NBC yashiriki maadhimisho Mei Mosi Arusha
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeungana na maelfu ya wafanyakazi kote nchini kusherekea Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, MEI Mosi ambayo kitaifa yamefanyika jijini Arusha yakiongozwa na Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango aliemuwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan. Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea). Maadhimisho hayo yaliyofanyika jana Jumatano kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid…