RAIS SAMIA KUZINDUA BENKI YA USHIRIKA

….,……….. RAIS wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua Benki ya Ushirika (CoopBankTanzania), lengo likiwa ni kufufua benki za kijamii zilizofilisika nchini. Akizungumza jana mkoani Dodoma Waziri wa Kilimo Husein Bashe, amesema Wizara ilipokea maagizo ya Rais Dkt Samia, kuhakikisha benki za kijamii zilizofilisika zinarejea na katika hatua za awali mnamo April 28 Rais…

Read More

Tabora United yamruka Yusuph Kitumbo

Siku moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuipiga mkwara Tabora United kuwa itaichukulia hatua ya kinidhamu kwa kuendelea kufanya kazi na Yusuph Kitumbo aliyefungiwa maisha kujihusishwa na soka, uongozi wa timu hiyo umeibuka na kumruka ukidai haumtambui kama kiongozi wa klabu hiyo. TFF jana ilitoa onyo la mwisho kwa Tabora United ambayo jana ilikuwa uwanjani…

Read More

Jenerali Kanierugaba ajitoa mtandao wa X

Kampala. Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Uganda (UPDF) na mtoto wa Rais wa nchi hiyo,  Yoweri Museveni, Jenerali Muhoozi Kainerugaba ametangaza kuachana na mtandao wa X, ambapo amekuwa akichapisha jumbe zenye utata. Jenerali Kainerugaba mwenye umri wa miaka 50 amekuwa akijihusisha zaidi katika ulingo wa kisiasa, na kukiuka itifaki za kijeshi, na hivyo kuzua…

Read More

Mstaafu anapofarijika pale jamii inapoonyesha kumjali

Wakati mstaafu akijiandaa na kujipa moyo akisubiri nyongeza ya shilingi elfu hamsini aliyoongezwa kwenye pensheni yake ya ‘Laki si pesa’ baada ya miaka 20 na anayotegemea iingie mfukoni mwake mwishoni mwa ‘Njaanuari’, anafarijika kuona angalau jamii yake inamuunga mkono kwenye malalamiko yake kuhusu taabu zinazomkabili. Maoni hayo ya wananchi anayasoma kwenye mitandao ya kijamii lakini…

Read More

Kijana wa Kitanzania abuni mfumo wa AI, maajabu yake

Dar es Salaam. Wengi wanaoitaja Tanzania kuwa ina utajiri wa rasilimali, huorodhesha  vitu kama vile, ardhi, vito vya thamani, uoto wa asili na vinginevyo. Wanachosahau  ni kuwa nchi hiyo kubwa zaidi katika ukanda wa Afrika Mashariki, ina rasilimali watu wanaokuna vichwa vyao barabara. Katika orodha hiyo, yumo kijana Noel Sebastian (24) mkazi wa Gongolamboto, Dar es…

Read More

Jaji Siyani aonya ucheleweshaji kesi

Lushoto. Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mustapher Siyani amewataka majaji wapya wa Mahakama Kuu ya Tanzania kuhakikisha wanashughulikia mashauri mapema na kuondoa mianya yote inayochelewesha mashauri hayo, ili haki ipatikane kwa wakati. Siyani amenena hayo wakati akifungua mafunzo elekezi ya majaji wanne wapya wa Mahakama Kuu ya Tanzania jana Julai 8, 2024 katika…

Read More

'Sheria Inapaswa Kuwalinda Wanawake na Wasichana, Sio Kuwahalifu' – Masuala ya Ulimwenguni

na CIVICUS Alhamisi, Julai 18, 2024 Inter Press Service Jul 18 (IPS) – CIVICUS inajadili haki za uavyaji mimba nchini Brazili na Guacira Oliveira, mkurugenzi wa Kituo cha Wanawake cha Mafunzo na Ushauri (CFEMEA). CFEMEA ni shirika linalopinga ubaguzi wa rangi ambalo linatetea haki za wanawake, matunzo ya pamoja na kujitunza na kufuatilia maendeleo katika…

Read More