Katibu wa Amcos jela miaka 20 kwa uhujumu uchumi

Simiyu. Mahakama ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemuhukumu kwenda jela miaka 20 Katibu wa Chama Cha Ushirika cha Msingi (Amcos) Kijiji cha Gula, wilayani humo, Masanja Mboje (36) baada ya kukutwa na hatia ya makosa mawili ya rushwa na uhujumu uchumi. Mboje pia ameamriwa kurejesha Sh3,318,000 milioni  ambazo alizifanyia ubadhirifu ikizingatiwa kuwa kati ya…

Read More

TEKNOLOJIA MBADALA KUIMARISHA MTANDAO WA BARABARA NCHINI

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Teknolojia mbadala kuimarisha mtandao wa barabara ikiwemo ujenzi wa madaraja imara na madhubuti itaendelea kutumiwa nchini na Wakala ya Barabara za Vijijini na Vijijini – TARURA. Yameelezwa hayo na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – TAMISEMI Mhandisi Rogatus Mativila mbele ya waandishi wa habari katika banda la maonesho…

Read More

WIZARA YA NISHATI KIVUTIO MAONESHO WIKI YA CHAKULA TANGAo

……,……….. 📌Ni kwenye kutoa elimu ya masuala ya Nishati Safi ya Kupikia   📌Wananchi wamejitokeza kwa wingi kujipatia majiko ya bei ya ruzuku ya shilingi 17,500/= 📍Tanga Ushiriki wa Wizara ya Nishati na taasisi zake (Wakala wa Nishati Vijijini (REA)  na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) katika Maonesho ya Wiki ya Chakula duniani yanayoendelea jijini Tanga …

Read More

Wajasiriamali kituo cha Magufuli walalama kukosa wateja

Dar es Salaam. Wajasiriamali wanaofanya shughuli zao kwenye Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli jijini hapa wameeleza wamiliki wa mabasi kutoshusha na kupakia abiria katika kituo hicho kunavyosababisha biashara zao kudorora. Wasema biashara zao zinategemea wateja ambao ni abiria, kutokana na mabasi kutoingia kituoni hapo wanakosa wateja na mapato yao yanashuka, hivyo kuiomba Halmashauri ya…

Read More

Wazazi watakiwa kuwalinda watoto kipindi cha likizo na sikukuu

Mwenyekiti wa Chipkizi Chama Cha Mapinduzi (CCM)Mkoa wa Morogoro Jeremia Kisena Mabuba amewataka wazazi na walezi kuwalinda watoto na vitendo vya ukatili hasa kipindi hiki Cha likizo na sikukuu. Mabuba amesema kuwa ataungana na Serikali ya awamu ya sita katika kuhakikisha wanakabiliana na vitendo vya kikatili wanavyofanyiwa watoto hasa wakiume ambao wanaonekana wamesahaulika katika jamii…

Read More

Kwa nini muhimu shule kuwa na wanasaikolojia?

Lengo la adhabu huwa ni kutokomeza au kuondoa tabia isiyofaa kwa mwanafunzi au mtoto. Fimbo inapotumika mara nyingi huambatana na karipio, ambalo huondoa hali ya kujiamini kwa mwanafunzi au mtoto. Utafiti mwingi unaonesha mtoto anayekaripiwa mara nyingi huwa katika hatari ya kupoteza uwezo wa kujiamini na kujifunza kwa uhuru, kwa sababu anakuwa kwa sehemu kubwa…

Read More