SUMA JKT YAMKABIDHI DC HANANG NYUMBA 73 ZA WAATHIRIKA WA MAFURIKO
Muonekano wa Mradi wa Nyumba 73 zilizojengwa SUMA JKT kwa ubora Mkubwa na muonekano mzuri kwa ajili ya waathirika wa maafa ya maporomoko ya Tope zilizopo Warret-Gidagamowd Wilaya ya Hanang Mkoani Manyara. Na.Alex Sonna-HANANG,MANYARA HALMASHAURI ya Wilaya ya Hanang Mkoani Manyara,imeipongeza Kampuni ya SUMA JKT kwa kukamilisha kwa wakati na katika ubora mkubwa ujenzi wa…