YANGA YAMTUPIA VIRAGO KOCHA GAMONDI,MSAIDIZI WAKE
Home » YANGA YAMTUPIA VIRAGO KOCHA GAMONDI,MSAIDIZI WAKE Featured • Michezo About the author
Home » YANGA YAMTUPIA VIRAGO KOCHA GAMONDI,MSAIDIZI WAKE Featured • Michezo About the author
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Makandarasi nchini kutekeleza miradi ya ujenzi kwa ubora na uzalendo mkubwa ili wainue uchumi wa nchi na kuhakikisha unashikiliwa na Makandarasi wazawa. Dkt. Biteko ameyasema hayo tarehe 28 Juni, 2024 alipomwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…
Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelekeza upande wa mashitaka kukamilisha haraka upelelezi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu. Pia imeelekeza tarehe ijayo, upande wa mashitaka uje uieleze Mahakama hiyo upelelezi wa kesi hiyo umefikia hatua gani. Lissu anakabiliwa na shitaka moja la uhaini,…
*Ni katika kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Mabaharia Duniani Juni,25 Na Chalila Kibuda Michuzi TV,Bagamoyo Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Usafiri Baharini Zanzibar (ZMA) zimetoa elimu ya kwa Mabaharia pamoja kufanya usafi katika fukwe za bahari za Kaole na Dunda. Akizungumza na Mabahari katika Bandari ya Bagamoyo kwenye…
Arusha. Ni simanzi na majonzi kwa familia ya Apaikunda Ayo (61) ambaye ni mwalimu mstaafu wa Shule ya Msingi Imbaseni aliyefikwa na mauti kwa ajali ya barabarani akiwa jiani kurejea nyumbanii kwake Kijiji cha Imbaseni, Arumeru akitokea Dar es Salaam alilokwenda kununua gari jipya kutokana na fedha za mafao. Wengine waliofikwa na mauti katika ajali…
MSHAMBULIAJI wa Pamba Jiji, Mathew Tegisi Momanyi amesema ana kazi kubwa ya kufanya kuikabili safu ya ulinzi ya Simba, lakini jambo kubwa kwake ni kuhakikisha anatumia makosa ya wapinzani wao kutikisa nyavu. Momanyi ambaye anaongoza kwa mabao katika kikosi cha Pamba Jiji akifunga matano kwenye ligi msimu huu, kesho Alhamisi anatarajiwa kuiongoza safu ya ushambuliaji…
Ngwe hii ya 14 ya vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Urusi ni pamoja na kupiga marufuku uingizwaji upya gesi asiliaya kimiminika ya Urusi katika mataifa ya Umoja wa Ulaya kwa kutumia mataifa ya nje ya umoja huo. Kadhalika unatoa vitendea kazi zaidi katika kukabiliana na ukwepaji wa vikwazo, pamoja na kulenga nyongeza ya…
Dar es Salaam. Shilingi ya Tanzania imeshuka thamani dhidi ya Dola ya Marekani kwa asilimia 11.4 ndani ya kipindi cha mwaka mmoja uliopita, hali inayowastua waagizaji wa bidhaa, sanjari na hofu ya ongezeko la gharama za utekelezaji wa baadhi ya miradi mikubwa. Kushuka kwa Shilingi dhidi ya Dola kulitokana na kuadimika kwa sarafu hiyo ya…
KUNA lile bato la Djigui Diara, kipa mwenye rekodi zake bora katika Ligi Kuu Bara kwa misimu minne na yule wa Simba, Moussa Camara aliyetua Msimbazi msimu huu ambao wanawania ubabe wa ‘cleen sheet’ mwisho wa msimu. Lakini, nyuma ya hilo makipa hao pia wana mengi, ingawa kwa Camara huenda akawa na jipya ambalo kwa…
Canada. Kuna imani kuwa kitanda hakizai haramu. Uzoefu wetu unaonyesha kuwa kitanda kinazaa haramu japo huhalalishwa kwa visingizio mbalimbali kama mila, ujinga na ubutu wa teknolojia. Ujio wa kipimo cha DNA unaonyesha kuwa kitanda kinazaa haramu tu. Kusema kitanda hakizai haramu ni uchafu kimila. Ni hatari, majuto, na makosa makubwa kwa wasioamini wala kukubali uchafu…