Makonda aipongeza Benki ya CRDB msaada wa Pikipiki kwa Jeshi la Polisi kuimarisha Usalama kwa Watalii Jijini arusha

Arusha 16 Mei 2024 – Serikali imeipongeza Benki ya CRDB kwa kutoa msaada wa pikipiki kwa Jeshi la Polisi mkoani Arusha ili kuimarisha doria zitakazoongeza usalama kwa watalii wanaokuja nchini. Pongezi hizo zimetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda alipopokea pikipiki hizo zenye thamani ya Shilingi Milioni 50 kwenye hafla fupi ya makabidhiano…

Read More

MAKALLA :UCHAGUZI HAUWEZI KUSOGEZWA ,CHADEMA JIPANGENI 2030

KILOSA: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema uchaguzi hauwezi kusogezwa  mbele kwani wamejipanga kushiriki uchaguzi na hawawezi kuwa sehemu ya kuvunja katiba, hivyo Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wajipange 2030. Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla ameeleza hayo leo Mei 15 wakati akizungumza na…

Read More

Trump asimulia alivyookolewa, asema alipoteza viatu

New York. Mgombea urais wa Chama cha Republican, Donald Trump saa chache tangu ashambuliwe kwa risasi akiwa anahutubia, amesimulia namna alivyopoteza viatu wakati akiokolewa. Tovuti ya CNN imeripoti kuwa viatu hivyo vilipotea wakati anatolewa jukwaani na maofisa wa ‘Secret Service’ Trump ambaye ni Rais wa zamani wa Taifa hilo, alishambuliwa akiwa anahutubia Jumamosi Julai 13,…

Read More

Kuongezeka kwa ghafla kwa mvutano wa biashara hutuma mshtuko kupitia uchumi wa ulimwengu – maswala ya ulimwengu

Shindano za bei zinazoendeshwa na ushuru zinaongeza hatari za mfumko, na kuacha uchumi unaotegemea biashara kuwa hatarini. Ushuru wa juu na sera za biashara zinazobadilika zinatishia kuvuruga minyororo ya usambazaji wa ulimwengu, kuongeza gharama za uzalishaji, na kuchelewesha maamuzi muhimu ya uwekezaji – yote haya kudhoofisha matarajio ya ukuaji wa ulimwengu. Kupungua kwa jumla Kushuka…

Read More

Boti za kisasa zaongeza uvuvi wa samaki Ziwa Victoria

Mwanza. Uzalishaji wa samaki kwa baadhi ya wavuvi wa Ziwa Victoria umeongezeka kutoka kilo 20 kufikia kilo 300 kwa wiki, baada ya kuanza kutumia boti za kisasa walizokopeshwa na Serikali. Hiyo imefanya uzalishaji huo kuwaingizia Sh3 milioni kutoka Sh200,000 baada ya kuuza kilo moja ya samaki  kwa Sh10,000. Januari 30, 2024 Rais Samia Suluhu Hassan…

Read More