Rais Dkt. Samia azindua Rasmi Huduma za Usafiri wa SGR kutoka Dar es Salaam – Morogoro hadi Dodoma, katika eneo la Stesheni Jijini Dar es Salaam

Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan azindua Rasmi Huduma za Usafiri wa Treni ya Kisasa (SGR) kutoka Dar es Salaam – Morogoro hadi Dodoma, katika eneo la Stesheni Jijini Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Pugu Jijini Dare es Salaam wakati akielekea…

Read More

BASHE AWATAKA WAKULIMA NA WAFUGAJI KUISHI KWA AMANI

Na Mwandishi Wetu, Songea WAZIRI  wa Kilimo Hussein Bashe amewaasa wafugaji wa jamii ya Wasukuma wanaoishi katika kata ya Ndalila Wilayani Songea, kuhakikisha kuwa wanaishi kwa amani na wakulima wa jamii zingine wilayani humo. Bashe amesema hayo akiwa katika kata ya Njalila  Wilayani Songea wakati wa mwendelezo wa ziara yake kukagua miradi ya kilimo  katika…

Read More

Mserbia KenGold bado tatu za nguvu

KOCHA wa KenGold, Mserbia Vladislav Heric, amesema anahitaji zaidi ya michezo mitatu ya nguvu ya kirafiki ili kujiweka fiti na mzunguko wa pili, huku akiomba viongozi kufanyia kazi suala hilo haraka kabla ya Ligi Kuu Bara kurejea Februari Mosi. Kauli ya kocha huyo inajiri baada ya kupata mchezo wa kwanza wa kirafiki dhidi ya Maafande…

Read More