MAADHIMISHO MIAKA 49 YA CCM: MNEC DODOMA AFUNGUA SHINA LA WAKEREKETWA JAMUHURI, APANDA MITI, AWEKA MKAZO MIKOPO KWA VIJANA.

Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Dodoma (MNEC) Donald Mejetii, amesema serikali ya Chama Cha Mapinduzi imeamua kurasimisha ajira zisizotambuliwa ili ziwe rasmi, hatua inayolenga kuwawezesha vijana waliyojiajiri kujikwamua kiuchumi na kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya taifa. Akizungumza na wana-CCM wa Mkoa wa Dodoma mara baada ya kufungua Shina la Wakereketwa la CCM…

Read More

Wawili wachomwa moto Songwe wakidaiwa kuiba ng’ombe

Songwe.Watu wawili wameuawa na wananchi wenye hasira katika Kijiji cha Isalalo, wilayani Mbozi, kwa tuhuma za wizi wa ng’ombe wanane wanaodaiwa kuibwa wilayani Momba. Katika tukio hilo, wananchi wamechoma moto na kuteketeza gari aina ya Fuso lililokuwa limebeba mifugo hiyo, huku ng’ombe hao wakidaiwa kutoroshwa na watu wasiojulikana baada ya vurugu hizo kutokea. Kamanda wa…

Read More

Uwanja wa KMC Wafungiwa na TFF kwa Kukosa Vigezo

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungia uwanja wa KMC uliopo Dar es Salaam kutumika kwa michezo ya Ligi, baada ya kubaini kuwa haukidhi vigezo vya kikanuni na sheria za mpira wa miguu. Kwa mujibu wa TFF, miundombinu ya uwanja huo haijakidhi matakwa ya Kanuni kama ilivyoainishwa katika masharti ya Kanuni…

Read More

Malengo ya Enock Jiah TRA United

MSHAMBULIAJI mpya wa TRA United ya Tabora, Enock Jiah, amesema amefurahi kurejea Ligi Kuu Bara baada ya kukaa kwa muda bila kucheza soka la ushindani kufuatia kuachana na Fanja FC ya nchini Oman, huku akiweka malengo ya kucheza tena soka nje ya Tanzania. Jiah anayemudu kucheza pia kama kiungo mshambuliaji, amejiunga na TRA United kwenye…

Read More