Stanbic Bank Yarahisisha Biashara ya Bilioni 200 Kati ya Tanzania na China
Global Publishers March 20, 2026 0 Comments Benki ya Stanbic Tanzania imefanikisha miamala ya biashara yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 200 kati ya wafanyabiashara wa Tanzania na China katika kipindi cha miaka mitano. Hatua hii inaonesha mchango wa benki hiyo katika kukuza biashara ya kimataifa na uwekezaji. Tangu mwaka 2020, Benki ya Stanbic…