Chapo athibitishwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa rais Msumbiji – DW – 23.12.2024
Baraza la katiba nchini Msumbiji, muda mfupi uliopita limeyaidhinisha matokeo ya uchaguzi wa rais yaliyompa ushindi, mgombea wa chama tawala cha Frelimo, Daniel Chapo. Umma wa Msumbiji uko katika hali ya wasiwasi baada ya muda mfupi uliopita baraza la katiba kutangaza kuyaidhinisha matokeo ya uchaguzi wa rais yaliyompa ushindi Daniel Chapo, mgombea wa chama tawala…