TGNP YASISITIZA USAWA WA KIJINSIA KUFIKIA DIRA YA MAENDELEO 2050
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP, Clara Kalanga Akizungumza katika maadhimisho ya miaka 115 ya Siku ya Wanawake Duniani. ***** Na Mwandishi Wetu Dar es salaam. Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) umesisitiza umuhimu wa kuhakikisha wanawake wanapata haki na usawa ili kufanikisha utekelezaji wa Dira ya Maendeleo 2050, ukieleza kuwa maendeleo ya taifa hayawezi kufikiwa ikiwa…