TRC waongeza ratiba za treni mikoa ya kaskazini

Dar es Salaam. Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeongeza safari za treni kuelekea mikoa ya Kaskazini Tanga, Kilimanjaro na Arusha, kutoka safari mbili kwa wiki hadi tatu, huku likitangaza gharama za nauli zitakazotumika. Kwa mujibu wa  taarifa kwa umma iliyotolewa leo Desemba 7, 2024 na Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano TRC, Fredy Mwanjala,  safari zitakuwa…

Read More

CEO Mbeya City aweka wazi maandalizi 2025/26

Wakati Mbeya City ikiingia rasmi kambini kesho Ijumaa huko Mwakaleli katika mji wa Tukuyu, wilayani Rungwe Mbeya, uongozi wa timu hiyo umesema umeridhishwa na maandalizi na kutamba kufanya vizuri msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Timu hiyo iliyorejea Ligi Kuu baada ya kupotea misimu miwili, imefichua kukamilisha usajili wa wachezaji 27 wakiwamo wa kimataifa.  Mtendaji…

Read More

Aucho, Mukwala wachemsha Uganda | Mwanaspoti

KIUNGO nyota wa Yanga, Khalid Aucho na mshambuliaji wa Simba, Steven Mukwala wamechemsha huko Uganda baada ya kushindwa kubeba tuzo  tuzo za mashabiki kwa wachezaji wanaocheza nje. Tuzo hizo zilizofanyika Mei 30, chini ya Shirikisho la Soka Uganda (FUFA), Aucho na Mukwala waliangushwa Rodgers Mato, aliyeibuka mshindi. Mato ambaye ni mshambuliaji anayeichezea klabu ya Vardar…

Read More

Mechi za UEFA Kukupatia Mkwanja Leo

LIGI ya Mabingwa Ulaya hatua ya Robo Fainali mechi za mkondo wa kwanza kuendelea ambapo tayari wakali wa ubashiri Tanzania, Meridianbet wakikuekea odds za kibabe. Ingia na ubashiri sasa. Mechi kali ambayo inatolewa macho na watu wengi ni hii Arsenal dhidi ya Real Madrid mabingwa mara nyingi wa michuano hii, wakichukua Kombe hili mara 15….

Read More

Chadema waburuzana mahakamani, kesi kuanza leo

Dar es Salaam. Wajumbe wa Bodi ya Wadhamini wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutoka Zanzibar, wamekiburuza mahakamani chama hicho pamoja na mambo mengine wakilalamikia upendeleo katika mgawanyo wa rasilimali za chama pamoja na stahiki nyinginezo. Kesi hiyo ya madai namba ya mwaka 2025 imefunguliwa na Said Issa Mohamed, ambaye anajitambulisha kama mwanachama na…

Read More

Chanzo ongezeko la vifo, ajali za barabarani Zanzibar

Unguja. Uchumi wa nchi yoyote unategemea zaidi miundombinu bora, kurahisisha usafiri na usafirishaji. Miongoni mwa miundombinu hiyo ni ya barabara nzuri, imara zenye alama kwa kujali watumiaji wote. Zanzibar licha ya kuwa na miundombinu ya barabara, bado ina safari ndefu ya kuziwezesha kuwa na sifa hiyo. Kuna mambo yanaonekana kama madogo lakini athari yake ni…

Read More