CCM Simiyu yakemea wajawazito kudaiwa fedha huduma za afya

Na Samwel Mwanga, Itilima MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Mkoa wa Simiyu, Shemsa Mohammed amehaidi kulivalia njuga suala la baadhi ya wahudumu wa Afya katika Wilaya ya Itilima mkoani humo wanaodaiwa kuwatoza fedha wanawake wajawazito ili waweze kupata kadi ya mahudhurio yao ya kiliniki. Pia, amesema Sera ya Taifa ya Afya inataka huduma za afya…

Read More

Vuguvugu Linaloongezeka la Upinzani Linaelekea Kufanywa Upya Kisiasa, Kuzuia Mmomonyoko wa Demokrasia nchini Hungaria – Masuala ya Ulimwenguni.

Viongozi wa Chama cha Second Reform Era chenye msimamo mkali wafanya maandamano ya kupinga ufisadi katikati mwa Budapest, Hungary, kufuatia tangazo la vikwazo vya serikali ya Marekani dhidi ya Waziri wa Hungary Antal Rogan kwa kuhusika kwake katika ufisadi, Januari 2025. Credit: Catherine Wilson/IPS na Catherine Wilson (budapest) Jumatatu, Januari 27, 2025 Inter Press Service…

Read More

Qatar Imejitolea Kufikia Michango Iliyoamuliwa Kitaifa ifikapo 2030 – Masuala ya Ulimwenguni

Saad Abdulla Al-Hitmi, Mkurugenzi wa Idara ya Mabadiliko ya Tabianchi katika Serikali ya Qatar. Credit: Umar Manzoor Shah/IPS na Umar Manzoor Shah (baku) Jumanne, Novemba 19, 2024 Inter Press Service Wakati viongozi wa kimataifa wakikusanyika katika COP29 kushughulikia changamoto za dharura zinazoletwa na mabadiliko ya tabianchi, Saad Abdulla Al-Hitmi, Mkurugenzi wa Idara ya Mabadiliko ya…

Read More

NBC yaitambulisha rasmi ‘NBC Connect’ Zanzibar

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetambulisha rasmi huduma yake ya kidigitali ya ‘NBC Connect’ Visiwani Zanzibar. Huduma hiyo ya kisasa mahususi kwa makampuni pamoja na taasisi mbalimbali huwezesha huduma salama na haraka za kibenki kwa njia ya mtandao ikiwa ni muitikio wa benki hiyo katika kuunga mkono jitihada za serikali za kuongeza ujumuifu katika…

Read More

Azam FC moto, yabeba ndoo Kigali

WAWAKILISHI wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Azam FC imeendelea kukunjua makucha baada ya juzi usiku kupata ushindi wa bao 1-0 na kubeba ubingwa ikiwa jijini Kigali, Rwanda. Ndiyo, kama ambavyo Simba ilivyokuwa Kwa Mkapa kuhitimisha tamasha la Simba Day na kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya APR ya Rwanda au kama jana…

Read More

Rais Mwinyi: Uwekezaji umechochea sekta ya utalii

Unguja. Licha ya kuwapo madai kuwa hakuna faida zinazopatikana katika uwekezaji Zanzibar, Serikali imesema faida zipo na ndio sababu ya kuendelea kutoa kipaumbele cha miradi ya uwekezaji visiwani humo. Hayo ameyasema Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi leo Jumatano, Februari 26, 2025 wakati akiweka jiwe la msingi la mradi wa Hoteli ya Sandies Nungwi Beach,…

Read More