Room to Read lataja suluhu ya vikwazo vya kielimu kwa wasichana

Kwa miaka mingi mtoto wa kike amekuwa akibaki nyuma kielimu kutokana na mila, tamaduni, changamoto za kifamilia, mfumo dume, umaskini na ukosefu wa miundombinu rafiki shuleni.  Wengi hukumbana na vikwazo kama kukosa vifaa vya kujisitiri wanapofika usichana, kukosa uhuru wa kuhudhuria vipindi, ndoa na mimba za utotoni, pamoja na ukatili wa kijinsia.  Hali hii hupunguza…

Read More

Planet yainyoa tena Eagle Mwanza

PLANET imeonyesha ubabe kwa kuifunga timu ngumu ya Eagles kwa pointi 62-59 katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mwanza iliyofanyika kwenye Uwanja wa Mirongo, jijini humo. Mchezo huo ni wa pili kwa timu hiyo kupoteza katika mchezo wa kwanza iliweza kufungwa na Planet kwa pointi 81-72. Mchezaji Romanus wa Planet  aliongoza kwa kufunga pointi 17,…

Read More

Wajitolea wa jamii wanaofanya kazi ili kulinda tembo wa mwisho wa Bangladesh – maswala ya ulimwengu

Wajumbe wa Timu ya Majibu ya Tembo (ERT) katika Msitu wa Inani chini ya Ukhiya Upazila ya Cox’s Bazar. Mikopo: Rafiqul Islam/Ips na Rafiqul Islam (Cox’s Bazar, Bangladesh) Jumatano, Oktoba 22, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Cox’s Bazar, Bangladesh, Oktoba 22 (IPS) – Wakati mifugo ya tembo mwitu inaposhuka kutoka kwenye vilima kutafuta chakula,…

Read More

Chadema, ACT-Wazalendo waibana Serikali | Mwananchi

Dar es Salaam. Vyama vya Chadema na ACT- Wazalendo vimeibana Serikali, vikitaka hatua kuchukuliwa kushughulikia na kukomesha vitendo vya utekaji au watu kupotea katika mazingira ya kutatanisha. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema iwapo hakuna hatua zitakazochukuliwa dhidi ya wakuu wa taasisi zinazosimamia ulinzi na usalama wa raia, wafuasi na wanachama wa chama hicho watainga…

Read More

EPUKENI KUJIHUSISHA MAHUSIANO YA KIMAPENZI NA WANAFUNZI.

Na Issa Mwadangala Wasafirishaji wa abiria kwa kutumia pikipiki (Bodaboda) kijiwe cha Shingo feni kilichopo Kijiji cha Lumbila Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe wametakiwa kuepukana na vitendo vya kujihusisha na mahusiano ya kimapenzi na wanafunzi ikiwa ni pamoja na kufuata na kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kuepukana na ajali ambazo zinaweza kusababisha madhara makubwa…

Read More

RIDHIWANI AKABIDHI VIFAA VYA MAENDELEO VYENYE THAMANI YA MILIONI 59.4 KWA MAOFISA MAENDELEO CHALINZE

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, ambae pia ni Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete, amekabidhi pikipiki 14, vishkwambi 15, na spika 15, vyenye thamani ya sh. mil 59,400,000 kwa maofisa maendeleo ya kata wa Halmashauri ya Chalinze.  Ameeleza vifaa hivyo vitasaidia kuboresha ufanisi wa kazi na kuwafikia wananchi…

Read More