Watawa waliofariki ajalini wazikwa Dar

Dar es Salaam. Watawa wanne waliofariki dunia katika ajali ya gari mkoani Mwanza, wamezikwa  leo Septemba 19 jijini Dar es Salaam na jamii imetakiwa kuwakumbuka kwa kuishi vema kwa kuacha alama. Waliofariki dunia katika ajali hiyo iliyotokea Septemba 15, 2025 mkoani Mwanza baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori, ni Lilian…

Read More

Meridianbet Yachangia Mashine za Sanitizer Mwenge Hospitali – Global Publishers

Kama kawaida wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wanaendelea na harakati zao za kurejesha kwenye jamii ambapo leo hii waliigusa hospitali ya Mwenge kwa kuwapelekea mashine maalumu kwaajili ya kuwekea sabuni na sanitizer lengo likiwa na kuimarisha usafi. Hatua hii inatokana na dhamira ya kampuni hiyo kushirikiana na taasisi za afya katika kuimarisha mapambano dhidi ya…

Read More

Mtindo wa maisha unavyopaisha thamani ya kuku

Dar es Salaam. Katika miji na vijiji vya Tanzania, kuku wameendelea kuwa zaidi ya chakula mezani, ni tegemeo la maisha, chanzo cha ajira na kipato cha uhakika kwa maelfu ya wananchi. Biashara ya kuku wa nyama imekua kwa kasi, ikichochewa na ongezeko la mahitaji na mabadiliko ya mtindo wa maisha. Baadhi ya wateja siku hizi…

Read More

Folz achomoa watatu Angola kikosi cha Dabi 

KOCHA wa Yanga, Romain Folz amefanya mabadiliko ya wachezaji watatu katika kikosi cha kwanza cha timu hiyo ambacho kitaivaa Wiliete  ya Angola jioni hii huko Luanda, tofauti na kile ambacho kilianza katika Ngao ya Jamii dhidi ya Simba, Septemba 16. Yanga inatupa karata ya kwanza katika hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ikisaka…

Read More

DC NYAMWESE: BIL.1.3/- KULIPA FIDIA WANANCHI MRADI WA GRIDI IMARA HANDENI

Na Mwandishi Wetu,Handeni ULIPAJI fidia kwa wananchi waliopisha Mradi wa Gridi Imara umezinduliwa rasmi katika maeneo ya Mkata, Handeni na Kilindi, huku serikali imeahidi kulinda maslahi ya wananchi na kuhakikisha nishati bora inawanufaisha wote. Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese, akizindua zoezi hilo, amesema kiasi cha Sh.Bilioni 1.3 kitatumika kulipa fidia kwa wananchi…

Read More

Oryx Gas na TCRF waunga mkono jitihada za Rais Samia kwa kufunga jiko la nishati mashuleni

KATIKA kuunga juhudi za Serikali kupitia kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Kampuni ya Oryx Gas Tanzania imeshirikiana na Taasisi ya Tanzania Communities Rise Foundation(TCRF) kuhakikisha shule ambazo zinawanafunzi zaidi 100 kuunganisha jiko linalotumia mfumo wa nishati safi ili kuondokana na matumizi ya mkaa na kuni. Akizungumza leo Septemba 19,2025 katika hafla ya uzinduzi wa…

Read More

Watatu kortini wakidaiwa kusafirisha kilo moja ya cocaine

Dar es Salaam. Wafanyabiashara watatu, wakazi wa Manzese, jijini Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakidaiwa kusafirisha kilo moja ya dawa za kulevya aina ya cocaine. Washtakiwa hao ni Salum Kilindo (46), Salum Hassan (33) na Sofia Ngawaya (34). Leo Ijumaa, Septemba 19, 2025, washtakiwa hao wamefikishwa mahakamani hapo na kusomewa…

Read More