Askofu Rugambwa azikwa Bukoba, huu hapa wasifu wake

Mwanza. Mwili wa Askofu Novatus Rugambwa umezikwa leo, Septemba 29, 2025, katika Kanisa Kuu la Bikira Maria Mama Mwenye Huruma, Bukoba mkoani Kagera. Hayati Rugambwa amezikwa jirani na Mwadhama Laurean Kardinali Rugambwa, Kardinali wa kwanza barani Afrika na aliyemrithisha jina lake pamoja na marehemu Askofu Nestor Timanywa, aliyemlea na kumpa daraja la upadri. Misa Takatifu…

Read More

TPDC Yajipanga Kupanua Vituo vya CNG Kukabiliana na Uhitaji

SHIRIKA la Petroli Tanzania (TPDC) limetoa ufafanuzi juu changamoto iliyojitokeza hivi karibuni ya kuwepo kwa msongamano wa magari kwenye vituo vya kujazia gesi ya CNG vilivyosababishwa na changamoto ya hitilafu ya umeme kwenye kituo cha Uwanja wa ndege Akizungumza na waandishi wa habari leo Octoba 3,2024 Kaimu Mkurugenzi wa biashara ya petroli na gesi Emmanuel…

Read More

Vifo vya wanasiasa vilivyotikisa mwaka 2025

Dar es Salaam. Mwaka 2025 umebeba simanzi katika historia ya siasa za Tanzania, baada ya Taifa kupoteza viongozi na wanasiasa mashuhuri waliowahi kulitumikia kwa muda mrefu, ikiwamo kutoa mchango katika maendeleo ya nchi. Katika nyakati tofauti ndani ya mwaka huu, Watanzania walikumbwa na huzuni kufuatia vifo vya viongozi hao, akiwemo Cleopa Msuya, Job Ndugai, Profesa…

Read More

Serikali kukamilisha mwongozo wa watumishi wanaojitolea

Dodoma. Serikali imesema iko katika hatua za mwisho kukamilisha mwongozo utakaoangalia jinsi ya kuwaingiza katika mfumo watumishi wanaojitolea nchini. Akizungumza bungeni leo, Jumatano, Januari 29, 2025, Naibu Waziri katika Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu alisema mwongozo huo utakuwa na mchakato wa kuwaingiza watumishi hao katika mfumo rasmi,…

Read More

Serikali yatoa muda wa mwisho kusajili vituo vya malezi ya watoto mchana

Shinyanga. Mkoa wa Shinyanga una jumla ya vituo 103 vya kulelea watoto wadogo mchana, ambapo ni vituo 51 pekee ndivyo vilivyosajiliwa rasmi. Hali hiyo imemlazimu Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga, David Lyamongi, kuwataka wamiliki wa vituo vilivyosalia kuhakikisha wanasajili vituo vyao haraka iwezekanavyo. Lyamongi amesema kutosajiliwa kwa vituo hivyo kunakiuka sheria na kanuni…

Read More

Kilio zaidi kwa walioharibiwa mali zao kwenye vurugu

Dar es Salaam. Huenda baadhi ya wamiliki wa mali zilizoharibiwa wakati wa maandamano wasipate fidia kutoka kampuni za bima baada ya kubainika kuwa, sera za kawaida za bima hazijumuishi matukio yanayosababishwa na shughuli za kisiasa. Mali hizo zilibaribiwa wakati wa maandamano yaliyofanyika Oktoba 29 mwaka huu yakilenga kupinga uchaguzi mkuu uliokuwa ukifanyika. Katika maandamano hayo,…

Read More

CP. WAKULYAMBA AWATAKA MAOFISA WA NCAA KUWA WAADILIFU.

********* Na Sixmund Begashe,Karatu Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii anayeshughulikia Uhifadhi, Kamishna wa Polisi (CP) Benedict Wakulyamba, amewavisha vyeo Maofisa 22 na Askari watatu wa Jeshi la Uhifadhi la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) waliokamilisha mafunzo ya mabadiliko kutoka mfumo wa kiraia kwenda kijeshi. Akizungumza katika hafla iliyofanyika Kituo cha Mafunzo…

Read More

Ajali yaua watu wawili wakielekea harusini Handeni

Watu wawili Ali Ramadhani (20) na Mwanahamisi Mbelwa (40) wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha bodaboda na lori la mafuta eneo la Kwediyamba, Halmashauri ya Mji Handeni, jana Desemba 11, 2024. Kwa mujibu wa mashuhuda, walieleza kuwa ajali hiyo ilitokea wakati dereva wa bodaboda akijaribu kulipita lori kisha kuteleza na kuingia uvunguni mwa…

Read More