
Kibarua cha Chongolo kwa madiwani mabaraza yakivunjwa
Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amewataka wakuu wa idara na vitengo wa Halmashauri za mkoa huo, kusimamia fedha zinazotolewa na Serikali kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo hata baada ya mabaraza ya madiwani kuvunjwa. Chongolo ametoa wito huo wakati wa kikao cha baraza la madiwani katika halmashauri ya Ileje lililofanyika kwa…