OCPD YAHIMIZA USAHIHI KWENYE UANDISHI WA HABARI ZA MASUALA YA KISHERIA NCHINI

 Na: Calvin Gwabara – Dodoma. Jamii na Wanahabari wametakiwa kutambua kuwa Katiba inabeba masharti ya jumla ya masuala mbalimbali ya nchi lakini masharti hayo yanafafanuliwa zaidi kupitia Sheria, kanuni na Miongozo, hivyo jamii isidai yaliyoandikwa kwenye katiba moja kwa moja bila kutafuta ufafanuzi zaidi na kuhisi wananyimwa haki zao. Mwandishi Mkuu wa Sheria nchini Bw….

Read More

Mfumo wa kielektroniki wa BoT kupunguza wateja kuonewa

Arusha. Mfumo maalumu wa kielektroniki mahususi kwa ajili ya kushughulikia changamoto na malalamiko ya wateja kwa taasisi za fedha, unatajwa kulinda wateja na kupunguza malalamiko hasa ya watoa mikopo wasiozingatia kanuni na taratibu. Aidha mfumo huo unatajwa kusaidia watoa huduma za kifedha kutoa huduma bora kwa kuzingatia kanuni na taratibu zilizowekwa. Kauli hiyo imetolewa leo…

Read More

Mwenge wa Uhuru kuzindua miradi ya Sh55 bilioni Rukwa

Rukwa. Mwenge wa Uhuru umepokewa  leo Jumapili Septemba 28, 2025 katika Kijiji cha Kizi, Kata ya Paramawe mkoani Rukwa ambako utakimbizwa kwa kilomita 653.1, huku ukizindua miradi saba ya maendeleo, kuwekea mawe ya msingi miradi 15 na kukagua mingine 12. Shughuli za mapokezi ya Mwenge huo ukitokea mkoani Katavi, zimehudhuriwa na viongozi wa Serikali, vyombo…

Read More

Samia aahidi ujenzi Machinga Complex Bukoba

Bukoba. Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kujenga jengo kubwa la kisasa la Machinga Complex mjini Bukoba, mkoani Kagera, ikiwa ni sehemu ya mikakati ya serikali yake ya kuwainua kiuchumi wafanyabiashara wadogo maarufu Machinga. Akizungumza leo Alhamisi, Oktoba 16, 2025, katika mkutano wa mwisho wa kampeni za CCM kwa mikoa…

Read More

RAIS WA ZANZIBAR AFUNGUA KONGAMANO LA MIAKA 60 YA MAPINDUZI MATUKUFU YA ZANZIBAR NA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kulifungua Kongamano la Miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, linalofanyika katika ukumbi wa Dk.Ali Mohamed Shein SUZA Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja leo 11-6-2024.WASHIRIKI wa Kongamano la Miaka 60 ya Mapinduzi…

Read More

ANTY BETTIE: Mke wangu ananipeleka puta faraghani, nifanyeje?

Anti habari. Awali nilipania niwe na mwanamke hodari tukiwa faragha ambaye atakata kiu yangu kisawasawa. Hivyo siku zote nilikuwa ninamtafuta wa aina hiyo, hatimaye nikampata na sikuchelewa kufunga naye ndoa, ila kinachonikuta usiombe kikukute. Mwanamke huyu mrembo wa sura, tabia na anayejua kumliwaza mwanaume ananipeleka puta tukiwa faragha kiasi kuna wakati ninajisingizia kuumwa. Wakati tunaanza…

Read More