WATUMISHI WIZARA YA NISHATI WAPATIWA ELIMU YA MATUMIZI SAHIHI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA.

……………….. 📌 Ni baada ya Dkt.Biteko kuwakabidhi  majiko yanayotumia umeme kidogo (Induction Cookers). 📌 Yaelezwa kuwa majiko hayo yanatumia umeme kidogo kwa gharama ndogo Watumishi wa Wizara ya Nishati leo wamepata  elimu ya matumizi bora na sahihi ya majiko yanayotumia umeme kidogo  ( Induction cookers) baada ya kukabidhiwa majiko hayo na Naibu Waziri Mkuu na…

Read More

WHO yatoa onyo virusi vipya homa ya nyani

Dar es Salaam. Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema virusi vya clades 1 vinavyosababisha ugonjwa wa Mpox (homa ya nyani) vinavyosambaa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) vimejibadilisha na kuibuka vingine vya clade 1b ambavyo husababisha ugonjwa mkali zaidi. WHO imesema kwa miaka mingi clade 1 vimekuwa vikisambaa nchini DRC, huku clade 2 vilisababisha…

Read More

Camara anyoosha mikono, akubali yaishe

SIMBA jana ilikuwa bize na kilele cha tamasha la Simba Day linalotambulisha uzi na kikosi kipya, lakini kuna mmoja wa mastaa waliotakiwa kutambulishwa mbele ya mashabiki kuwa kipa mpya, Yakoub Seleman, huku Moussa Camara akiimpa maua yake mapema na kumkaribisha. Yakoub aliyesajiliwa Simba…

Read More

Mafundi Rangi, ujenzi Kilimanjaro, waungana kuzisaka fursa za kiuchumi

Moshi. Mafundi rangi na ujenzi mkoani Kilimanjaro wameamua kujitafuta ili kukabiliana na changamoto za kitaaluma, kimazingira, na kuhakikisha wanafanya kazi kwa kuzingatia weledi unaohusiana na shughuli zao. Mafundi hao, ambao sasa wanaunda umoja wao kupitia chama cha Mafundi Rangi na Ujenzi Mkoa wa Kilimanjaro (Chamaruki), wamekusudia kutumia fursa mbalimbali ili kujikwamua kiuchumi na kuboresha shughuli…

Read More

DK.NDUMBARO AWAPA SOMO WATANZANIA WASIIGE TAMADUNI ZA KIGENI

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro,akizungumza wakati akizindua Tamasha la tatu la Utamaduni Kitaifa kwenye uwanja wa Majimaji mjini Songea,leo Septemba 20,2024. Na Mwandishi Wetu, RUVUMA WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Damas Ndumbaro amewaasa watanzania kuzingatia miiko, mila na desturi za kitanzania na kuwarithisha watoto na vijana ili kujiepusha na…

Read More

Malale apata kianzio Ligi Kuu Bara

USHINDI wa bao 1-0 iliyopata Mbeya City dhidi ya Fountain Gate ikicheza ugenini, umempa pawa kocha wa timu hiyo, Malale Hamsini aliyesema amepata kianzio Ligi Kuu Bara inayoendelea kushika kasi ikiingia raundi ya pili kwa sasa. Mbeya City iliyorejea Ligi Kuu baada ya kupanda daraja ilipata ushindi huo kwa bao la penalti iliyopigwa na Habib…

Read More

ATCL na Kenya Airways watakavyoshirikiana

Dar es Salaam. Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) na Shirika la Ndege la Kenya (Kenya Airways) wameingia ushirikiano wa kimkakati unaolenga kuimarisha uwezo wa kitaasisi, kuboresha viwango vya uendeshaji na kuongeza ushindani katika soko la usafiri wa anga la kikanda na kimataifa. Mashirika hayo mawili yamesaini Makubaliano ya Maelewano (MoU) yanayolenga kujenga uwezo wa…

Read More

Diarra dhidi ya Lakred | Mwanaspoti

WAKATI homa ya pambano la Ligi Kuu Bara kati ya vinara wa ligi, Yanga dhidi ya Simba likizidi kupanda kutakuwa na vita nyingine mpya kwenye eneo la makipa wa timu hizo mbili. Hapana shaka Yanga golini nafasi kubwa itakuwa kwa kipa namba moja, Djigui Diarra ambaye sio mgeni wa mechi hizo akicheza mechi yake ya…

Read More