Hatari inayowakabili wanaotumia mafuta wakati wa kijamiana
Dar es Salaam. Wakati matumizi ya mafuta yakiwa maarufu kwa wengi kama kilainishi wakati wa kujamiiana, wataalamu wa afya wameonya kuwa yanaweza kuleta madhara makubwa kwa afya ya mwanamke, ikiwamo kuharibu kinga asilia ya uke na kuongeza hatari ya maambukizi. Wataalamu hao wanaeleza tabia hiyo imekuwa ikichangia wanawake wengi kupata maambukizi ukeni, wakifafanua kuwa kiasili…