Zitto, Baba Levo wasaka rekodi Kigoma Mjini

Kigoma. Jimbo la Kigoma Mjini ni miongoni mwa majimbo yanayoibua mjadala na kufuatiliwa na wengi kuelekea Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025. Siku hiyo Watanzania wataamua nani atakayeshika hatamu za urais, ubunge na udiwani kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Macho mengi yanaitazama Kigoma Mjini, ambayo pia imekuwa midomoni mwa watu ambako historia, siasa na burudani…

Read More

Chaumma: Hakuna atakayenyanyaswa kwa sababu ya uraia

Kagera. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimewaahidi wananchi mkoani Kagera na maeneo mengine ya mipakani kuwa, kikipata ridhaa ya kuongoza dola, kitahakikisha hakuna raia anayebughudhiwa au kunyanyaswa kwa sababu ya uraia. Chama hicho kimesema kitaunda Serikali itakayothamini rasilimali watu kwa maendeleo ya Taifa, kama ilivyo kwa mataifa ya China na Marekani, yaliyo mstari wa…

Read More

Ndoa za utotoni bado tatizo, wadau waendelea kupambana

Dodoma. Wazazi wametajwa kuwa chanzo cha ukatili kwa watoto wao na mara nyingi kushindwa kupata taarifa sahihi za matendo wanayotendewa watoto katika jamii. Kauli hiyo imetolewa jana Alhamisi, Septemba 17, 2025 jijini Dodoma na Naomi Maswaga kwenye mkutano wa pili wa mwaka wa jukwaa la Msichana Café unaodhaminiwa na shirika lisilo la kiserikali la Msichana…

Read More

TISEZA YASHIRIKIANA NA TCB KUSAIDIA WAWEKEZAJI

:::::::::  Mamlaka ya Uwekezaji pamoja na Maeneo Maalum ya Uwekezaji (TISEZA) imeingia makubaliano ya ushirikiano na Benki ya Tanzania Commercial Bank (TCB) kwa lengo la kutoa huduma bora na za haraka za kifedha kwa wawekezaji wanaotembelea mamlaka hiyo. Akizungumza katika hafla ya utiaji saini ya makubaliano hayo iliyofanyika makao makuu ya TISEZA jijini Dar es…

Read More

Mwenyekiti Chadema Jimbo la Iringa afariki dunia

Iringa. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Iringa Mjini, Frank Nyalusi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, Septemba 19, 2025. Nyalusi ambaye amewahi kuwa diwani Kata ya Mivinjeni, Halmashauri ya Manispaa ya Iringa (2010 – 2020), amefariki duinia akipatiwa matibabu kwenye chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi wa karibu (ICU), kwenye Hospitali…

Read More

JUBILEE INSURANCE YAWAPATIA WANAFUNZI SHULE YA MSINGI MERU-ARUSHA BIMA YA AFYA BURE

 Na Mwandishi Wetu,Arusha. Jubilee Insurance kupitia kampuni zake za Bima ya Afya na Maisha imezindua mpango wakusaidia jamii kwa kuwapatia wanafunzi 10 wa Shule ya Msingi Meru, Arusha, bima ya afya.  Hatua hii inalenga kusaidia familia na watotokupata huduma bora za afya na kuendeleakuimarisha ustawi wa jamii. Kwa kutoa bima hizo  Jubilee Insurance inalenga kuhakikisha…

Read More

Viongozi wa ulimwengu wanapaswa kujitolea kwa haki za binadamu, haki ya kimataifa – maswala ya ulimwengu

Watu waliohamishwa kutoka Jabalia, Gaza, wanaishi katika jengo lililoharibiwa katika jiji la Gaza. Hatua ya kumaliza kumaliza uhalifu wa Israeli dhidi ya Wapalestina. Mikopo: Habari za UN na saa ya haki za binadamu (New York) Ijumaa, Septemba 19, 2025 Huduma ya waandishi wa habari New YORK, Septemba 19 (IPS) – Viongozi wa Ulimwenguni wakikusanyika kwenye…

Read More

Kinachosubiriwa Samia, Dk Nchimbi wakiunguruma Ruvuma

Songea. Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) zitahamia mkoani Ruvuma ambako mgombea urais, Samia Suluhu Hassan na mgombea mwenza, Dk Emmanuel Nchimbi watafanya mikutano kwa siku tatu tatu. Samia na Dk Nchimbi wanakutana tena katika mkoa mmoja tangu walipozindua kampeni za chama hicho kitaifa, Agosti 28, 2025 kwenye Uwanja…

Read More