VIJANA WAASWA KUSOMA MIKATABA KABLA YA KUKUBALI HUDUMA

Afisa Mlinda Mlaji Mwandamizi FCC Bi.Magdalena Hall,akitoa elimu kuhusu masuala ya kumlinda mlaji na mikataba ya walaji kwa wanafunzi wa Chuo Cha Ufundi Stadi VETA Kibaha ,ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Haki za Mlaji Duniani 2026. …. KATIKA harakati za kuimarisha uelewa wa haki za walaji nchini, Tume…

Read More

Aliyemuua baba yake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Arusha. Mahakama Kuu, Masijala Ndogo ya Bukoba, imemhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa Victor Alex baada ya kumkuta na hatia ya kumuua baba yake mzazi, Alex Marcel, kwa kumkata kwa panga. Mauaji hayo yalitokea Aprili 29, 2024 katika Kitongoji cha Rwamashanga, Kijiji cha Ruzinga, wilayani Karagwe, mkoani Kagera. Hukumu hiyo ilitolewa Machi 18, 2026 na…

Read More

Mashariki ya Kati inavyoadhimisha Eid katikati ya vita

Dar es Salaam. Wakati baadhi ya  Waislamu wakiendelea na mfungo wa Ramadhan katika baadhi ya maeneo duniani, Mashariki ya kati katika mataifa kama Saudi Arabia wamesherehekea sikukuu ya Eid al-Fitr. Kutokana na tishio la kiusalama linalochochewa na vita vya Iran, Israel na Marekani, mataifa hayo ya Ghuba yametangaza kuwa sala za sikukuu ya Eid mwaka…

Read More

Jeshi la Polisi lawashikilia wawili kwa mauaji ya Nyanza

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linawashikilia watuhumiwa wawili wanaohusishwa na mauaji ya Athumani Nyanza, ambaye mwili wake ulipatikana ukiwa umefukiwa kwenye shimo karibu na nyumba yake Mtaa wa Kimya Kimya, Kata ya Zingiziwa, Chanika. Taarifa za awali zinaeleza kuwa marehemu Nyanza anadaiwa kuuawa na mpenzi wake, kabla ya…

Read More

Polisi Dar Wakamata Wawili Kwa Mauaji ya Athumani Nyanza

Global Publishers March 20, 2026 0 Comments Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, amesema jeshi la polisi limefanikiwa kuwakamata watu wawili akiwemo Rehema Maulidi (42), kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya Athumani Nyanza. Akizungumza na vyombo vya habari, Kamanda Muliro alisema kuwa mtuhumiwa huyo pamoja na mwenzake mmoja ambaye…

Read More