Wachimbaji wa Wanawake wa Tanzanias wanaochimba usawa katika tasnia inayotawaliwa na wanaume-maswala ya ulimwengu

Wachimbaji wa kike wanapigania kutambuliwa, kupigana na vizuizi vya umiliki wa ardhi, ukosefu wa fedha, na ubaguzi katika sekta ambayo wanaume wanashikilia madaraka. Mikopo: Kizito Makoye/IPS na Kizito Makoye (Dar es salaam) Jumanne, Aprili 29, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Dar es Salaam, Aprili 29 (IPS) – Chini ya jua kali la Tanzania, Neema…

Read More

Chama la Wana lapiga mkwara Championship

STAND United ‘Chama la Wana’ imesema dakika 90 iliyoiangalia Yanga imeona ugumu ulipo ikieleza kuwa licha ya kuiheshimu lakini haitaingia uwanjani kinyonge. Timu hiyo iliyowahi kutamba Ligi Kuu kabla ya kushuka misimu mitano nyuma inaikabili Yanga keshokutwa, Jumanne katika mchezo wa robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho. Chama la Wana kwa sasa lipo…

Read More

George Mpole anasikilizia simu tu

NYOTA wa zamani wa Geita Gold na Pamba Jiji aliyewahi kucheza soka la kulipwa nje ya nchi, George Mpole amezungumzia ukimya wa muda mrefu alionao kwa kufichua alikuwa akifanya majaribio na klabu ya Siwelele F.C iliyopo Ligi Kuu ya Afrika Kusini. Mpole amesema majaribio hayo yalikuwa ya takriban wiki tatu wakati ligi ya nchi hiyo…

Read More

Mwaka 2024 ulivyopaisha utoaji huduma za afya Tanzania

Dar es Salaam. Hali ya utoaji wa huduma za afya nchini kwa mwaka 2024 imeendelea kuboreka kwa kiasi kikubwa, ingawa changamoto kadhaa bado zipo.Serikali kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo, imewekeza katika kuboresha miundombinu, upatikanaji wa dawa na kuongeza rasilimali watu kwenye sekta ya afya.Serikali imeendelea kujenga na kukarabati hospitali za wilaya, vituo vya afya…

Read More

Baleke, Yanga jambo lao lipo hivi

HIZI huenda zikawa taarifa za kushtukiza kwa mashabiki wa soka nchini, kwamba baada ya Yanga kumbeba Clatous Chama kutoka Simba na Prince Dube aliyekuwa Azam, sasa inafanya mipango ya kumshusha kikosini, Jean Baleke aliyewahi kuwika na Wekundu wa Msimbazi hata miezi sita tu iliyopita. Ndio, hivi unavyosoma Mwanaspoti ni kwamba kuna uwezekano wa asilimia 99…

Read More

Mgombea urais NCCR kujulikana Aprili 30

Dar es Salaam. Hekaheka za uchaguzi mkuu zinaendelea kushika kasi huku vyama vya siasa vikiendelea na mchakato wa kuwapata wagombea wa nafasi ya urais. Kwa upande wa Chama cha NCCR Mageuzi, maandalizi yanaendelea wakati Chama cha Mapinduzi (CCM) tayari kimemaliza mchakato wake kwa kumpitisha Rais, Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wake wa urais katika Mkutano…

Read More