Mario asapraizi mashabiki kwa pikipiki

MSANII wa Bongo Fleva, Omary Ally Mwanga ‘Marioo’ amewafanyia sapraizi mashabiki wa Yanga kutokana na aina  ya uingiaji wake Uwanja wa Benjamin Mkapa kutumbuiza sherehe za kilele cha Wiki ya Mwananchi. Kabla ya msanii huyo kuingia yalianza kupigwa mafakati juu, walifuatilia waendesha bodaboda waliozunguka uwanja akiwamo naye akiendesha yake, jambo ambalo lilifanya mashabiki kupata vaibu…

Read More

SERIKALI YASHUSHA MAAGIZO KWA WATHIBITI UBORA WA SHULE

NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Wilson Mahera,akizungumza wakati akifunga Mafunzo Elekezi ya siku tatu kwa Maofisa Uthibiti ubora wa Wilaya Wateule  yanayofanyika jijini Dodoma. Mkurugenzi wa Uthibiti Ubora wa Shule Ephraim Simbeye,akiipongeza Wizara ya Elimu kwa kuandaa Mafunzo Elekezi ya siku tatu kwa Maofisa Uthibiti ubora wa Wilaya Wateule  yanayofanyika jijini…

Read More

Sababu Jeshi la Polisi kutajwa 10 bora Afrika

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi la Tanzania limetajwa kuwa miongoni mwa majeshi bora 10 barani Afrika kwa kuwa na weledi na kuheshimu haki za wananchi, utafiti wa Afrobarometer umebainisha. Katika kigezo hicho, Burkina Faso imeongoza ikifuatiwa na Morocco, Niger, Benin, Mali, Senegal, Tanzania, Madagascar, Mauritania na Mauritius. Mbali na kigezo hicho, pia Tanzania imeongoza…

Read More

Fadlu: Mpanzu atapindua meza kibabe

IMEBAKIA muda mchache tu kabla ya mashabiki na wanachama wa Simba kumuona staa wao Mkongomani, Elie Mpanzu uwanjani lakini Kocha Fadlu Davids ameweka wazi jinsi atakavyopindua mezani kwenye kikosi cha kwanza. Ikumbukwe dirisha dogo la usajili litafunguliwa Desemba 15 na kufungwa Januari 15 muda ambao bado Simba itakuwa ikipambana kwa udi na uvumba kwenye Ligi…

Read More

Dk Slaa: Kampeni za uchaguzi hazijagusa masuala muhimu

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa amesema kampeni za uchaguzi wa mwaka huu, zimekosa chama kinachozungumza masuala muhimu kwa raia. Dk Slaa anasema hayo, wakati chama chake kikiwa si miongoni mwa vinavyoshiriki uchaguzi kutokana na ajenda yake ya kudai mabadiliko mifumo ya uchaguzi maarufu…

Read More

Trump asimulia alivyookolewa na FBI, asema alipoteza viatu

New York. Mgombea urais wa Chama cha Republican, Donald Trump saa chache tangu ashambuliwe kwa risasi akiwa anahutubia, amesimulia namna alivyopoteza viatu wakati akiokolewa. Tovuti ya CNN imeripoti kuwa viatu hivyo vilipotea wakati anatolewa jukwaani na maofisa wa Shirika la Ujasusi la Marekani (FBI). Trump ambaye ni Rais wa zamani wa Taifa hilo, alishambuliwa akiwa…

Read More

Safari ya miezi mitatu la saba itumike hivi

Dar es Salaam. Kila mwaka, baada ya mitihani ya kumaliza elimu ya msingi, maelfu ya watoto nchini hupata likizo ndefu ya takribani miezi mitatu wakisubiri matokeo na nafasi za kujiunga na kidato cha kwanza.  Kwa mtazamo wa kawaida, kipindi hiki huonekana kama muda wa kupumzika na kujifurahisha baada ya safari ndefu ya kujiandaa kwa mtihani…

Read More

Jukata lachambua sheria za uchaguzi, lataja kasoro 11

Dar ea Salaam.  Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), limebainisha kasoro 11 zilizopo katika sheria za uchaguzi za mwaka 2024, likieleza baadhi ya vipengele vinaibua wasiwasi kuhusu uadilifu wa mifumo ya uchaguzi. Miongoni mwa kasoro hizo ni kuendelea na makamishna wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi katika Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, kutumia watumishi wa…

Read More

Yanga yaweka rekodi nyingine | Mwanaspoti

KIKOSI cha Yanga kinatarajiwa kuondoka jijini Dar es Salaam leo Ijumaa kwenda visiwani Zanzibar kwa ajili ya ushiriki wa michuano ya Kombe la Muungano 2025 iliyoanza jana, huku ikiwa imeandika rekodi nyingine ya kibabe katika mechi 24 ilizocheza tangu ilipopoteza katika Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga imepangwa kuvaana na KVZ kesho Jumamosi katika mchezo wa…

Read More