Askofu Laizer asimikwa kuwa msaidizi wa Askofu KKAM

Arusha. Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki (KKAM) limemsimika na kumuingiza kazini Mchungaji Jeremia Laizer, kuwa msaidizi wa Askofu Mkuu Dayosisi ya Arusha. Mchungaji Laizer aliyekuwa Mkuu wa Jimbo la Magharibi amesimikwa leo Juni 30, 2025 katika Kanisa la KKAM Dayosisi ya Arusha Jimbo la Magharibi katika Parokia ya Mto wa Mbu. Akimsimika Mchungaji Laizer, Askofu…

Read More

Tamasha la Filamu za Beijing Afrika lazinduliwa i Dar

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Msimu wa Tamthiliya na Filamu za Televisheni za Beijing Afrika umezinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam, likiadhimisha miaka 10 ya ushirikiano thabiti kati ya China na Afrika kupitia sekta ya filamu. Tamasha hilo, lililoongozwa na Idara ya Televisheni na Redio ya Beijing, linahimiza urafiki na mawasiliano ya kiutamaduni kati ya…

Read More

Takukuru Geita yabaini kasoro kwenye miradi 1,800

Geita. Miradi 1,800 yenye thamani ya Sh7 bilioni iliyofuatiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Geita mwaka 2022/23 imebainika kuwa na kasoro zikiwamo za usanifu, ununuzi na baadhi ya fedha za miradi kuhamishiwa kwenye matumizi yasiyohusiana na mradi husika. Hayo yamebainishwa leo Aprili 18, 2024 kwenye kongamano maalumu linaloendelea mjini Geita…

Read More

Baresi awaonya mastaa Kagame Cup 2025

WAKATI bingwa wa Ligi Kuu Zanzibar, Mlandege akiwa na kibarua kizito kesho Jumamosi cha kucheza dhidi ya APR ya Rwanda katika michuano ya Kagame, kocha wa kikosi hicho, Abdallah Mohamed ‘Baresi’ amewataka wachezaji kutofanya makosa kama ilivyokuwa dhidi ya KMC. Baresi alisema mechi ya kwanza dhidi ya KMC waliyopoteza kwa mabao 3-2 imetoa somo kwa…

Read More

Zombie Apocalypse Yaja Na Ushindi Juu Ya Ushindi. – Global Publishers

Kila mchezaji wa kasino mtandaoni anajua kuwa mzunguko mmoja ndani ya mchezo unaweza kubadilisha historia ya kila kitu. Lakini Meridianbet imeamua kuchukua msisimko huo hatua moja mbele na kuunda tukio linalohusisha ushindi, burudani, na changamoto kwa wakati mmoja, ni kupitia promosheni ya Happy Hour Zombie Apocalypse Free Spins. Kila Jumanne na Alhamisi, mitandao ya Meridianbet…

Read More

DKT.MPANGO ATEMBELEA BANDA LA EWURA

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Isdor Mpango (kulia) akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi wa Umeme kutoka EWURA, Mhandisi Aurea Bigirwamungu (kushoto) akimueleza kuhusu shughuli za EWURA, wakati wa Maonesho ya Kongamano la 10 la Jotoardhi, linaloendelea katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), Dar es Salaam, leo 23/10/2024….

Read More