Askofu Rugambwa azikwa Bukoba, huu hapa wasifu wake
Mwanza. Mwili wa Askofu Novatus Rugambwa umezikwa leo, Septemba 29, 2025, katika Kanisa Kuu la Bikira Maria Mama Mwenye Huruma, Bukoba mkoani Kagera. Hayati Rugambwa amezikwa jirani na Mwadhama Laurean Kardinali Rugambwa, Kardinali wa kwanza barani Afrika na aliyemrithisha jina lake pamoja na marehemu Askofu Nestor Timanywa, aliyemlea na kumpa daraja la upadri. Misa Takatifu…