Jiji la Mbeya laagiza meneja, mkandarasi mradi wa Sh21 bilioni kuondolewa

Mbeya.  Halmashauri ya Jiji la Mbeya limeiagiza  Kampuni ya Cico kuwaondoa maneja mradi, Penfeng Wang na Mkandarasi Mshauri, Jofrey Kanjanja kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao na kusababisha miradi kusuasua. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamis Mei 23, 2024 ofisini kwake, Meya wa Jiji la Mbeya, Dourmohamed Issa amesema wamelazimika kuchukua hatua hiyo baada ya kufanya…

Read More

Mtangazaji Mbotela wa ‘Huu ni Uungwana?’ afariki dunia

Mwanza. Mwandishi wa Habari Mwandamizi na mtangazaji wa Kenya, Leonard Mambo Mbotela, amefariki dunia kwa maradhi yaliyokuwa yakimsumbua, tovuti ya Kenyans.co.ke imeripoti. Kifo cha Mbotela (85) kimethibitishwa na mke wa mwanaye anayetambulika kwa jina la Anne Mbotela kuwa mwanahabari huyo aliyehusika kuasisi programu mbalimbali za televisheni nchini Kenya amefariki leo Ijumaa Februari 7, 2025. Mbotela…

Read More

Ouma aingiwa na ubaridi,  aomba muda zaidi Coastal

KOCHA Mkuu wa Coastal Union Mkenya, David Ouma amesema kichapo cha mabao 5-2, ambacho timu hiyo imekipata dhidi ya Azam FC hakijawatoa katika mstari huku akiweka wazi anahitaji muda zaidi wa kutengeneza timu imara. Ouma amekumbana na kichapo hicho katika mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii, iliyopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex…

Read More

Mikumi safi majaribio timu ya taifa kriketi

TIMU ya Mikumi imepata ushindi wa tatu dhidi ya Ngorongoro katika kriketi, ambapo safari hii imeshinda kwa wiketi mbili kwenye Uwanja wa Dar Gymkhana. Timu hizo za kombani zinaundwa na wachezaji nyota wa kriketi nchini kama maandalizi ya timu ya taifa kwa michuano ya kufuzu Kombe la Dunia zitakazochezwa Dar es Salaam mwishoni mwa mwezi…

Read More

BALOZI NAIMI AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO IAEA

Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mashirika ya Umoja wa Mataifa jijini Vienna, Austria Mhe. Naimi Aziz amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nguvu za Atomiki Duniani (IAEA) Mhe. Rafael Mariano Grossi katika tukio lililofanyika tarehe 10 Oktoba, 2024. Wakizungumza baada ya tukio la kukabidhi Hati,…

Read More