Ibenge aona kitu Azam, awaonya mapema mastaa wake

KATIKA misimu 10 ya ushiriki wa michuano ya kimataifa iliyo chini ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Azam FC haijawahi kufuzu hatua ya makundi hali inayomfanya kocha wa kikosi hicho, Florent Ibengé kuzicheza kwa akili mechi mbili zijazo ili kuweka rekodi mpya. Huu ni msimu wa 11 kushiriki CAF. Mechi hizo ni dhidi…

Read More

Majogoro afichua siri ya kuwatosa vigogo

BAADA ya kiungo mkabaji, Baraka Majogoro kurejea nchini na kujiunga na kikosi cha KMC alichowahi kukitumikia hapo awali, nyota huyo amesema haikuwa rahisi kuzikataa ofa mbalimbali za timu kutoka ndani na nje ya nchi zilizokuwa zinamuhitaji. Nyota huyo aliyejiunga na KMC msimu huu baada ya kuachana na Chippa United ya Afrika ya Kusini, alisema kulikuwa…

Read More

Swissport Tanzania yatangaza faida ya Sh8.6 bilioni

Dar es Salaam. Kampuni ya huduma za usafiri wa anga nchini Tanzania, Swissport Tanzania PLC, imetangaza kupata faida kabla ya kodi ya Sh8.6 bilioni kwa mwaka wa fedha uliomalizika Desemba 31, 2024. Hayo yamebainishwa na Kaimu Ofisa Mtendaji Muu wa Swissport Tanzania PLC, Shamba Mlanga  katika Mkutano Mkuu wa 40 wa mwaka wa wanahisa uliofanyika…

Read More

Polisi watanda Ruanda Nzovwe kudhibiti maadhimisho ya Bavicha

Mbeya. Askari wa Jeshi la Polisi wametanda katika Uwanja wa Ruanda Nzovwe, jijini Mbeya kulipopangwa kufanyika maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani yaliyokuwa yameandaliwa na Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha). Maadhimisho hayo yalikuwa yafanyike leo Jumatatu, Agosti 12, 2024, lakini Jeshi la Polisi kupitia kwa Kamishna wa Operesheni na Mafunzo, Awadh Juma Haji lilitangaza…

Read More

Wadau wataja mbinu kukabili madhara ya mvua Tanzania

Dar es Salaam. Wadau wa mazingira na usimamizi wa majanga wametaja sababu za madhara wakati wa mvua ni ujenzi holela katika maeneo ya mikondo ya maji, udhaifu wa usimamizi wa mipango miji na miundombinu isiyo himilivu. Mbali na hayo, wamependekeza mbinu za kukabiliana na hali hiyo, ikiwamo Serikali kutenga bajeti ya kutosha kwa ajili ya…

Read More