Waandamanaji Kenya wachoma magari, balozi zatoa tahadhari

Dar es Salaam. Matukio ya waandamanaji wa Gen Z kuchoma moto mali na ulipuaji wa mabomu ya kutoa machozi yanaendelea kushuhudiwa nchini Kenya. Manadamano hayo yanayofanywa ikiwa ni muendelezo wa kile walichokianza wiki mbili zilizopita, hoja yao kubwa ikiwa ni kukataa muswada wa fedha kwa mwaka 2024, Rais William Ruto kutangaza kutousaini na kuurudisha bungeni….

Read More

Kumekuchaa! Kisa Dabi viongozi Yanga waitwa TPLB

WAKATI sintofahamu ikiendelea kutanda juu ya hatma ya mchezo wa Dabi ya Kariakoo, viongozi wa juu wa Yanga wameitwa makao makuu ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB). Taarifa kutoka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) inaeleza TPLB imewaita viongozi hao mezani, kuzungumza nao kwani Yanga ndiyo timu mwenyeji wa mchezo huo. Kwenye kikao hicho,…

Read More

‘Serikali inachukua hatua ripoti za CAG’

Mwanza. Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) imewataka wananchi na wadau wa maendeleo nchini Tanzania kujenga utamaduni wa kusoma ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ili kufuatilia kwa karibu utekelezaji wa mapendekezo yanayotolewa na ofisi hiyo inapobaini udhaifu, mapungufu na ubadhirifu kwenye taasisi na miradi. Akizungumza leo Jumamosi Mei 17,…

Read More

Wavuvi walalama kufungwa Ziwa Tanganyika

Mwanza. Baadhi ya wavuvi wa mikoa ya Rukwa, Kigoma na Katavi inayozungukwa na Ziwa Tanganyika wamesema hawajui hatima yao wakati ziwa hilo likifungwa. Imeelezwa kuwa ziwa linafungwa leo na litafunguliwa Mei 15, 2024 ili kupisha uzalishaji wa mazalia ya samaki. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega akizungumza na Mwananchi leo amesema  kufungwa kwa ziwa…

Read More

Nusu fainali ya wageni Kagame Cup 2024

MICHUANO ya Kombe la Kagame 2024 imefikia patamu wakati leo zikipigwa mechi za nusu fainali ambazo hata hivyo zinakutanisha wageni watupu, baada ya wenyeji Coastal Union, Singida BS na JKU kutolewa mapema hatua ya makundi. Nusu fainali ya kwanza itazikutanisha APR ya Rwanda dhidi ya Al Hilal ya Sudan mechi itakayopigwa kuanzia saa 9:00 alasiri…

Read More

Mshukiwa wa mauaji wanawake 42 atoroka mahabusu

  RAIA wa Kenya aliyekiri kuhusika na mauaji ya wanawake 42 ambao baadhi yao miili yao ilipatikana ikiwa imetupwa kwenye dampo la Kware jijini Nairobi, ametoroka gerezani. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Nairobi, Adamson Bungei mshukiwa huyo Collins Jumaisi (33) pamoja na wafungwa wengine 13…

Read More

Klabu zaigeuka Yanga | Mwanaspoti

SAKATA linaloendelea baina ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Yanga kuhusiana na deni la fedha za zawadi za ubingwa wa Kombe la Shirikisho (FA), limechukua sura mpya. Yanga iliyotangaza kugomea pambano la Dabi ya Kariakoo dhidi ya Simba lililopangwa Juni 15, iliibua jambo jipya ikitishia kutocheza fainali ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Singida…

Read More

Walioshona bendera za Urusi wadakwa Nigeria

NIGERIA imewashikilia baadhi ya mafundi cherehani kwa kutengeneza bendera za Urusi ambazo zilipeperushwa wakati wa maandamano ya kuipinga serikali wiki hii katika majimbo ya kaskazini mwa nchi hiyo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Idara ya Huduma za Serikali ya Nigeria (DSS) pia ilisema kwenye chapisho kwenye mtandao wa X kwamba imewaweka kizuizini baadhi ya wafadhili…

Read More

Wajue makardinali 133 watakaomchagua Papa mpya

Vatican. Makardinali 133 kuanzia Mei 7, 2025 watashiriki mkutano maalumu kumchagua Papa mpya wa 267 kufuatia kifo cha Papa Francis kilichotokea Aprili 21 mwaka huu. Kwa mujibu wa taarifa iliyoandikwa na Angella Rwezaula na kuchapishwa na mtandao wa Vatican News, makardinali hao wanatoka nchi 71 katika mabara matano. Hao ni makardinali wa mataifa 17 ya…

Read More

Viongozi Chadema wamvaa Samia kamatakamata Bavicha

MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu na Katibu Mkuu wa chama hicho, John Mnyika wamemtaka Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini kusitisha hatua zinazofanywa na Jeshi hilo kuzuia maadhimisho ya siku ya vijana duniani yanayoandaliwa na Baraza la Vijana Chadema (Bavicha). Anaripoti Mwandishi Wetu, Mbeya ….(endelea). Maadhimisho hayo…

Read More