu ya wananchi kuondolewa bila uhakika wa kurejea baada ya mradi kukamilika….

Read More

Mgogoro stendi ya daladala Buza wachukua sura mpya

Dar es Salaam. Mgogoro wa stendi ya daladala katika eneo la Buza, Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, umeingia hatua mpya baada ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Temeke kuingilia kati na kuagiza kurejeshwa kwa huduma katika stendi zilizokuwa zikitumika awali, huku uchunguzi wa kina ukianza mara moja. Mkuu wa Takukuru…

Read More

MBETO :AMANI NA UMOJA FUNGUO ZA MILANGO YA MAENDELEO

::::::” Na Mwandishi wetu, Zanzibar  Chama Cha Mapinduzi kimesema hakitaacha kuzihimiza Serikali zake zizidishe mkazo na kuhakikisha hakuna mtu au kikundi chochote kinachoweza kuvuruga Amani na Umoja.  Vile vile chama hicho kimefichua siri ya kupatikana kwa maendeleo ya haraka katika Awamu ya Nane Zanzibar ni kuwepo kwa Ustawi wa Amani na Utulivu . Hayo yamebainishwa…

Read More