Rais Samia atua Korea akiambatana na mawaziri wanne

Seoul. Rais Samia Suluhu Hassan amewasili nchini Korea Kusini tayari kwa ziara ya siku sita, ambako pamoja na mambo mengine atashuhudia itiaji saini wa mikataba mbalimbali ya ushirikiano. Rais Samia amewasili jijini Seoul saa 12 jioni kwa saa za Korea (saa 6 mchana saa za Tanzania) na kesho Juni mosi, 2024 ataanza ziara ya kitaifa…

Read More

Hii hapa njia ya Twiga Stars WAFCON

TIMU ya taifa ya soka ya wanawake, Twiga Stars leo inahitaji ushindi wa pointi tatu dhidi ya Ghana ili kufuzu robo fainali ya Fainali ya Mataifa ya Afrika (WAFCON) yanayoendelea Morocco. Mechi hiyo ya mwisho ya Kundi C itapigwa kwenye Uwanja wa Manispaa ya Berkane na Tanzania inahitaji ushindi tu ili ifuzu na kuandika historia…

Read More

Saadun, awataja Fei Toto, Sillah

MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Nassor Saadun amesema anaamini kuwa msimu ujao wa soka unaweza kuwa na neema zaidi kwake kuliko huu unaomalizika, huku akiwataja viungo washambuliaji, Feisal Salum ‘Fei Toto’ na Gibril Sillah kuwa ni sehemu ya mafanikio aliyonayo. Saadun ambaye amekiri kuwa msimu huu ndio bora kwake tangu ameanza kucheza soka kutokana na mafanikio…

Read More

Sababu Jeshi la Polisi kutajwa 10 bora Afrika

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi la Tanzania limetajwa kuwa miongoni mwa majeshi bora 10 barani Afrika kwa kuwa na weledi na kuheshimu haki za wananchi, utafiti wa Afrobarometer umebainisha. Katika kigezo hicho, Burkina Faso imeongoza ikifuatiwa na Morocco, Niger, Benin, Mali, Senegal, Tanzania, Madagascar, Mauritania na Mauritius. Mbali na kigezo hicho, pia Tanzania imeongoza…

Read More

RAIS SAMIA AZUNGUMZA NA MMILIKI WA MANCHESTER UNITED

………………. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mmiliki wa Klabu ya Mpira wa Miguu ya Manchester United ya Uingereza Sir Jim Ratcliffe, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 11 Aprili, 2025. Katika mazungumzo yao Rais Dkt. Samia amemshukuru Sir Jim Ratcliffe kupitia Taasisi yake ya…

Read More

MAKAMU WA RAIS AKAGUA MIRADI MBALIMBALI KASUMO – BUHIGWE

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesisitiza umuhimu wa wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii kuwasaidia wananchi kwa kutoa elimu kuepukana na maradhi mbalimbali. Makamu wa Rais ametoa wito huo mara baada ya kutembelea Zahanati ya Kijiji cha Kasumo akiwa wilayani Buhigwe mkoani Kigoma. Amesema maradhi yanayotajwa kuwasumbua…

Read More

Lilivyoundwa jimbo la Kanisa Katoliki Bagamoyo

Dar es Salaam. Papa Francis Machi 7, 2025 aliunda Jimbo Katoliki la Bagamoyo, nchini Tanzania, akimteua Askofu Stephano Musomba kuwa wa kwanza kuliongoza. Kabla ya uteuzi huo, Musomba alikuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, uteuzi uliofanywa na Papa Francis Julai 7, 2021 na aliwekwa wakfu kuwa askofu Septemba 21, 2021. Padri…

Read More