Simba V Azam FC… utamu upo kati

SIMBA imetamba leo itaendeleza Ubaya Ubwela pale ilipoishia wakati itakapokuwa wenyeji wa Dabi ya Mzizima dhidi ya Azam FC, huku Wanalambalamba wakijibu mapigo kwamba safari hii hawakubali unyonge mbele ya Mnyama. Mechi hii namba 167 ilipangwa kupigwa Uwanja wa KMC Complex, kuanzia saa 10:00 jioni, lakini juzi Bodi ya Ligi (TPLB) ilitoa taarifa ya kuuhamisha…

Read More

Malale, Baresi watajwa KMC | Mwanaspoti

UONGOZI wa kikosi cha KMC unaendelea na mchakato wa kusaka kocha mpya atakayerithi nafasi ya Mbrazil Marcio Maximo, huku Kocha, Malale Hamsini aliyeachana na Mbeya City hivi karibuni na Abdallah Mohamed ‘Baresi’ wakitajwa ndani ya timu hiyo. Maximo aliachana na kikosi hicho Desemba 6, 2025, baada ya kudumu kwa siku 131, tangu alipotambulishwa, Julai 28,…

Read More

TEWW YAPONGEZWA KWA KUANDAA WATAALAMU WA ELIMU

  Mgeni Rasmi, Prof. James Mdoe (wa tatu kushoto akiwa ameketi), Mwenyekiti wa Baraza la Usimamizi  la TEWW, Dkt. Naomi Katunzi (kulia kwake), Mkuu wa Taasisi, Prof. Michael Ng’umbi (kushoto kwake) wakiwa katika picha ya pamoja na  baadhi ya wahitimu wa mahafali ya 62 yaliyofanyika Dar es Salaam tarehe 26 Juni 2024. Baadhi ya wahitimu…

Read More

Xavi amtaja fowadi wa Azam

KOCHA Mohammed Mrishona Mohammed ‘Xavi’ ambaye anawafundisha mazoezi binafsi wachezaji mbalimbali wa Ligi Kuu Bara, Championship na wanaocheza nje amemzungumzia mshambuliaji wa Azam FC, Nassor Saadun namna anavyotakiwa kufanya zoezi la umaliziaji na utulivu anapofika golini. Saadun ni kati ya wachezaji ambao wanafundishwa na kocha huyo, alisema mchezaji huyo yupo fiti, ana uwezo wa kupambana…

Read More

PROF.KUSILUKA AWATAKA WATAALAMU WA MAZINGIRA UDOM KUREJESHA UOTO WA ASILI DODOMA.

  Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma Prof. Lughano Kusiluka,akizungumza wakati wa  mdahalo ulioandaliwa na Idara ya Jiografia na Stadi za Mazingira UDOM  wenye kauli mbiu “Urejeshwaji wa Ardhi na Ustahimilivu wa Hali ya Jangwa na Ukame” uliohusisha wadau wa mazingira kutoka ndani na nje ya UDOM. Mkuuwa Idara ya Jiografia Dkt.Augustino Mwakipesile,akizungumza wakati…

Read More

RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK.HUSSEIN MWINYI AMTEMBELEA MWALIMU ALIYANI LEO 8-2-2025

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalumu ya msahafu na Mwanazuoni Maarufu Zanzibar Sheikh.Ali Hemed Jabir (Mwalimu Aliyani) ambae ni Imamu Mkuu wa Msikiti wa Mchangani, Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 8-2-2025,baada ya kumaliza mazungumzo alipofika  nyumbani kwake mtaa wa mchangani kwa ajili ya…

Read More

Wazee watoa neno utunzaji wa uoto wa asili

Mikumi. Uongozi wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi umetakiwa kuzingatia utunzaji wa uoto wa asili kutokana na mabadiliko ya mazingira ukilinganisha na hali ya zamani. Imeelezwa kuwa hatua hiyo itasaidia kulinda mazingira, kuendeleza uchumi na kuboresha maisha ya viumbe vilivyopo ndani na nje ya hifadhi hiyo. Wito huo umetolewa leo Jumanne Agosti 27, 2024 na…

Read More

Mfumo wa Marubani wa Kenya AI Kulinda ndama wa Rhino Nyeusi katika Hifadhi ya Kitaifa ya Aberdare – Maswala ya Ulimwenguni

Timu ya ufungaji inaweka mfumo wa kugundua AI ndani ya Hifadhi ya Kitaifa ya Aberdare, na Ranger ya Huduma ya Wanyamapori ya Kenya (KWS) wakitazama karibu. Mikopo: Chemtai Kirui/IPS na Chemtai Kirui (Aberdare, Kenya) Jumanne, Mei 27, 2025 Huduma ya waandishi wa habari ABERDARE, Kenya, Mei 27 (IPS) – Wanaohifadhi katika Hifadhi ya Kitaifa ya…

Read More