Jeshi la Polisi lawashikilia wawili kwa mauaji ya Nyanza

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linawashikilia watuhumiwa wawili wanaohusishwa na mauaji ya Athumani Nyanza, ambaye mwili wake ulipatikana ukiwa umefukiwa kwenye shimo karibu na nyumba yake Mtaa wa Kimya Kimya, Kata ya Zingiziwa, Chanika. Taarifa za awali zinaeleza kuwa marehemu Nyanza anadaiwa kuuawa na mpenzi wake, kabla ya…

Read More

Polisi Dar Wakamata Wawili Kwa Mauaji ya Athumani Nyanza

Global Publishers March 20, 2026 0 Comments Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro, amesema jeshi la polisi limefanikiwa kuwakamata watu wawili akiwemo Rehema Maulidi (42), kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya Athumani Nyanza. Akizungumza na vyombo vya habari, Kamanda Muliro alisema kuwa mtuhumiwa huyo pamoja na mwenzake mmoja ambaye…

Read More

Airtel Yaonesha Mchango Mkubwa Uchumi wa Kidijitali kwenye MIF 2026

Arusha, Tanzania – Airtel Tanzania imeendelea kuimarisha nafasi yake kama mshirika muhimu katika mabadiliko ya uchumi na maendeleo ya kidijitali nchini, kufuatia ushiriki wake katika Mkutano wa Minority Interest Forum (MIF) 2026, ambapo kampuni hiyo iliwasilisha mafanikio yake ya kifedha, uwekezaji unaoendelea, pamoja na mchango wake kwa mapato ya Serikali. Mkutano huo, ulioandaliwa na Office…

Read More

Fidia Sh2.9 bilioni yafungua njia mradi wa maji Mbeya

Mbeya. Serikali imeanza mpango wa kumaliza kero ya maji mkoani Mbeya baada ya kutoa zaidi ya Sh2.9 bilioni kulipa fidia kwa wananchi wanaopisha mradi wa kimkakati wa maji kutoka Mto Kiwira wilayani Rungwe. Fidia hiyo inahusisha wananchi 819 waliokuwa na mashamba na makazi katika vijiji 10 vinavyopitiwa na mradi huo, pamoja na makaburi 79 yaliyohamishwa…

Read More