Bournemouth Dhidi ya Manchester United na Cagliari vs Napoli Leo
Ligi mbalimbali zinazidiki kupamba moto huku nafasi ya wewe kujiondokea na kitita ikiwa kubwa kabisa. Kule Italia, SERIE A, kama kawaida, EPL ndio kabisa, Ujerumani kule Ligi ya Magoli mengi na Ufaransa kuwaka moto. Tukianza na ligi kuu ya Italia kule SERIE A tutajikita na mechi ya Cagliari dhidi ya Napoli chini ya Antonio Conte…
Jeshi la Polisi Lajipanga Kulinda Wananchi Wakati wa Eid El Fitri
Global Publishers March 20, 2026 0 Comments Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime Kuelekea maadhimisho ya sikukuu ya Eid El-Fitri, Jeshi la Polisi nchini limetangaza kuwa limejipanga kikamilifu kuhakikisha usalama wa wananchi unadumishwa katika kipindi chote cha sikukuu hiyo. Akizungumza na vyombo vya habari, Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime, amesema kuwa hali…
UDOM, UNICEF WALETA MAPINDUZI YA KIDIJITALI KONDOA
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Masoko wa UDOM, Bi. Rose Joseph, akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Amani Abeid Karume kuhusu fursa za kujifunza kidijitali, wakati wakikagua huduma ya mtandao imavyofanya kazi shuleni hapo na kusaidia wanafunzi kujifunza. …. Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na UNICEF Tanzania, kimeanza kufungua ukurasa mpya wa maendeleo…
VIJANA WAASWA KUSOMA MIKATABA KABLA YA KUKUBALI HUDUMA
Afisa Mlinda Mlaji Mwandamizi FCC Bi.Magdalena Hall,akitoa elimu kuhusu masuala ya kumlinda mlaji na mikataba ya walaji kwa wanafunzi wa Chuo Cha Ufundi Stadi VETA Kibaha ,ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Haki za Mlaji Duniani 2026. …. KATIKA harakati za kuimarisha uelewa wa haki za walaji nchini, Tume…
Simulizi baba alivyomkata mwanae vipande na kuvitumbukiza chooni-2
Katika sehemu ya kwanza ya simulizi ya tukio la baba kumuua mtoto wake mwenye umri wa miaka 4 na miezi 6 kisha kumkata vipande vipande na kuvitumbukiza chooni, tuliishia ushahidi wa mama wa mtoto, alivyosimulia hatua kwa hatua juu ya tukio hilo. Tuliona pia mama huyo, Daima Hongoli alivyoitwa na polisi katika nyumba aliyokuwa akiishi…
Aliyemuua baba yake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa
Arusha. Mahakama Kuu, Masijala Ndogo ya Bukoba, imemhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa Victor Alex baada ya kumkuta na hatia ya kumuua baba yake mzazi, Alex Marcel, kwa kumkata kwa panga. Mauaji hayo yalitokea Aprili 29, 2024 katika Kitongoji cha Rwamashanga, Kijiji cha Ruzinga, wilayani Karagwe, mkoani Kagera. Hukumu hiyo ilitolewa Machi 18, 2026 na…
Mashariki ya Kati inavyoadhimisha Eid katikati ya vita
Dar es Salaam. Wakati baadhi ya Waislamu wakiendelea na mfungo wa Ramadhan katika baadhi ya maeneo duniani, Mashariki ya kati katika mataifa kama Saudi Arabia wamesherehekea sikukuu ya Eid al-Fitr. Kutokana na tishio la kiusalama linalochochewa na vita vya Iran, Israel na Marekani, mataifa hayo ya Ghuba yametangaza kuwa sala za sikukuu ya Eid mwaka…
TIA yaboresha mitaala kukidhi soko la ajira na mabadiliko ya teknolojia
Morogoro. Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) imeendelea kuimarisha ubora wa mafunzo kwa kuboresha miundombinu ya ufundishaji na kufanya mapitio ya mitaala, hatua inayolenga kuzalisha wahitimu wenye ujuzi unaokidhi mahitaji ya soko la ajira na kuendana na kasi ya mabadiliko ya teknolojia. Akizungumza leo Machi 20, 2026 mjini Morogoro katika kikao cha tatu cha Baraza Kuu…
Baba Mdogo wa Nyanza Atoa Ushuhuda wa Kuhuzunisha Kuhusu Kifo Chake – Video
Global Publishers March 20, 2026 0 Comments Simulizi ya kusikitisha imeibuka kufuatia kifo cha Muongozaji wa filamu, Athumani Nyanza, ambapo familia yake imeeleza kuwa tukio hilo lina utata mkubwa na linaashiria mauaji ya kikatili. Akizungumza kwa uchungu, baba mdogo wa marehemu amesema kuwa tangu mwanzo kulikuwa na viashiria visivyo vya kawaida hadi walipofuatilia kwa kina…