Serikali kufanyia marekebisho Sheria Kanuni ya Adhabu

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi amesema Sheria ya Kanuni ya Adhabu inahitaji marekebisho makubwa kwa kuwa tangu ilipopatikana haijafanyiwa mabadiliko yoyote. Profesa Kabudi ameyasema hayo leo Novemba 25,2024 wakati akizindua kampeni ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia. Amesema sura ya 16 ya sheria hiyo imeeleza…

Read More

Mahitaji mkojo wa sungura yaongezeka, lita yauzwa Sh19,000

Nairobi. Mahitaji ya mkojo wa sungura yameongezeka kwa kasi huku lita moja ikiuzwa kwa KSh1,000 (Sh19,885) hali inayowavutia wakulima zaidi kuwekeza katika ufugaji wa wanyama hao.  Mbali na nyama ya sungura kuuzwa kwa kati ya KSh1,000 (Sh19,885 na KSh2,000 (Sh39,790) kwa kilo, wakulima sasa wanapata faida kutokana na mkojo wa mnyama huyo, ambao hutumika kama…

Read More

Bado watatu – 53

BAADA ya wiki tatu, Faustin alipelekwa tena mahakamani na mimi nikaendelea na ushahidi wangu ambapo niliieleza mahakama kwamba mshitakiwa amechunguzwa akili yake na amethibitishwa kuwa hakuwa na matatizo ya akili. Nikakitoa cheti cha daktari kilichothibitisha kwamba Faustin alikuwa mzima.

Read More

Aisha Masaka kutimkia Hispania | Mwanaspoti

Mshambuliaji wa Brighton, Aisha Masaka huenda akatolewa kwa mkopo au kuuzwa moja kwa moja katika moja ya timu za Ligi Kuu ya Wanawake Hispania msimu ujao kama watafikia makubaliano ya ofa. Mwanaspoti inafahamu mshambuliaji huyo wa timu ya taifa, Twiga Stars, amebakiza mkataba wa mwaka mmoja England kati ya miwili na utamalizika mwishoni mwa msimu…

Read More

Sh317 milioni zatua Ligi ya Kikapu Taifa

LIGI ya Taifa ya Mpira wa Kikapu (NBL) inayoendelea kuchezwa kwenye Uwanja wa Chinangali mkoani Dodoma imelamba udhamini wa Sh317,025,900 kutoka kampuni ya BetPawa. Kupitia mkataba huu mpya, kampuni hiyo pia imetenga Sh13 milioni kwa ajili ya tuzo za timu na wachezaji, zikiwamo tuzo za Mchezaji Bora (MVP), Mfungaji Bora na nyinginezo zinazolenga kutambua nyota…

Read More

Pumzika salama Jenerali David Musuguri

Mpendwa Jenerali David Bugozi Waryoba Musuguri Nzangho aka Chakaza (RIP). Kwanza, nakupigia saluti ya mwisho kama mgeshi aliyelala. Pili, niseme wazi. Najua hutapokea wala kujibu saluti yangu kama kiongozi na mkuu wa mafyatu. Nenda salama salimini ukijua kuwa mafyatu watakumiss sana. Ulikuwa fyatu wa kupigiwa mfano. Siombolezi bali nasherehekea kuondoka kwako. Old soldiers never die,…

Read More