Wabunge walia na malimbikizo madeni ya watumishi wa umma

Dodoma. Wakati wabunge wakihoji malimbikizo ya madeni ya mishahara na stahiki nyingine za watumishi wa umma, Serikali imesema imetumia Sh219 bilioni kulipa madeni ya mishahara yaliyoanza Mei 2021. Akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu Neema Mgaya leo Mei 27, 2024, Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na…

Read More

Mgunda: No Chama, No problem

WAKATI mabadiliko ya kikosi cha Simba katika michezo miwili iliyopita ya ligi yakianza kuwavutia baadhi ya wadau na mashabiki wa timu hiyo, kaimu kocha mkuu wa wekundu hao wa Msimbazi, Juma Mgunda anaamini wanaweza kufanya makubwa zaidi katika michezo saba iliyosalia kabla ya msimu 2023/24 kumalizika bila ya uwepo wa baadhi ya mastaa akiwemo Clatous…

Read More

Senegal, Nigeria kazi ipo Zenji CHAN 2024

MICHUANO ya fainali za Kombe la Ubingwa kwa Nchi za Afrika (CHAN) 2024 inaendelea tena leo kwa mechi mbili za Kundi D zitakazopigwa visiwani Zanzibar, lakini macho na masikio yanaelekezwa katika pambano la watetezi, Senegal ‘Simba wa Teranga’ dhidi ya Super Eagles ya Nigeria. Pambano hilo litakalopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex kuanzia saa…

Read More

Arajiga pilato wa Simba, Singida FA

Refa Ahmed Arajiga ndiye atashika filimbi katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB baina ya Simba na Singida Black Stars itakayochezwa kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa, Babati kuanzia saa 9:30 alasiri. Huo ni mchezo wa pili kwa Arajiga kuichezesha Simba msimu huu, wa kwanza ukiwa ni wa mzunguko wa pili wa…

Read More

Anayedaiwa kuendesha biashara ya upatu ajifungua gerezani

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeelezwa kuwa Mkurugenzi wa kampuni ya mikopo ya Atlantic Micro Credit Limited, Wendy Ishengoma (38) anayekabiliwa na mashitaka ya kuendesha biashara ya upatu, ameshindwa kufika mahakamani hapo kutokana na kujifungua. Mshtakiwa huyo ambaye alifutiwa shitaka moja la kutakatisha fedha, amejifungua mtoto wa kiume, Ijumaa Februari 21, 2025…

Read More

Wizi wa mtandaoni waliza Watanzania Sh5.3 bilioni

Dar es Salaam. Tanzania imepoteza Sh5.345 bilioni kutokana na udanganyifu mwaka 2024, matukio yanayohusishwa na udanganyifu huo ni uhamishaji wa fedha kupitia simu za mkononi, benki, na utoaji wa fedha kwa ATM, kama inavyoonyeshwa na ripoti mpya ya Takwimu za Uhalifu na Ajali za Barabarani. Kiasi hicho kinaashiria ongezeko kutoka Sh5.067 bilioni zilizoripotiwa mwaka uliopita,…

Read More

Fountain Gate, Tabora zimepishana kidogo tu

KIJIWENI kwetu hapa tulikuwa tunautazama msimamo wa Ligi Kuu Bara wakati huu ambao zimebaki raundi mbili msimu wa 2024/2025 umalizike. Tukawaona jamaa zetu wa kule Babati, Manyara, Fountain Gate wapo katika nafasi ya 14 kwenye msimamo ikiwa imekusanya pointi 29 katika mechi 28 ilizocheza hadi sasa ikipata ushindi mara nane na kutoka sare tano na…

Read More