Barker aibuka na mtoko mpya Simba
UMEIKATIA tamaa Simba katika harakati za kufuzu robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu? Kama ni hivyo, basi msikie kocha mkuu Steve Barker alichosema kuelekea mechi ya Jumapili hii dhidi ya Esperance na zile zingine zilizobaki katika kundi D la Ligi ya Mabingwa Afrika. …