Merika, Ukraine kati ya wanachama wapya waliochaguliwa kuwa Baraza la Uchumi na Jamii la UN – Maswala ya Ulimwenguni

Kroatia, Urusi na Ukraine zilipata viti kutoka kwa Kikundi cha Mkoa wa Ulaya Masharikiambayo ilikuwa na viti vitatu vilivyopatikana. Urusi ilichaguliwa katika kukimbia dhidi ya Belarusi, kwani mataifa yote mawili yalishindwa kupata idadi ya theluthi mbili katika mzunguko wa kwanza wa kura. Makedonia ya Kaskazini, mgombea wa tano kutoka kwa kikundi hicho, hakukutana na kizingiti…

Read More

Kero sita zamsubiri Rais Samia Ruvuma

Dar/Songea. Wakati Rais Samia Suluhu Hassan akianza ziara yake ya kikazi mkoani Ruvuma kesho, Jumatatu, Septemba 23, 2024, kuna masuala sita makubwa yanayowakabili wananchi wa mkoa huo ambayo yanatarajiwa kuwasilishwa kwake. Miongoni mwa masuala hayo ni kero ya ushuru wa mageti, bei ya mahindi, mbolea, madeni ya wazabuni, upatikanaji wa huduma za afya, na maji…

Read More

Mbezi Msumi waanza kuchimbiwa visima

Dar es Salaam. Hatimaye wakazi wa Mtaa wa Mbezi Msumi wilayani Ubungo, Dar es Salaam wameanza kuchimbiwa visima vya maji, ili kutatua kero hiyo, wakati wakisubiri mradi mkubwa wa maji wa Sh18 bilioni. Awali, Juni 20, 2024 wakazi wa mtaa huo walipinga uchimbaji wa visima hivyo, baada ya Naibu Waziri wa Maji, Mhandisi Kundo Mathew…

Read More

RAIS SAMIA AMEDHAMIRIA KUIFUNGUA KIGOMA – DKT. BITEKO

Atembelea Hospitali ya Wilaya Kakonko Ahimiza Wananchi Kuendelea Kufanyakazi kwa Bidii Kakonko Yazalisha Chakula Ziada Tani 81,000 Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Biteko amesema Serikali inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuipatia Kigoma miradi ya maendeleo na fursa…

Read More