Nondo za kuibeba Simba uwanja wa nyumbani

MCHEZO wa fainali ya mkondo wa kwanza Kombe la Shirikisho Afrika baina ya RS Berkane dhidi ya Simba ulimalizika nchini Morocco, na sasa ni kuuendea ule wa marudiano utakaochezwa Tanzania, Jumapili ijayo. Wakati Simba ikiwa kwenye mawazo ya nini kinapaswa kufanyika mechi ya marudiano ili kubeba ubingwa wa michuano hiyo kwa mara ya kwanza, kuna…

Read More

Kama wakwezo wanga, wazazi wako nao wanga

Canada. Ni mara ngapi umesikia malalamiko na tuhuma za uchawi katika baadhi ya familia za wanandoa wawe wanaokuhusu au kutokuhusu? Huwa unajisikiaje na kuelewaje? Si jambo jipya kusikia fulani akilalamika kuwa wakwe zake ni wanga. Mara nyingi, malalamiko haya hutolewa na wakamwana wanaposhindwa kuelewana na mama wakwe hata baba wake zao. Je, malalamiko haya yana…

Read More

Coastal Union bado kidogo wafunge hesabu

KOCHA Mkuu wa Coastal Union, David Ouma amesema asilimia 70 kikosi chake kipo tayari kwa ajili ya kuanza msimu mpya huku akidai kuwa 30 zilizobaki ni za mbinu. Akizungumza na Mwanaspoti, Ouma ambaye yupo Pemba sambamba na timu hiyo, alisema maandalizi yanakwenda vizuri na wachezaji kwa asilimia kubwa wameingia kwenye mfumo. “Kikosi kinaendelea vizuri na…

Read More

‘Tutoe taarifa za vitendo vya ukatili’

Arusha. Ili kutokomeza vitendo vya kikatili dhidi ya wanawake na watoto nchini, jamii imetakiwa kutoa taarifa za matukio hayo ili hatua za kisheria zichukuliwe. Hayo yamesemwa leo Jumapili Machi 16,2025 na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu, Mwanaidi Ali Khamis wakati akizungumza wilayani Arumeru katika ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji…

Read More

Hatua kwa hatua maandamano waliokatwa majina ugawaji vizimba Kariakoo

Dar es Salaam. Maandamano mengine ya wafanyabiashara yameibuka katika Soko la Kariakoo, jijini Dar es Salaam leo Julai 11, 2024 wakilalamikia majina yao kukatwa katika orodha ya wanaopaswa kurejeshwa sokoni humo. Maandamano hayo yaliohusisha wafanyabiashara zaidi ya 800, yamelenga kuushinikiza uongozi wa Shirika la Masoko Kariakoo kuingiza majina yao ili nao wawe sehemu ya watakaopewa…

Read More

Rais Samia akutana na Rais XI Jinping wa China

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya mkutano na Rais wa China, Xi Jinping pamoja na ujumbe wake mapema leo katika ukumbi wa The Great Hall of the People jijini Beijing. Rais Samia amefanikiwa kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia ya Tanzania na nchi muhimu duniani ikiwepo China tangu alipoingia madarakani Mwaka…

Read More

Samia asema atatafutwa mrithi wa Dk Ndugulile WHO

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema nafasi ya aliyekuwa Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Dk Faustine Ndugulile itaelekezwa kwa Mtanzania mwingine mwenye sifa. Rais Samia amesema hayo leo Jumatatu Desemba 2, 2024 katika hafla ya kuaga mwili wa Dk Ndugulile, aliyekuwa mbunge wa Kigamboni iliyofanyika…

Read More

DKT. NCHEMBA ATETA NA SAUDI FUND SAUDI ARABIA

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb), akiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo wa Saudi Arabia (Saudi Fund for Development-SFD), Bw. Sultan Al-Marshad, baada ya kufanya mazungumzo kuhusu ushirikiano wa kiuchumi na kijamii kati ya Mfuko huo na Tanzania, akiwa na Mawaziri wenzake wa kisekta, Waziri wa Viwanda na Biashara,…

Read More