CECAFA Kombe Cup 2025 utamu uko hapa

MICHUANO ya Kombe la Cecafa Kagame imeendelea kunoga huku baadhi ya wachezaji waliotwaa tuzo ya mchezaji bora wa mechi wakifunguka kuhusu ugumu wa michuano hiyo ambayo imefika hatua ya nusu fainali, itakayoanza kuchezwa kesho, Ijumaa. APR ya Rwanda, Singida BS na KMC za Tanzania ndizo timu za kwanza kutinga hatua hiyo kabla ya mechi za…

Read More

Ibenge: Subirini mechi ya kwanza muone!

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema timu yake bado inaendelea kujifua kwa ushindani na itakuwa tayari siku ya mechi ya kwanza ya michuano iliyo mbele yao. Timu inatarajia kuvaana na Al Merrikh Bentiu ya Sudan Kusini katika Kombe la Shirikisho Afrika mechi ambayo imepangwa kuchezwa Septemba 19 na marudiano ni Septemba 26 katika…

Read More

TAKUKURU Temeke llivyochukulia Hatua Kero ya Wananchi Buza

Bukos Richard February 27, 2026 0 Comments Dar es Salaam: 27 Machi 2026, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoa wa TAKUKURU wa Temeke jana umetoa taarifa kufuatia kero ya Wananchi wa Buza inayosambaa mitandaoni.Akizungumza kwenye mkutano na wanahabari jana Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa TAKUKURU Temeke, Holle Makungu amesema kero ya wananchi…

Read More

Wawili Yanga waomba kumrithi Fadlu Simba

MIONGONI mwa makocha wanaotajwa kutuma maombi ya kazi pale Simba SC kurithi mikoba ya Fadlu Davids aliyetimkia Raja Casablanca ya Morocco siku chache zilizopita, ni pamoja na Patrick Aussems na Didier Gomes Da Rosa ambao waliwahi kukalia kiti hicho, sambamba na waliowahi kuifundisha Yanga, Luc Eymael na Miguel Gamondi.. Kwa sasa viongozi wa Simba wapo…

Read More

Kanisa Anglikana Mbagala kufungisha ndoa za pamoja

Dar es Salaam. Kanisa Anglikana la Mtakatifu Msalaba Mbagala jijini Dar es Salaam, limetangaza mpango wa kufungisha ndoa za pamoja Aprili 1, 2026 kwa waumini wanaoishi na wenza wao bila kufunga ndoa takatifu. Mpango huo umetangazwa leo Machi 1, 2026 na Mchungaji wa Kanisa Anglikana Mtakatifu Msalaba Mbagala, Rogers Mshuza wakati wa mahubiri yake ya…

Read More

Mkuu wa Umoja wa Mataifa azindua ombi kuu la kibinadamu kutoka Lebanon iliyokumbwa na vita – Masuala ya Ulimwenguni

“Niko hapa kwa ziara ya mshikamano na watu wa Lebanon,” alisema alisema. “Mshikamano wa maneno lazima uendane na mshikamano katika vitendo. Msaada huu unahitajika haraka. Ongezeko la kijeshi katika eneo lote linaleta madhara makubwa, ikiwa ni pamoja na Lebanon. Katikati ya mzozo unaoendelea wa Mashariki ya Kati, mamia ya raia wameuawa – ikiwa ni pamoja…

Read More