JUKWAA LA KIMATAIFA LA UTALII WA VYAKULA KUKUTANISHA WABOBEZI WA UTALII ZAIDI YA 300

………….. Arusha Jukwaa la Pili la Kimataifa la Utalii Wa Vyakula la Shirika la Utalii Duniani (UN Tourism) Kanda ya Afrika lililoanza leo Aprili 22, 2025 jijini Arusha linatarajia kukutanisha washiriki takribani 300 wakijumuisha viongozi waandamizi katika sekta ya utalii na ukarimu, watumishi wa serikali, pamoja na wataalamu wa masuala ya upishi kutoka ndani na…

Read More

DR Congo yaishitaki Rwanda mahakama ya Afrika

Arusha. Mvutano wa kisheria umeibuka katika kesi iliyofunguliwa na Seriakali Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) dhidi ya Rwanda kwenye Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) iliyopo jijini Arusha. DRC ilifungua kesi Agosti 2023 na imeanza kusikilizwa leo Februari 12, 2025, mbele ya majaji tisa, ikiongozwa na Rais wa Mahakama hiyo, Jaji…

Read More

Wafanyabiashara 774 kati ya 1,520 waliotambuliwa kuwa na sifa za kurejeshwa katika soko la Kariakoo

WAFANYABIASHARA 774 kati ya 1,520 waliotambuliwa kuwa na sifa za kurejeshwa katika soko la Kariakoo wamejitokeza leo (Februari 07,2025) katika ukumbi wa mikutano wa Arnautoglo Dar es Salaam kuchukua fomu maalum za usajili kwa ajili ya maandalizi ya kuingia kwenye soko hilo kufuatia tangazo la kukamilika kwa uhakiki wa wafanyabiashara na majina kutangazwa kwa umma….

Read More

Wadau wamlilia Bwire, wataja vilivyombeba

WAKATI maandalizi ya kuupumzisha mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Kituo cha Kukuza na Kulea vipaji cha Alliance, Jame Bwire yakiendelea kabla ya kuzikwa wikiendi hii, baadhi ya wadau wa michezo nchini wametaja mambo yaliyombeba kigogo huyo na kuacha alama kubwa ambayo haitafutika kirahisi. Bwire ambaye alikuwa mdau mkubwa wa michezo nchini akiwa ni Mkurugenzi wa…

Read More

Shamrashamra za Kilele cha Sherehe za Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zilizofanyika katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam tarehe 26 Aprili, 2024

Maonesho ya Kwata ya Kikundi cha Askari wa Jeshi la Polisi Tanzania kutoka Zanzibar Maarufu kama Askari wa Tarabushi wakionesha Maonesho mbalimbali ya aina ya Kwata tangu kipindi cha utawala wa Sultan na kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Askari hao walijipatia umaarufu mkubwa kutokana na uvaaji wa Kofia zao za Tarabushi.  Onesho hilo…

Read More

Simba, Tanzania Prisons mechi ya mtego

KOCHA Fadlu Davids kesho ana kazi ya kuiongoza Simba kurekebisha ilipokosea mechi iliyopita itakapoikaribisha Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa KMC Complex, Dar kuanzia saa 10 jioni. Fadlu ambaye anapambana kuirudisha Simba kileleni mwa msimamo wa ligi, alishuhudia mechi iliyopita wakiambulia sare ya 1-1 ugenini dhidi ya Fountain Gate –…

Read More

Wachimbaji wadogo waishukuru Serikali – MICHUZI BLOG

– Wapewa maarifa ya uchimbaji, vifaa– Wajenga shule, maabara ya kisasa MBOGWE WACHIMBAJI wadogo wa madini wilayani Nyang’wale wameishukuru Serikali kwa kutengeneza mazingira mazuri kwa wawekezaji ambao wanatoa msaada wa kiufundi ambapo elimu ya uchimbaji na vifaa vimetolewa kwa wachimbaji hao. Lengo ni kuwatoa kwenye uchimbaji mdogo na kuwa uchimbaji wa kati na baadaye mkubwa….

Read More