UDOM, UNICEF WALETA MAPINDUZI YA KIDIJITALI KONDOA

Mkurugenzi wa Mawasiliano na Masoko wa UDOM, Bi. Rose Joseph, akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Amani Abeid Karume kuhusu fursa za kujifunza kidijitali, wakati wakikagua huduma ya mtandao imavyofanya kazi shuleni hapo na kusaidia wanafunzi kujifunza. …. Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na UNICEF Tanzania, kimeanza kufungua ukurasa mpya wa maendeleo…

Read More

VIJANA WAASWA KUSOMA MIKATABA KABLA YA KUKUBALI HUDUMA

Afisa Mlinda Mlaji Mwandamizi FCC Bi.Magdalena Hall,akitoa elimu kuhusu masuala ya kumlinda mlaji na mikataba ya walaji kwa wanafunzi wa Chuo Cha Ufundi Stadi VETA Kibaha ,ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Haki za Mlaji Duniani 2026. …. KATIKA harakati za kuimarisha uelewa wa haki za walaji nchini, Tume…

Read More

Aliyemuua baba yake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Arusha. Mahakama Kuu, Masijala Ndogo ya Bukoba, imemhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa Victor Alex baada ya kumkuta na hatia ya kumuua baba yake mzazi, Alex Marcel, kwa kumkata kwa panga. Mauaji hayo yalitokea Aprili 29, 2024 katika Kitongoji cha Rwamashanga, Kijiji cha Ruzinga, wilayani Karagwe, mkoani Kagera. Hukumu hiyo ilitolewa Machi 18, 2026 na…

Read More

Mashariki ya Kati inavyoadhimisha Eid katikati ya vita

Dar es Salaam. Wakati baadhi ya  Waislamu wakiendelea na mfungo wa Ramadhan katika baadhi ya maeneo duniani, Mashariki ya kati katika mataifa kama Saudi Arabia wamesherehekea sikukuu ya Eid al-Fitr. Kutokana na tishio la kiusalama linalochochewa na vita vya Iran, Israel na Marekani, mataifa hayo ya Ghuba yametangaza kuwa sala za sikukuu ya Eid mwaka…

Read More