Hatari inayowakabili wanaotumia mafuta wakati wa kijamiana

Dar es Salaam. Wakati matumizi ya mafuta yakiwa maarufu kwa wengi kama kilainishi wakati wa kujamiiana, wataalamu wa afya wameonya kuwa yanaweza kuleta madhara makubwa kwa afya ya mwanamke, ikiwamo kuharibu kinga asilia ya uke na kuongeza hatari ya maambukizi. Wataalamu hao wanaeleza tabia hiyo imekuwa ikichangia wanawake wengi kupata maambukizi ukeni, wakifafanua kuwa kiasili…

Read More

Sababu za kukwama kwa mipango yako mingi ya kifedha

Kila mwaka huanza na mipango ya fedha, na kila mwaka mingi hushindwa. Tunapoanza 2026, ni muhimu tujitafakari kwa uaminifu sababu za kushindwa huko na si kwa kujilaumu, bali kuboresha matokeo. Watu wengi huingia mwaka mpya wakiwa na matumaini makubwa ya kifedha, lakini matumaini pekee hayatoshi bila utekelezaji thabiti na unaoendelea. Sababu moja kuu ni matarajio…

Read More

Sababu Gen Z kuzeeka haraka kimwonekano kuliko Milenia

Dar es Salaam. Licha ya kuwa kizazi changa zaidi, tafiti na uchunguzi wa wanasayansi na wataalamu zinaonesha k vijana wa kizazi cha Gen Z wanaonekana kuzeeka haraka zaidi kimwili, kisaikolojia na hata kijamii kuliko kizazi cha Milenia. Kizazi cha Gen Z, ni wale waliozaliwa kuanzia mwaka 1997 hadi 2012, huku kizazi cha Milenia kikiwa ni…

Read More

Shabiby awalipua mafisadi bungeni | Mwananchi

Dodoma. Sakata la ufisadi kwa vigogo wakiwamo mawaziri limeibuliwa bungeni na mbunge wa Gairo (CCM), Ahmed Shabiby akisema Tanzania bado ina mafisadi wengi na wanakula kuliko inavyodhaniwa. Mbunge huyo amekwenda mbali zaidi akisema yuko tayari kuwataja kwa majina yao kama itahitajika huku akiwataka wasaidizi wa Rais Samia Suluhu Hassan kumsaidia ipasavyo na kuachana na mipango…

Read More

Majina: Ni utambulisho wa baraka au mzigo?

Dar es Salaam. Baada ya mtu kujitambua kiakili, kielimu au kijamii huanza kulitazama jina lake kwa jicho jipya, wengine huliona halilingani na utu wao wa sasa, ndoto walizonazo au hata hadhi wanayojijengea. Inaelezwa chanzo cha hali hii mara nyingi ni mabadiliko ya mtazamo, mtu anapopanuka fikra, huanza kujiuliza maswali mapya, je, jina langu linaniwakilisha?” “Ninajivunia…

Read More