Polisi Kenya wakana kuhusika na utekaji

Kenya. Wakati vijana wanne waliokuwa wamedaiwa kutekwa nyara wakiachiliwa katika maeneo tofauti nchini Kenya, polisi wamekana kuwateka au kuwaachia huru. Vijana hao wanne kati ya 29 walioripotiwa kutekwa na watu wasiojulikana wamepatikana wakiwa hai jana Januari 6, 2025, tovuti za Daily Nation na Tuko zimeripoti. Vijana hao wanaotajwa kuwa wakosoaji wa Serikali ya awamu ya…

Read More

‘Mrema ameanza, wengine watafuata Chadema’

Dar es Salaam. Kufukuzwa uanachama wa Chadema kwa John Mrema ni utekelezaji wa mkakati wa ndani wa chama hicho, unaodaiwa kufanywa na ngazi ya chini, ukilenga kuwashughulikia makada wote wanaounda kundi la G55. Taarifa ambazo Mwananchi inazo zinadai mkakati uliopo ni kuwashughulikia G55 kupitia matawi yao. Katika kuhakikisha hilo, kuna timu ya watu wasiopungua watatu…

Read More

Ushuzi wa mwanamke na siri afya ya ubongo wake

Dar es Salaam. Watafiti wamethibitisha kuwa mwanamke anapotoa upepo hapaswi kuona haya, kwani harufu kali ya ushuzi anaoutoa huenda ikawa kichocheo cha siri cha afya ya ubongo wake. Kwa wastani, binadamu hutoa ushuzi hadi mara 23 kwa siku, lakini si mara zote kila ushuzi kuwa na harufu sawa. Utafiti unaonyesha kuwa gesi ya tumbo ya…

Read More

Kesho kicheko, maumivu | Mwananchi

Dodoma.  Mwaka mpya wa Serikali wa 2025/26 unaanza kesho Jumanne, Julai mosi, 2025 kwa bodaboda na wafanyabiashara kufurahia punguzo la tozo, ada huku wanywaji wa vilevi, wachezaji wa michezo ya kubashiri wakianza kuonja joto la kupanda kwa ushuru. Juni 24, 2025, Bunge lilipitisha bajeti ya Sh56.49 trilioni katika mwaka 2025/26. Bajeti hiyo inayoanza kutekelezwa kesho,…

Read More

Zanzibar yajipanga kuongeza ufaulu elimu ya msingi

Unguja. Wakati Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ikitekeleza mageuzi ya elimu, imeingia makubaliano na shirika binafsi la Room to Read kutekeleza mradi wa usomaji na maktaba kusaidia kuongeza ubora wa elimu ngazi ya msingi. Makubaliano hayo yameingiwa kati ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali na shirika hilo, yakilenga kuongeza kiwango cha K3…

Read More

Misafara ya bodaboda kwenye mikutano ya kampeni yazua mjadala

Dar es Salaam. Wiki ya tatu ya kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025 inapoyoyoma, taswira mpya imeendelea kujibainisha mitaani, vijana waendesha bodaboda wamegeuka kuwa injini ya hamasa na kivutio kikuu cha misafara ya kisiasa. Makundi haya yamekuwa yakionekana kwa wingi barabarani, pikipiki zao zikipambwa kwa bendera na mabango ya wagombea wakisindikiza misafara na mikutano kwa vuvuzela,…

Read More

Hersi: Yanga inakwenda kutimiza ndoto ya watoto Bongo

RAIS wa Yanga, Mhandisi Hersi Said amesema gharama za ada kwa Yanga Soccer School itategemea na maeneo ili kuhakikisha ndoto ya kila mtoto kuwa mchezaji inatimia. Leo, Yanga imezindua Yanga Soccer School kwa lengo la kuendeleza vipaji vya watoto, ambapo mgeni rasmi katika shughuli hiyo alikuwa kocha wa zamani wa Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini,…

Read More