Kessy alia utulivu African Sports

KICHAPO cha mabao 2-1, ilichokipata African Sports wiki iliyopita dhidi ya Stand United, kimemfanya kocha mkuu wa kikosi hicho, Kessy Abdallah kudai sababu zilizowanyima ushindi ni kutokana na wachezaji kukosa utulivu wa kumalizia nafasi. Kessy amezungumza hayo baada ya timu hiyo kupoteza michezo saba kati ya tisa iliyocheza baada ya kushinda mmoja na sare moja…

Read More

Serikali yachunguza waziri aliyejipiga risasi Urusi

Serikali ya Urusi imeanza uchunguzi kutokana na kifo cha aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi wa Urusi, Roman Starovoit  ambaye amekutwa amefariki dunia karibu na gari lake katika eneo la Moscow saa chache baada ya Rais Vladimir Putin kumfuta kazi jana. Taarifa iliyoripotiwa na Al Jazeera leo Julai 8, 2025, imeeleza kuwa waziri huyo wa aliyepita ambaye…

Read More

Hii hapa ratiba ya umeme Dar, angalia eneo lako

Dar es Salaam. Wakati Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limetangaza kuboresha miundombinu yake kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Zanzibar na Pwani limetoa ratiba ya jinsi litakavyotekeleza kazi hiyo. Maboresho hayo yataanza Jumamosi Februari 22 hadi 28, 2025. Tanesco limejipanga kuboresha huduma ili kuhakikisha usambazaji wa umeme kwa wananchi unafanyika kwa ufanisi. Kutokana na hatua…

Read More

Mayanga: Mechi mfululizo zimetuponza | Mwanaspoti

MASHUJAA imetoka sare ya pili mfululizo katika mechi za Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji na Coastal Union na kukata wimbi la ushindi kwa timu hiyo na kocha Salum Mayanga amefichua kilichowaponza kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, mjini Kigoma. Timu hiyo imecheza mechi nne mfululizo na kushinda mbili dhidi ya Namungo na Mbeya City…

Read More

Watanzania Tuendelee Kumtunza Mdudu Nyuki – Global Publishers

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka Watanzania kuendelea kumtunza na kumuhifadhi nyuki ili kuwa na Taifa lenye uhakika wa chakula na uchumi ulio imara kwa kuwa takribani asilimia 80 ya mimea ya chakula inayozalishwa duniani huchavushwa na nyuki. Pia, Waziri Mkuu amezindua mpango kabambe utakaoleta mageuzi makubwa ya sekta ya ufugaji nyuki nchini, unaojulikana kama Mpango…

Read More

Mabadiliko ya Kidigitali Sekta ya Utalii: Benki ya Exim Yazindua Suluhisho la Malipo ya Kisasa katika Z-Summit 2025

Benki ya Exim Tanzania imeimarisha dhamira yake ya kukuza na kuendeleza sekta ya utalii Zanzibar kwa kushirikiana na wadau muhimu wa sekta hiyo, wakiwemo Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), ili kuwezesha waendeshaji wa shughuli za utalii kufanya malipo kama ada za kuingia kwenye hifadhi kwa haraka, kwa usalama…

Read More