Sakata la Simba linavyoweza kuipa Yanga ubingwa

NDO hivyo bwana! Kitendo cha Simba ‘kugomea’ mchezo wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga kabla ya Bodi ya Ligi kubariki kwa kuahirisha bila kuzingatia kanuni za Ligi Kuu, kinaifanya timu hiyo ya Msimbazi kujiweka pabaya dhidi ya jinamizi la kutotwaa ubingwa. Mashabiki wa soka kwa sasa wanasikilizia kujua nini itakuwa hatima ya sakata hilo…

Read More

Tumaini jipya teknolojia ikifanikiwa kutafsiri mawazo ya binadamu

Dar es Salaam. Wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha Stanford nchini Marekani, wamefanikiwa kutafsiri mawazo ya binadamu kwa kutumia teknolojia ya kipandikizi cha ubongo kinachounganishwa na akili unde (AI). Teknolojia hiyo inayojulikana kama Brain-Computer Interface (BCI), imeibua tumaini kwa wagonjwa waliopoteza uwezo wa kuzungumza kutokana na ulemavu wa kimwili au ugonjwa wa mishipa ya fahamu. Uwezo…

Read More

Ligi ya kikapu Dar es Salaam mambo ni moto

WAKATI timu zikisubiri kutangaziwa tarehe ya kuanza mashindano ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), klabu 11 kati ya timu 16 zinazoshiriki ndizo zilizoanza mazoezi kujiandaa na kipute hicho kinachotarajiwa kuwa na mvuto wa aina yake. Mwanaspoti limetembelea katika viwanja vya timu hizo na kuzishuhudia 11 zikiwa na vikosi vyenye nyota kadhaa…

Read More

DPP awatutia wawili kesi ya kuporomoka kwa jengo Kariakoo

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewafutia kesi na kuwaachia huru washtakiwa wawili kati ya sita waliokuwa wanakabiliwa na  mashtaka 31 ya kuua bila kukusudia  katika jengo lililoporomoka Mtaa wa Mchikichi na Congo, eneo la Kariakoo, baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kutokuwa na nia ya kuendelea na mashtaka dhidi yao. Waliofutiwa…

Read More

Masheha sasa kuhudumia wananchi kidijitali

Unguja. Masheha kisiwani hapa wameanza kutumia mfumo wa kidijitali kutoa huduma kwa wananchi kwa ufanisi zaidi na kwa haraka. Mfumo huu, unaojulikana kama eDUA, ni lango kuu la utoaji wa huduma za serikali likilenga kupunguza gharama za matumizi ya karatasi, muda na usumbufu wa kupanga foleni kwa wananchi. Haya yamesemwa leo mjini Unguja na Mkurugenzi…

Read More

TUNA MKAKATI MAALUM NA COMORO- Prof JANABI

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili,Prof Mohamed Janabi amesema kuwa wana mkakati maalum wa kutoa huduma za kisada za tiba kwa wagonjwa wanaofika hospitalini hapo kutoka visiwa vya Comoro kutokana na ongezeko la idadi yao katika siku za karibuni. Prof Janabi alisema hayo alipokuwa akizungumza na Balozi Mteule wa Tanzania nchini Comoro,Saidi Yakubu…

Read More

Simba yateua watano kamati ya usajili

UONGOZI wa klabu ya Simba umeteua majina matano yatakayounda kamati mpya ya usajili ya timu hiyo ambayo ipo sokoni kusajili nyota watakaoibeba msimu ujao. Kamati hiyo awali ilikuwa na Crecensius Magori, Mulamu Nghambi, Kassim Dewii na Sued Mkwabi ambao waliteuliwa kusimamia usajili mapema msimu ulioisha. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Simba kimeiambia Mwanaspoti kuwa…

Read More