RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN APONGEZA NSSF KWA KUFANYA MAGEUZI NA KUKAMILISHA MRADI WA KIWANDA CHA SUKARI MKULAZI

*Asema inatokana na NSSF kufanya mageuzi mbalimbali pamoja na kuwekeza vizuri kimkakati Na MWANDISHI WETU, ARUSHA. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameupongeza Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Jeshi la Magereza kwa kufanya mageuzi na kukamilisha mradi wa kimkakati wa kiwanda cha sukari Mkulazi kilichopo…

Read More

Winga Mtanzania asimulia bato lake na Chomelo

WINGA wa Sisli Yeditepe inayoshiriki Soka la watu wenye Ulemavu Uturuki, Mtanzania Shedrack Hebron amesema wanapokutana wabongo wawili kuna  bato sio la kawaida. Hebron anacheza ligi moja na Mtanzania mwenzake, Ramadhan Chomelo anayeichezea Konya na wakikutana wakiwa na timu zao inakuwa na bato la kipekee. Nyota huyo wa timu ya Taifa ya Walemavu ‘Tembo Warriors’…

Read More

Waziri Silaa avunja bodi ya TTCL

Dar es Salaam. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa amevunja bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) baada ya mwenyekiti wake kutenguliwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Julai 23, 2024. Bodi hiyo imevunjwa jana Agosti 2, 2024 na waziri huyo kutokana na mamlaka aliyonayo. Taarifa ya kuvunjwa bodi hiyo imetolewa leo…

Read More

Unaongezaje ladha kwenye uhusiano wako?

Dar es Salaam. Katika ulimwengu wa uhusiano wa kimapenzi, kuna msemo wa Kiingereza usemao: “It takes two to tango” ukimaanisha kuwa mafanikio ya uhusiano wowote yanahitaji juhudi kutoka kwa pande zote mbili. Penzi halidumu kwa sababu ya mtu mmoja tu kujitahidi, bali kwa ushirikiano wa kweli kutoka kwa wapenzi wote. Kila mmoja anao wajibu wa…

Read More

Ang’atwa na kunyofolewa mdomo na mchepuko wake

Kakamega. Mkazi wa Kakamega, Douglas Shisia amejikuta  katika maumivu baada ya kung’atwa na kunyofolewa mdomo na mwanamke aliyetajwa kuwa ni mchepuko wake, alipokwenda kumtembelea nyumbani kwake. Shisia (45) ambaye anaishi Nairobi na familia yake akiwamo mkewe na watoto, alisafiri hadi Shiatsala Kakamega, anapoishi mchepuko huyo ambaye jina lake halikufahamika Jumatano Aprili 2, 2025 kwa lengo…

Read More

Bwalya ajiandaa kurudi Bongo | Mwanaspoti

PAMBA Jiji ipo kwenye hatua za mwisho za kumalizana na kiungo wa zamani wa Simba, Mzambia Rally Bwalya akitokea Napsa Stars FC ya Zambia. Timu hiyo yenye maskani yake jijini Mwanza katika michezo 12 ya Ligi Kuu imeonja ushindi mara mbili, sare sita na kupoteza sita, ikiwa nafasi ya 12 ikivuna pointi 12 na kwa…

Read More

MBETO AKUTANA NA BARAZA LA WAZEE CCM ZANZIBAR

KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Itikadi,Uenezi na Mafunzo CCM Zanzibar Khamis Mbeto Khamis,akizungumza na Baraza la Wazee CCM Zanzibar huko Ofisini kwao Kisiwandui Zanzibar. NA MWANDISHI WETU,ZANZIBAR.KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Itikadi,Uenezi na Mafunzo CCM Zanzibar Khamis Mbeto Khamis,amewasihi Wazee wa Chama Cha Mapinduzi nchini kuendelea kutoa ushauri,maoni na mapendekezo ya…

Read More