Dkt. Mwinyi Aahidi Masoko Mapya Matano kwa Wafanyabiashara Zanzibar

MGOMBEA wa Urais wa Zanzibar kupitia CCM, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kujenga masoko makubwa mapya matano ili kuwawezesha wafanyabiashara kufanya shughuli zao katika mazingira bora zaidi. ✅ Maeneo mapya: Kinyasini, Mwera, Kibandamaiti, Kisauni na Kwahajitumbo 
✅ Kupunguza msongamano na kodi kubwa kwa wafanyabiashara 
✅ Kuendeleza biashara na uchumi wa Zanzibar Rais Dkt. Mwinyi amewaomba…

Read More

Ajali tatu zaua watu 25, zajeruhi 77 ndani ya wiki moja

Dar/Mikoani. Ikiwa ni wiki moja tangu kumalizika Wiki ya Usalama Barabarani, ajali tatu zimetokea katika mikoa ya Mbeya na Morogoro na kusababisha vifo vya watu 25 na majeruhi 77. Wiki ya Usalama Barabarani iliyoanza Agosti 26 ilihitimishwa Agosti 30, 2024. Kwa kawaida katika wiki hiyo hufanyika ukaguzi wa vyombo vya moto na hutolewa stika maalumu…

Read More

Bajaji za umeme zinavyogusa maisha na kulinda mazingira

Dar es Salaam. Siku moja akiwa Ubungo, jijini hapa akisubiri abiria kama ilivyokuwa desturi yake, Makoni Francisco (47), alifanya uamuzi uliobadilisha kabisa maisha yake. Aliamua kuacha pikipiki yake ya matairi matatu maarufu kama bajaji iliyokuwa inatumia petroli na kuanza kutumia ya umeme. Miaka miwili imepita tangu alipofanya uamuzi huo, maisha yake yamebadilika. Akiegesha bajaji yake…

Read More

Mwenyekiti mpya CUF kujulikana leo

Dar es Salaam. Jawabu kuhusu kuendelea au kukoma kwa uongozi wa Profesa Ibrahim Lipumba katika nafasi ya uenyekiti wa CUF Taifa, linatarajiwa kupatikana leo, baada ya matokeo ya uchaguzi wa ndani wa chama hicho. Katika uchaguzi huo unaohusisha kuwapata viongozi wa chama hicho kwa ngazi za kitaifa, Profesa Lipumba anachuana na makada wengine wanane waliopitishwa…

Read More

DKT MAPANA ATEULIWA N/KATIBU MKUU MAENDELEO YA VIJANA

…………… Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi wawili (2).  Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Dkt. Kedmon Elisha Mapana, ameteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Maendeleo ya Vijana.  Kabla ya uteuzi huu, Dkt. Mapana alikuwa Katibu Mtendaji,…

Read More