MWONGOZO WA UFUATILIAJI NA TATHMINI WA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII WAIVA

  Na John Bera – DODOMA   WIZARA ya Maliasili na Utalii kupitia Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini  imeanza kuandaa Mwongozo  wa Ufuatiliaji  na Tathmini wa Wizara  utakaotumiwa kwa ajili ya shughuli za Ufuatiliaji na Tathmini ya Sera, Mipango , Programu na Miradi inayotekelezwa na Idara, Vitengo na Taasisi za Wizara.   Akizungumza kwenye ufunguzi…

Read More

Kyata aungana na Medo Kagera

BEKI wa zamani wa Dodoma Jiji, Amani Kyata ameungana na aliyekuwa kocha wake Melis Medo kuunda benchi la ufundi la Kagera Sugar. Kyata ambaye alikuwa akiitumikia Mtibwa Sugar aliyojiunga nayo Agosti 2024, ameachana na timu hiyo baada ya kuumia goti ambalo lilimuweka nje ya uwanja kwa zaidi ya miezi miwili. Akizungumza na Mwanaspoti, Kyata alisema…

Read More

SITA KIZIMBANI KWA MASHTAKA 68 IKIWEMO KUISABABISHIA TRA HASARA YA ZAIDI YA BILIONI 2

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv ‎‎WAFANYABIASHARA sita wa jijjni Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni (Kinondoni), wakikabiliwa na mashitaka 68 yakiwamo ya kupotosha mfumo na kuisababishia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hasara ya zaidi ya Sh bilioni 2.1.‎‎katika hati ya mashtaka iliyosomwa mahakama hapo na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Daisy Makakala…

Read More

Morocco: Yeyote aje tu robo fainali

KOCHA wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amejivunia ubora wa kikosi huku akisema vijana wake wana uwezo wa kushindana na timu yoyote katika hatua ya robo fainali ya michuano CHAN. Stars ilitinga robo fainali ya michuano hiyo ikiwa na mechi moja mkononi iliyokamilishwa jana Jumamosi usiku dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya…

Read More

SHINDANO LA MABINGWA LA EXPANSE MILIONI KUSHINDANIWA

KITITA cha shilingi milioni moja taslimu kushindaniwa kupitia shindano la michezo ya kasino ya Expanse, Hivo wewe mdau wa michezo ya kasino unaweza kua mshindi na kuifanya sikukuu yako ipendeze kwa kushiriki shindano hili. Meridianbet wamekuja na shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa ambapo mshindi ataondoka na kitita cha milioni moja…

Read More