
WATUMISHI WIZARA YA NISHATI WAPATIWA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.
……………….. 📌 Ni baada ya Dkt.Biteko kuwakabidhi majiko yanayotumia umeme kidogo (Induction Cookers). 📌 Yaelezwa kuwa majiko hayo yanatumia umeme kidogo kwa gharama ndogo Watumishi wa Wizara ya Nishati leo wamepata elimu ya matumizi bora na sahihi ya majiko yanayotumia umeme kidogo ( Induction cookers) baada ya kukabidhiwa majiko hayo na Naibu Waziri Mkuu na…