MNIKWAMBIE MAMA: Mtuletee wagombea wenye sifa ya ubunifu

Endapo utaona tone la mvua likiangukia sofani, utashikwa na hofu ya kuharibika kwa sofa hilo. Utatupa macho juu kuona panapovuja na kukutana na alama kwenye dari. Utaweka ngazi na kuparamia darini ambako utagundua kigae kilichovunjika. Usipoangalia utajikuta ukirudi chini na kuinamisha kichwa: kadha imekuwa kadha wa kadha! Namna hii ndiyo ambayo matatizo huitumia kumchanganya mwanadamu….

Read More

Waziri Mhagama aanza na Bima ya Afya kwa Wote

Dar es Salaam. Waziri wa Afya, Jenister Mhagama ameahidi kukamilisha haraka mchakato wa Bima ya Afya kwa Wote, ambao kwa sasa upo katika hatua ya kuandaa kanuni. Desemba 4, 2023, Rais Samia Suluhu Hassan alitia saini muswada wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote kuwa sheria kamili. Akizungumza leo Septemba 11, 2024, baada ya…

Read More

Juhudi za misaada za Umoja wa Mataifa zinaendelea huku kukiwa na msukosuko wa kisiasa – Masuala ya Ulimwenguni

© UNHCR/Jaime Giménez Mtoto wa Venezuela apata faraja katika hafla inayoongozwa na UNHCR huko Lima, Peru. Jumanne, Januari 06, 2026 Habari za Umoja wa Mataifa Mshtuko wa kisiasa wa Venezuela umezidisha umakini wa kimataifa kwa nchi ambayo tayari inakabiliwa na moja ya machafuko makubwa zaidi ya kibinadamu na uhamishaji makazi. Kwa Umoja wa Mataifa, kipaumbele…

Read More

Aliyeiba iPhone 16 Pro Max, apewa kifungo cha nje

Dar es Salaam. Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, imemhukumu Justo William (31) kutumikia kifungo cha nje cha miezi minne baada ya kupatikana na hatia ya kuiba simu ya mkononi aina ya Iphone 16 Pro Max yenye thamani ya Sh7 milioni. William ambaye ni dereva na mkazi wa Kitunda, jijini Dar es Salaam amehukumiwa kifungo hicho leo,…

Read More