Shungu aionya Yanga, akimtaja Mpanzu Simba

KOCHA wa zamani wa Yanga, Raoul Shungu ameitahadharisha timu hiyo akiwaambia wawe makini na kiungo wa mshambuliaji wa Simba, Elie Mpanzu kutokana na uwezo wake wa kubadilisha mchezo aliokuwa nao DR Congo. Mpanzu aliyetua Simba dirisha dogo amekuwa akipata nafasi katika kikosi hicho tangu alipoanza kukitumikia huku akiweka rekodi ya kuhusika katika mabao manne akifunga…

Read More

LIVERPOOL YAJIONDOA KUMUWANIA LENY YORO

Liverpool wamejiondoa kwenye kinyang’anyiro cha kumnunua mlinzi wa Manchester United Leny Yoro, 18, kutoka Lille kwa sababu walihisi anavutiwa zaidi na klabu ya Real Madrid. (Mirror) Powered by; @acbtanzania_ @kobemotor @betpawatanzania @wearekerry #TetesizaSokaUlaya #KonceptTvUpdates

Read More

Nchi za Afrika zahimizwa kuongeza watafiti wanawake

Arusha. Wito wa kuongeza watafiti wanawake umetolewa kwa nchi za Afrika ili kupunguza vikwazo ikiwemo unyanyasaji wa kijinsia, ukosefu wa upatinakaji wa fedha za ruzuku za utafiti. Kwa mujibu wa Ripoti ya Sayansi ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (Unesco), mwaka 2021 ni asilimia 33 tu ya watafiti wanawake duniani….

Read More

Serikali yasisitiza Usalama ,Mapato Mpakani Mutukula

Na Mwandishi Wetu,KAGERA Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,George Simbachawene amehimiza ushirikiano kati ya watumishi wa serikali waliopo katika Kituo cha Forodha cha Pamoja cha Mutukula kilichopo wilayani Misenyi mkoani Kagera ambapo ni mpaka kati ya nchi ya Tanzania na Uganda huku akiwaasa kutilia mkazo masuala ya usalama na ukusanyaji wa mapato kwa maendeleo…

Read More