MIKAKATI ZAIDI YATAJWA KAMPENI YA MAMA SAMIA

    Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Dkt. Pindi Chana akizungumza na wananchi kwenye banda la kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia kwenye maonesho ya nanenane viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma. Na Mwandishi Wetu, DODOMA WAZIRI wa Katiba na Sheria, Balozi Dkt. Pindi Chana ametaja mikakati mbalimbali ya kufikisha huduma za kisheria…

Read More

Jalada waliokuwa vigogo wa TPA lipo Takukuru kwa uchunguzi

Dar es Salaam. Serikali imesema bado wanaendelea na upelelezi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA),  Madeni Kipande (66) na wenzake watano. Pia, jalada la kesi hiyo lipo Takukuru kwa ajili ya kupitiwa kwa sababu ilibainika kuwa kuna vitu bado havijakamilika. Wakili wa Serikali, Winiwa Kasala ameieleza…

Read More

Matumizi ya nishati safi sio anasa, ladha ipo

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema matumizi ya nishati safi kwa kupikia ni mahitaji ya lazima sio anasa hivyo utamaduni wa Watanzania kudhani chakula kilichopikwa kwenye gesi kwamba hakina ladha sio kweli. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akizindua rasmi mkakati wa kitaifa wa matumizi ya nishati safi kwa kupikia leo Jumatano jijini Dar es Salaam, Rais…

Read More

HIVI NI KWENDA NA WAKATI AU KUHARIBIKIWA NA WAKATI? – MWANAHARAKATI MZALENDO

Maendeleo ya sayansi na teknolojia yameleta mabadiliko makubwa katika jamii, ambapo mambo mengi yameimarika, mengine yameporomoka, na mengine yamepoteza kabisa maana yake ya awali. Swali linalojitokeza ni, je, haya mabadiliko yanaashiria kwenda na wakati au ni kuharibikiwa na wakati? Maendeleo haya yamegusa karibu kila nyanja ya maisha ya binadamu. Baadhi ya mambo yameimarika na kuboreshwa,…

Read More

Kocha Namungo FC aitumia salamu Azam

BAADA ya kupokea kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Mashujaa, kocha Mkuu wa Namungo, Juma Mgunda amesema anaamini kikosi chake kitafanya vizuri dhidi ya Azam kwenye mechi itakayochezwa Novemba 5, mwaka huu huku akiweka wazi kuwa wametibu tatizo lililokuwa likiwasumbua, hivyo hawatarudia makosa. Mechi hiyo imepangwa kuchezwa kwenye Uwanja wa Majaliwa, Ruangwa kuanzia saa 1:00…

Read More

Mfahamu mtoto anayetikisa kwa kubuni miji, asimulia alivyoanza

Kongwa. Ni kipaji, ubunifu na ndoto iliyochomoza katikati ya akili kubwa. Ndiyo, hakuna neno lingine unaloweza kulitumia unapokutana kwa mara ya kwanza au unapomwelezea mtoto Ridhiwani Asheri. Kwa wiki sasa mtoto huyu amekuwa gumzo kwenye mitandao ya kijamii nchini Tanzania baada ya kipande cha video yake kusambaa ikimuonyesha akiwa ametengeneza mji kwa kutumia miti, vipande…

Read More

Mbivu, mbichi uchaguzi mkuu wa kwanza Sudan Kusini Desemba 22

Jumapili ya Desemba 22, mwaka huu, Sudan Kusini inatarajiwa kufanya uchaguzi mkuu wa kwanza tangu nchi hiyo ilipopata uhuru wake mwaka 2011. Uchaguzi huu ulipaswa kufanyika mapema mwaka 2015, lakini kutokana na jaribio la mapinduzi na machafuko yaliyofuata, uchaguzi huo uliahirishwa. Hadi mwaka 2015, Katiba ya mpito ya mwaka 2011 ya nchi hiyo ilihitaji uchaguzi…

Read More

Bado Watatu – 35 | Mwanaspoti

Raisa alifanya kazi ya ziada kunibembeleza ninyamaze na akanipa moyo kwamba yaliyonitokea ni mitihani tu na kwamba Mungu ataniepushia balaa. Muda wa kulala ulipowadia, Raisa alinikaribisha chumbani mwake. Raisa hakuwa na mume, lakini nilipoingia chumbani mwake niliona suruali ya kiume aina ya jeans imetundikwa kwenye mlango. “Mbona kuna suruali ya kiume humu ndani?” nikamuuliza. “Nina…

Read More