TBA yatoa Notisi wadaiwa sugu 648

Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) umetoa notisi kwa wadaiwa sugu 648 wa kodi ya pango ya sh. bilioni 14.8 katika mikoa ya Dodoma, Mwanza, Arusha na Mara kwa lengo la kuanza kuwaondoa katika nyumba hizo. Pia TBA imepata kibali cha Namba ya Makato Deduction Code (Vote No. S4 Code No.FC7801 TBA…

Read More

Changamoto lukuki zawakabili wahamiaji | Mwananchi

Dar es Salaam. Wakati dunia ikiadhimisha siku ya kimataifa ya wahamiaji, changamoto zinazowakabili zimetajwa kuwa pamoja na kuchelewa kupata utambulisho, kukosa ajira, huku wananchi wanaoishi mipakani wakinyimwa huduma kwa kuhusishwa na wahamiaji. Maadhimisho hayo yalianza Desemba 18, 1990 baada ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kupitisha azimio kuhusu Mkataba wa Kimataifa wa Kulinda Haki…

Read More

Spika amkalia kooni Mpina | Mwananchi

Dodoma. Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amempeleka Mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina katika Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa kosa la kumdharau yeye na Bunge. Juni 4, 2024 wakati wa mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Fedha kwa mwaka 2024, Mpina alitoa…

Read More