Barker aibuka na mtoko mpya Simba

UMEIKATIA tamaa Simba katika harakati za kufuzu robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu? Kama ni hivyo, basi msikie kocha mkuu Steve Barker alichosema kuelekea mechi ya Jumapili hii dhidi ya Esperance na zile zingine zilizobaki katika kundi D la Ligi ya Mabingwa Afrika. …

Read More

Maproo wawili Simba wakalia kuti kavu

KIKOSI cha Simba, leo Alhamisi kinashuka kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo jijini Dar es Salaam kucheza mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Mashujaa, huku nyota wawili wa timu hiyo, wakikalia kuti kavu la kuachwa kabla ya dirisha dogo halijafungwa Januari 30, 2026. …

Read More

Ulimwenguni Kusini Huonyesha Jinsi Nchi Zinavyoweza Kukabiliana na Marekani Yenye Uchokozi – Masuala ya Ulimwenguni

Pamoja dhidi ya mabadiliko ya mamlaka: Global Kusini inaunda ushirikiano wa kimkakati. Credit: Picha Alliance / ZUMAPRESS.com | Ofisi ya Waziri Mkuu/Maelezo ya Habari Maoni na Alexandra Sitenkoberlin, Ujerumani) Jumatano, Januari 28, 2026 Inter Press Service BERLIN, Ujerumani, Januari 28 (IPS) – Mashambulizi ya Maŕekani dhidi ya Venezuela yanaashiria chanzo muhimu katika mpangilio wa dunia….

Read More

Wabunge Wathibitisha Wenyeviti Wapya wa Bunge

Last updated Jan 28, 2026 Leo, Januari 28, 2026, Bungeni Jijini Dodoma, wabunge wa Tanzania wamewathibitisha Cecilia Paresso, Najma Giga, na Deodatus Mwanyika kuwa Wenyeviti wapya wa Bunge. Cecilia Paresso ni Mbunge wa Viti Maalum na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo. Najma Murtaza Giga ni Mbunge…

Read More

Mechi za Ushindi Hizi Hapa na Meridianbet

LIGI ya Mabingwa Ulaya (UEFA) itaendelea leo hii ambapo mechi zote za mwisho kwenye msimamo zitapigwa huku nafasi ya wewe kuondoka na mkwanja mrefu ikiwa kubwa. Je beti yako unaiweka kwa nani leo? AS Monaco atamenyana dhidi ya Juventus ambao wapo nafasi ya 15 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 21 hadi sasa. Kila timu…

Read More