Vurugu viwanjani mambo ya kishamba

POLE kwa mashabiki wote ambao walikutana na kadhia ya kupigwa, kuchaniwa jezi au kufanyiwa kitendo chochote kisicho cha kiungwana kwenye mechi ya Simba dhidi ya RS Berkane ya Morocco, Jumapili iliyopita kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar. Sio vitendo vya kuviunga mkono na ni vya ovyo sana kwani vinachafua taswira ya nchi yetu kiujumla huku…

Read More

Kutana na Wanawake Vijana Waliokamatwa kwa Kupambana na Ufisadi nchini Uganda – Masuala ya Ulimwenguni

Kemitoma Siperia Mollie, Praise Aloikin, na Kobusingye Norah walifikishwa mahakamani mapema mwezi wa Septemba. Walishtakiwa kwa kero ya kawaida. Credit: Wambi Michael/IPS by Wambi Michael (kampala) Alhamisi, Oktoba 24, 2024 Inter Press Service KAMPALA, Oktoba 24 (IPS) – Hadi hivi majuzi, Margaret Natabi hangeweza kamwe kuwa na ndoto ya kuchukua vita yake ya kupambana na…

Read More

Mambo moto Kriketi ya Dunia U19

TIMU za kriketi kutoka mataifa manane ya Afrika zinaanza kuwasili jijini Dar es Salaam leo kwa ajili ya michezo ya kufuzu ushiriki wa Kombe la Dunia kwa vijana wa umri wa chini ya miaka 19. Moja ya mataifa hayo ni Nigeria ambayo wataanza kampeni ya kusaka tiketi kwa kucheza na wenyeji Tanzania katika mechi itakayopigwa…

Read More

Diwani azikwa aacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10

Geita. Mamia ya wananchi wameshiriki maziko ya aliyekuwa Diwani wa Kamena Halmashauri ya mji wa Geita, Peter Kulwa (67) aliyefariki dunia Juni 13, 2024 na kuacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10. Kwa mujibu wa risala iliyosomwa na mjukuu wake, Makutano Sadick, diwani huyo alianza kuugua kisukari Mei 2002 na kupatiwa matibabu katika hospitali…

Read More

Joshua Ibrahim ajipanga upyaa Fountain

MSHAMBULIAJI mpya wa Fountain Gate, Joshua Ibrahim amesema baada ya kukamilisha uhamisho wa kujiunga na timu hiyo kwa mkataba wa mwaka mmoja, atahakikisha anapambana kwa lengo la kuhakikisha anaendelea pia kuaminika na benchi la ufundi. Akizungumza na Mwanaspoti, Joshua alisema licha ya ofa nyingi alizokuwa nazo ila amefikia uamuzi wa kujiunga na Fountain Gate, baada…

Read More