Mbowe, Lissu warejeshwa Dar kwa ulinzi wa polisi

Dar es Salaam.  Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimethibitisha kuachiwa huru na kurudishwa jijini Dar es Salaam viongozi wake, akiwamo mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe kwa ulinzi wa polisi. Mbali na Mbowe viongozi wengine waliorudishwa Dar es Salaam ni makamu mwenyekiti wa chama hicho (bara), Tundu Lissu aliyefika nyumbani kwake Tegeta asubuhi kwa…

Read More

H Money atupa jiwe ‘Tic Tik’ akiwa na Reekado Banks

  PRODYUZA wa muziki wa kimataifa Harmony Samuels a.k.a H Money, ameachia wimbo wake mpya uitwao  “Tic Tik” akiwa amemshirikisha  gwiji kutoka Nigeria, Reekado Banks. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Katika wimbo huo wenye mikito ya Kinigeria, ladha tamu kutoka kwa H-Money akiungana na Reekado, unatengeneza burudani ya aina yake ya mtindo wa Afrobeats uliotayarishwa kwa…

Read More

Kocha Yanga atua Ismaily ya Misri

BAADA ya kuipa Yanga mataji matatu aliyekuwa kocha wa Yanga, Miloud Hamdi atambulishwa katika klabu ya Ismaily ya Misri kwa mkataba wa mwaka mmoja. Hamdi alijiunga na Yanga katikati ya msimu ulippita  akitokea Singida Black Stars akichukua mikoba ya Sead Ramovic na kuiongoza timu hiyo kwenye mechi 12 za ligi. Kocha huyo anajiunga na Ismaily…

Read More

Baresi aukataa unyonge Bara | Mwanaspoti

MASHUJAA jana jioni ilikuwa uwanjani mjini Kigoma kuvaana na Pamba Jiji, huku timu hiyo ikiwa na rekodi ya kucheza dakika 720 bila ushindi, lakini kocha Mohamed Abdallah ‘Baresi’ ametamba kwamba hataki unyonge tena na amejipanga kuisapraizi Yanga wanaokutana nao Kigoma. Mashujaa inayocheza Ligi Kuu kwa msimu wa pili sasa baada ya kupanda msimu uliopita, imecheza…

Read More

ALAT yapewa mbinu kuleta mabadiliko kwa jamii

Unguja. Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT) imetakiwa kujipambanua kwa kutetea masilahi ya umma ili kuleta mabadiliko ya kweli kwenye jamii, jambo ambalo limetajwa kuwa litaifanya iweze kuheshimika. Hayo yameelezwa leo Aprili 24, 2024 na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalumu za SMZ, Masoud Ali Mohammed…

Read More

Eneo la soko Kurasini lauzwa kinyemela

Dar es Salaam. Soko la Kurasini lililopo Mtaa wa Shimo la Udongo, wilayani Temeke limeuzwa, mwananchi limefahamishwa. Soko hilo lenye eneo la mita za mraba 400 awali ilikanushwa kuuzwa kwa mwekezaji na uongozi wa wafanyabiashara sokoni hapo. Mwananchi limebaini vibanda vilivyokuwapo sokoni hapo vimebomolewa na kumezungushwa uzio wa mabati. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya…

Read More

Watumiaji wa mitandao wanavyokoswa koswa kutapeliwa

Dar es Salaam. Baadhi ya watumiaji wa mitandao ya kijamii ya X, Facebook na Instagram wamesimulia namna wanavyopitia kadhia ya majaribio ya kutapeliwa na watu wasiojulikana. Wakizungumza na Mwananchi kwa nyakati tofauti wamesema kupitia mitandao hiyo kuna wimbi la watu wanaowashawishi kuingia katika biashara mtandao ya pesa zijulikanazo kama Cryptocurrency pamoja na utapeli mwingine. Jamal…

Read More