Mashabiki Simba waibeba adhabu ya CAF
SIMBA inajiandaa kushuka uwanjani keshokutwa dhidi ya Gaborone United ya Botswana katika pambano la marudiano ya raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika bila mashabiki kutokana na adhabu iliyotolewa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Simba imeadhibiwa na CAF kutokana na matukio ya fujo zilizofanywa kwenye mechi za msimu uliopita za Kombe la Shirikisho…