JIWE LA SIKU: Dabi ilivyowatibulia washambuliaji Simba

KWA SASA kinachoendelea kwenye vyombo mbalimbali vya habari na kule mitandaoni ni ishu ya ujio wa straika mpya wa Simba yakitajwa majina mawili, Christian Leonel Ateba anayekipiga USM Alger na Elvis Kamsoba aliyemaliza mkataba na Perserikatan Sepakbola ya Indonesia. Simba ilianza msimu vibaya kwa kuondoshwa kwenye nusu fainali ya Ngao ya Jamii dhidi ya mtani…

Read More

WAANDAMANAJI WALAUMU HALI MBAYA YA MAISHA NA UCHUMI NIGERIA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Maandamano yaliyozuka katika mji wa Kano, kaskazini mwa Nigeria, na kusababisha vifo vya watu kadhaa kwa kupigwa risasi, yanaonesha ukubwa wa shida za kiuchumi zinazokabili nchi hiyo. Waandamanaji, wengi wao wakiwa vijana, walijitokeza kwa wingi kupinga gharama ya juu ya maisha, huku wakidai urejeshaji wa ruzuku ya mafuta ambayo iliondolewa mwaka jana. Wakati serikali ikikosa…

Read More

SAMIA AWARDS SASA KUFANYIKA MEI

……………. Hafla ya utoaji wa Tuzo za Uandishi wa Habari kwa Maendeleo zinazojulikana kama Samia Kalamu Awards 2025 sasa itafanyika jijini Dar es Salaam tarehe 5 Mei 2025, tofauti na ratiba ya awali iliyopangwa tukio hilo kufanyika tarehe 29 Aprili 2025 katika Ukumbi wa Mabele, Mabeyo Complex, jijini Dodoma. Taarifa rasmi iliyotolewa kwa vyombo vya…

Read More

TRADE MARK AFRIKA KUENDELEA KUTEKELEZA MIRADI NCHINI

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaaban, akiongoza Mkutano wa 47 wa Kamati Tendaji ya Kitaifa (National Oversight Committee -NOC) inayosimamia utekelezaji wa miradi ya kuwezesha na kuboresha mazingira ya biashara nchini kwa ufadhili wa TradeMark Africa (TMA), kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Natu El- maamry Mwamba, jijini…

Read More

2024 mwaka wa kizungumkuti ajali za barabarani

Dar es Salaam. Ajali za barabarani zimeendelea kuwa chanzo cha vifo vya Watanzania, hali inayozua maswali iwapo hatua zinazochukuliwa na mamlaka mbalimbali nchini kama zinakidhi katika kukabiliana na changamoto hii. Katika ajali hizi, mwendo kasi umebainika kuwa moja ya sababu, zingine zikitajwa kuwa ni matumizi ya vilevi, miundombinu zikiwamo barabara zenye mashimo, zisizo na alama…

Read More

Upatikanaji maji Mwanza bado changamoto

Mikoani. Takwimu za Sensa ya Majengo ya Mwaka 2022 zinaonyesha asilimia 24.9 ya majengo  milioni 13.9 (13,907,951) ya Tanzania Bara yana huduma ya maji, huku hali ikiwa tofauti kwa majengo milioni 10. Kwa mujibu wa sensa hiyo, huduma ya maji katika jengo inahusisha uwepo wa maji ndani ya jengo au kwenye kiwanja cha jengo husika….

Read More

TMA YAWAKUMBUSHA WAHANDISI KUZINGATIA HUDUMA ZA HALI YA HEWA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI.

WAHANDISI nchini wamekumbushwa umuhimu wa huduma za hali ya hewa sambamba na kuchangia gharama za upatikanaji wa huduma hiyo katika utekelezaji wa miradi yao. Mkurugenzi wa Huduma za Utabiri, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dkt. Hamza Kabelwa amesema hayo hivi karibuni katika mada iliyowasilishwa kwenye Mkutano wa 21 wa Wahandisi uliyojumuisha wahandisi wa…

Read More