Rais Samia aonya utunzaji wa amani, azindua mradi wa maji

Mwanza. Serikali imewataka Watanzania kudumisha amani na utulivu, kwa ajili ya maendeleo na sifa nzuri ya Tanzania. Rais Samia Suluhu Hassan amebainisha hayo leo Juni 20, 2025 jijini Mwanza wakati akizungumza na wananchi wa Butimba, akiwaeleza kwamba Tanzania ina amani na utulivu na utashi wa kisiasa katika kutekeleza miradi ya maendeleo. Amewataka kutulia na kufanya…

Read More

MAADILI YAPEWA KIPAUMBELE KATIKA JUKWAA LA AKILI UNDE

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya TEHAMA Dkt Nkunde Mwasaga wakati akizungumza katika mkutano wa kwanza wa Jukwaa la Akili Unde la Tanzania ( Tanzania Artificial Intelligence Forum 2025) ambalo linafanyika kwa siku mbili Julai 28-29 mwaka huu likiiangazia nama ya utengenezaji fursa kwa vijana sambamba na kulinda maadili ya nchi. Mtaalamu wa Usalama na Uchunguzi…

Read More

Rais Samia mgeni rasmi kuapishwa Rais wa Namibia

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi katika Jamhuri ya Namibia kesho Ijumaa Machi 21, 2025 kuhudhuria sherehe za uapisho wa Rais mteule wa nchi hiyo, Netumbo Nandi-Ndaitwah. Rais Samia amealikwa kama mgeni rasmi na anatarajia kuhutubia kwenye sherehe hizo za uapisho zitakazofanyika sambamba na maadhimisho ya miaka…

Read More

Dakika 540 za Msuva Iraq

WINGA wa Kitanzania, Simon Msuva hajaanza vyema Ligi Kuu Iraq akiwa na kikosi cha Al Talaba SC baada ya kucheza dakika 540 na kufunga bao moja. Ni msimu wa pili kwa winga huyo wa zamani wa Wydad AC ya Morocco na Yanga, kuitumikia Talaba, ambako msimu uliopita alifunga mabao 12 kwenye mechi 11. Msimu huu…

Read More

Simulizi mlima wa mauti Mbeya

Mbeya. Wakati zikiripotiwa ajali zinazoua makumi ya watu katika Mlima Iwambi jijini Mbeya, wakazi wa Mtaa wa Ndejele uliopo eneo hilo, wamesimulia namna walivyochoka kuokota maiti za ajali mara kwa mara, huku wakiitaka Serikali kuchukua hatua. Wamesema eneo hilo limekuwa hatari kwa ajali za mara kwa mara zinazohusisha pikipiki, bajaji, hiace na magari ya abiria…

Read More

Serikali kuendelea kushirikiana na viongozi wa dini

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema serikali inaendelea kushirikiana na viongozi wa dini kuhakikisha suala la maadili nchini. Jana, Chalamila alikua mgeni rasmi akimwakikisha Rais Dk.Samia Suluhu Hassan, katika Ibada ya Maadhimisho ya Miaka 90 ya Kanisa Kuu la Mtakatifu Albano, Upanga jijini Dar es Salaam. Alilitaka kanisa hilo kuendelea kujitafakari…

Read More