Sababu Mkurugenzi halmashauri kutupwa jela miaka 20

Moshi/Simanjiro. Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, Samwel Gunza amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la matumizi mabaya ya madaraka. Gunza amehukumiwa adhabu hiyo Septemba 18, 2025 na Hakimu Mkuu Mkazi, Charles Uiso wa Mahakama ya Wilaya Simanjiro, ambaye amesema Jamhuri imethibitisha mashtaka dhidi yake pasipo kuacha shaka yoyote….

Read More

Mkuu wa Msaada wa UN anakaribisha maendeleo kuelekea utapeli wa miezi mitatu-maswala ya ulimwengu

“Karibu maendeleo kutoka Misri, Saudi Arabia, UAE na Amerika kuelekea haraka inahitajika kwa haraka miezi 3 ya kibinadamu huko Sudani,” Bwana Fletcher aliandika kwenye vyombo vya habari vya kijamii. “Tunasimama tayari kutoa,” akaongeza. “Ufikiaji salama, usio na dhamana ni muhimu.” Taarifa ya pamoja iliyotolewa na nchi hizo nne inakuja wakati wa Sudan Mgogoro wa Spiraling…

Read More

Puma yaboresha upatikanaji wa nishati Singida

Dar es Salaam. Kampuni ya Puma Energy imezindua kituo cha huduma mkoani Singida, ikisema hatua hiyo inalenga kuboresha upatikanaji wa nishati, kuunda fursa za kiuchumi na kutoa huduma za kisasa kwa wananchi. Kituo hicho kipya kimeelezwa kitachangia kukuza maendeleo ya kiuchumi ya mkoa huo na maeneo ya jirani. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kituo hicho,…

Read More

Idadi ya vifo ajali ya Chemba yafikia 11

Dodoma. Majeruhi wawili kati ya 11 waliokuwa wakipatiwa matibabu baada ya ajali ya basi la abiria na lori iliyotokea Chemba, mkoani Dodoma, wamefariki dunia, hivyo kufanya idadi ya vifo kufikia 11. Ajali hiyo ilitokea alfajili ya jana, Alhamisi Septemba 18, 2025, na kusababisha vifo vya watu tisa, watano wanaume na wanne wanawake. Mganga Mfawidhi wa…

Read More

MWANA FA KUSHUGHULIKIA MAWASILIANO YA SIMU JIMBO LA MUHEZA

Na Mwandishi Wetu, Muheza MGOMBEA ubunge Jimbo la Muheza kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Hamis Mwinjuma maarufu MwanaFA amesema katika miaka mitano ijayo atahakikisha anaongeza minara ya simu ili Jimbo la Muheza liweze kuwa na mawasiliano katika maeneo ambayo yana changamoto hiyo. Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika kata ya Kwezitu tarafa…

Read More

Zitto, Baba Levo wasaka rekodi Kigoma Mjini

Kigoma. Jimbo la Kigoma Mjini ni miongoni mwa majimbo yanayoibua mjadala na kufuatiliwa na wengi kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025. Siku hiyo Watanzania wataamua nani atakayeshika hatamu za urais, ubunge na udiwani kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Macho mengi yanaitazama Kigoma Mjini, ambayo pia imekuwa midomoni mwa watu ambako historia, siasa na burudani…

Read More

Chaumma: Hakuna atakayenyanyaswa kwa sababu ya uraia

Kagera. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimewaahidi wananchi mkoani Kagera na maeneo mengine ya mipakani kuwa, kikipata ridhaa ya kuongoza dola, kitahakikisha hakuna raia anayebughudhiwa au kunyanyaswa kwa sababu ya uraia. Chama hicho kimesema kitaunda Serikali itakayothamini rasilimali watu kwa maendeleo ya Taifa, kama ilivyo kwa mataifa ya China na Marekani, yaliyo mstari wa…

Read More