DIWANI WA ZUZU ATOA MSIMAMO KUHUSU CHIMBO LENYE UTATA MAZENGO

…….. Na Carlos Claudio, Dodoma. Wananchi wa Mtaa wa Mazengo, Kata ya Zuzu jijini Dodoma, wameiomba Serikali kuingilia kati na kusitisha mara moja shughuli za uchimbaji wa madini ujenzi zinazoendelea katika eneo lao, wakieleza kuwa zinahatarisha maisha yao na kusababisha uharibifu wa mazingira. Ombi hilo lilitolewa wakati wa ziara ya Diwani wa Kata ya Zuzu,…

Read More

Taji la 2025 ni mbio za farasi wawili

MBIO za kusaka taji la ubingwa wa Taifa wa mbio za magari zimezidi kupata sura mpya baada ya bingwa mtetezi, Manveer Birdi kurudi upya na kutishia uongozi wa dereva kutoka Arusha, Gurpal Sandhu. Sandhu ambaye alikuwa mbele ya Manveer Birdi kwa pointi 21 kabla ya kwenda Morogoro alikuwa akiongoza kwa pointi 56, huku Birdi na…

Read More

Marcio: Mambo yameiva KMC | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa KMC, Marcio Maximo amesema kikosi chake kiko fiti kwa asilimia kubwa na kinachoendelea ni kutengeneza mbinu zitakazokipa matokeo mazuri mapema mwezi ujao ligi itakapoanza. KMC imerejea kwenye uwanja wa nyumbani baada ya kuweka kambi ya wiki mbili  Zanzibar huku kocha huyo akidai kuwa maandalizi kwa ujumla yanakwenda vizuri na anaridhishwa na uwezo…

Read More

Hofu ya ‘kibamia’ inavyotesa wanaume wengi

Mwanza. Ukubwa wa uume ni mada ambayo wanaume wengi huijadili kwa sauti ya chini, kwa aibu au kwa mzaha, lakini ndani yake ikiwa imejaa hofu na mashaka. Katika vijiwe vya kahawa, makundi ya marafiki na hata faraghani ndani ya ndoa, swali la wanaume wengi limekuwa lilelile; je, nina ukubwa wa kutosha? Nitamridhisha mke wangu? Kadiri…

Read More

Wataalamu wataja sababu ongezeko la mafua, Uviko-19

Dar es Salaam. Wakati Wizara ya Afya ikitoa tahadhari kwa wananchi kufuatia ongezeko la wagonjwa wa mafua makali na Uviko-19 nchini, wataalamu wa afya wameeleza sababu za kuongezeka kwa maambukizi hayo katika kipindi hiki. Aidha, wataalamu hao wametaja makundi yaliyo hatarini zaidi na kusisitiza umuhimu wa kupata matibabu stahiki mapema, badala ya kujitibu bila ushauri…

Read More