MAADHIMISHO MIAKA 49 YA CCM: MNEC DODOMA AFUNGUA SHINA LA WAKEREKETWA JAMUHURI, APANDA MITI, AWEKA MKAZO MIKOPO KWA VIJANA.
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Dodoma (MNEC) Donald Mejetii, amesema serikali ya Chama Cha Mapinduzi imeamua kurasimisha ajira zisizotambuliwa ili ziwe rasmi, hatua inayolenga kuwawezesha vijana waliyojiajiri kujikwamua kiuchumi na kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya taifa. Akizungumza na wana-CCM wa Mkoa wa Dodoma mara baada ya kufungua Shina la Wakereketwa la CCM…