RAIS MWINYI AWAAPISHA MAKATIBU WAKUU WAPYA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi amewaapisha Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali aliowateua hivi karibuni iliyofanyika  Ikulu Zanzibar tarehe: 24 Agosti 2024. Walioapishwa kuwa Makatibu Wakuu: 1.Dkt.Habiba Hassan Omar ameapishwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi . 2.Dkt.Mngereza Mzee Miraj ameapishwa kuwa Katibu Mkuu…

Read More

Kiungo wa kati wa Manchester City anajitoa kwa Barcelona.

Barcelona wanawinda kiungo wa kati msimu huu wa joto kuchukua nafasi ya Sergio Busquets, baada ya juhudi zao za kufanya hivyo wakiwa na Oriol Romeu kutofaulu mwaka huu. Baadhi ya watu wamekuwa wakihusishwa na klabu ya Blaugrana, lakini kiungo wa Manchester City, Kalvin Phillips ameamua kujiweka kwenye rada. Baada ya kupoteza nafasi yake katika timu…

Read More

Ishu ya Beno tatizo ni msimamo

ALIYEKUWA kipa wa Singida BS, Beno Kakolanya amemaliza utata, akisema misimamo yake imekuwa ikimponza kwa watu wakimchukulia kama mtovu wa nidhamu. Beno aliyeondoka Singida kiutata dakika za lala salama za Ligi Kuu Bara, kwa kilichoelezwa ni utovu wa nidhamu wakati chama hilo likiwa na mechi ngumu dhidi ya Yanga, aliliambia Mwanaspoti kuwa, yeye ni mchezaji…

Read More

Mjerumani amrithi Gamondi Yanga | Mwanaspoti

Yametimia, Yanga imemtangaza kocha raia wa Ujerumani Sead Ramovic kuchukua nafasi ya Miguel Gamondi aliyetupiwa virago. Saa chache baada ya Yanga kutangaza kuachana na Gamondi,imemtangaza Mjerumani huyo ambaye alianza msimu na TS Galaxy ya Afrika Kusini ambayo haina matokeo mazuri msimu huu. Ramovic alitua nchini juzi usiku kimyakimya kuja kumalizana na mabosi wa Yanga na…

Read More

Siri mauzo ya korosho ya Tanzania kupaa masoko ya nje

Dar es Salaam. Uongezaji wa thamani na kuongezeka kwa korosho zinazozalishwa kumetajwa kuwa sababu ya kupaa kwa mauzo ya zao hilo katika masoko ya nje. Mauzo ya korosho yalifikia Sh1.544 trilioni katika mwaka ulioishia Januari mwaka huu, ikiwa ni ongezeko kutoka Sh585.77 bilioni katika kipindi kama hicho mwaka uliotangulia, kwa mujibu wa ripoti ya hali…

Read More

Zaidi ya watu 8,000 wamehama hifadhi ya Ngorongoro

Ngorongoro. Serikali imesema hadi sasa kaya 1,373 zenye jumla ya watu 8,364 waliokuwa na makazi ndani ya eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) wamehama kwa hiari kutoka eneo hilo na kwenda Msomera na maeneo mengine nchini. Vilevile, imeeleza kuwa haijasitisha baadhi ya huduma muhimu zikiwemo za elimu na afya katika maeneo ambayo bado…

Read More

Kapteni Traore aivunja Tume Huru ya Uchaguzi Burkina Faso

Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso imeivunja rasmi Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (CENI), ikieleza kuwa chombo hicho kimekuwa kikisababisha matumizi mabaya ya fedha za umma na kuruhusu ushawishi wa kigeni katika masuala ya ndani ya nchi hiyo. Uamuzi huo umetangazwa kupitia televisheni ya taifa (RTB), ambapo ilielezwa kuwa majukumu ya tume hiyo yatahamishiwa…

Read More