Kibarua cha Chongolo kwa madiwani mabaraza yakivunjwa

Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amewataka wakuu wa idara na vitengo wa Halmashauri za mkoa huo, kusimamia fedha zinazotolewa na Serikali kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo hata baada ya mabaraza ya madiwani kuvunjwa. Chongolo ametoa wito huo wakati wa kikao cha baraza la madiwani katika halmashauri ya Ileje lililofanyika kwa…

Read More

Wafugaji waitwa kupatiwa chanjo ya kichaa cha mbwa bure

Unguja. Wakati ugonjwa wa kichaa cha mbwa ukitajwa na wataalamu kutokuwa na dawa, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeanza kutoa chanjo ya kichaa cha mbwa bure na kuwataka wamiliki wa wanyama hao kujitokeza kuwachanja ili kuepusha athari zinazoweza kujitokeza. Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo kupitia Idara ya Maendeleo ya Mifugo, imeeleza kuwa itaendelea kutoa…

Read More

Zungu awatwisha mzigo wabunge bajeti ya kijinsia

Dodoma. Naibu Spika wa Bunge, Mussa Zungu amewataka wabunge kutizama Kanuni za Kudumu za Bunge kama zinakidhi ipasavyo utekelezaji wa dhana bajeti inayozingatia masuala ya kijinsia na iwapo zina kasoro,  ziboreshwe ili ziwawezeshe kuishauri Serikali kwa manufaa ya Taifa. Zungu ameyasema hayo leo Juni 8, 2024 wakati akifungua mafunzo ya wabunge kuhusu uchambuzi wa bajeti…

Read More

Hatari ya ‘utani’ kwenye uhusiano

Dar es Salaam. Licha ya mazungumzo kuwa nguzo muhimu katika ndoa na uhusiano, lakini maneno haya huweza kugeuka mwiba na sumu kali inayoweza kuleta madhara endapo yatatumika vibaya. Dhihaka, matusi, kejeli na maneno ya udhalilishaji dhidi ya mwenza yanaelezwa kuwa chanzo pia cha maumivu yanayoweza kusababisha changamoto ya afya ya akili. Angel Willium ni miongoni…

Read More

TANZANIA NA MISRI KUSHIRIKIANA KUKUZA SEKTA YA UTALII

Na Happiness Shayo- Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, zimekutana kujadiliana namna bora ya kushirikiana katika kukuza na kuendeleza utalii baina ya nchi hizo mbili. Hayo yamejiri leo Februari 18,2025 jijini Dar es Salaam katika kikao kati ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi,…

Read More

Sintofahamu maduka yakifungwa Kariakoo | Mwananchi

Dar es Salaam. Baada ya vipeperushi kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kuwepo kwa mgomo wa wafanyabiashara Soko la Kariakoo, Mwananchi Digital imefika katika soko hilo  na mpaka saa 3 asubuhi maduka mengi bado hayajafunguliwa. Leo Jumatatu, Juni 24, 2024 Mwananchi imeshuhusdia wafanyabiashara katika eneo hilo wakiwa wamekaa nje, huku maduka yao yakiwa yamefungwa. Baadhi…

Read More