Bado Watatu – 33 | Mwanaspoti

HAKUMALIZA sentensi yake akaninyooshea mkono wake na kukikunjua kiganja alichokuwa amekifumba. Akanionyesha kitu alichokuwa amekishika.Kilikuwa funguo ya gari la Shefa!“Hizi funguo ni za gari la Shefa na nimezikuta ndani ya pochi yako humu chumbani.”Mshituko nilioupata ulinifanya nitwete kama niliyekuwa nafukuzwa. Kumbe mume wangu aliichukua ile pochi na kuifungua, ndiyo maana niliikuta kitandani wakati mimi mwenyewe…

Read More

Maajabu ya kupiga mluzi kiafya

Dar es Salaam. Mara nyingi kupiga mluzi huchukuliwa kama ishara ya mtu kuchoka, kutojali au hata burudani ya muda. Hata hivyo, wataalamu wa afya wanasema tendo hili lina faida nyingi kwa mwili wa binadamu, hususani katika kuboresha mfumo wa upumuaji, kuimarisha mzunguko wa damu na kuongeza ustawi wa akili. Kwa mujibu wa wataalamu, kupiga mluzi…

Read More

Magori ametoa kauli ya kiuongozi Simba

CRESCENTIUS Magori juzi alitoa kauli ambayo hapa kijiweni tunaamini ndiyo inapaswa kutolewa na kiongozi pindi timu inapopoteza mechi kama ya Jumanne wiki hii dhidi ya Yanga. Amewataka Wanasimba kuwa na utulivu wa hali ya juu katika kipindi hiki ambacho imetoka kupoteza mechi ya sita mfululizo dhidi ya Yanga na katika mechi hiyo ilifungwa bao 1-0….

Read More

Kipa Yanga atimkia Mwanza | Mwanaspoti

KLABU ya Alliance Girls inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), imedaiwa ipo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa kipa wa zamani wa Yanga Princess, Husna Mtunda. Kipa huyo aliitumikia Yanga Princess kwa misimu miwili, lakini hakupata nafasi ya kuanza kikosi cha kwanza mbele ya makipa Mghana Safiatu Salifu na Mnigeria Rita Akarekor kwa sasa…

Read More

Mtego nusu fainali Ligi ya KIkapu Dar

MACHO na masikio ni kwa miamba minne wa Ligi ya Kikapu Dar es Salaam (BDL) na zinasubiriwa mechi za kuamua timu zitakazotinga fainali, huku Dar City ikimenyana na Stein Warriors, huku Pazi ikikipiga na JKT kwa wanaume na kwa wanawake JKT Stars itacheza DB Lioness, huku DB Troncatti ikicheza na Jeshi Stars. Nusu fainali hiyo…

Read More

Simchimba, Raizin kuna kitu Mtibwa Sugar

NYOTA wa Mtibwa Sugar, Raizin Hafidh amesema kucheza timu moja na mshambuliaji mwenzake, Andrew Simchimba ni jambo nzuri litakaloisaidia kikosi hicho kufanya vizuri zaidi kwa msimu wa 2025-2026 kutokana na kile walichokifanya msimu ulipita. Kauli ya Raizin inajiri baada ya Simchimba aliyejiunga na Singida Black Stars katika dirisha kubwa la usajili akitokea Geita Gold kutolewa…

Read More

TBS KUTUMIA BIL. 36 KUJENGA MAABARA ZA KISASA DODOMA, MWANZA

::::::::: Serikali kupitia Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetenga kiasi cha Sh. bilioni 36.8 kwa ajili ya ujenzi wa maabara za kisasa katika mikoa ya Dodoma na Mwanza, ikiwa ni jitihada za kusogeza huduma karibu na wananchi na kupunguza gharama za upimaji wa sampuli. Akizungumza jana jijini Dodoma katika kikao kazi kilichowakutanisha wahariri wa vyombo…

Read More

Zubery Katwila ala kiapo Geita Gold

KOCHA wa Geita Gold, Zubery Katwila, amesema kipaumbele chake cha kwanza ni kuhakikisha anaipambania timu hiyo kurejea tena Ligi Kuu, baada ya kushindwa kutimiza malengo hayo msimu uliopita, licha ya kucheza pia mechi za mtoano ‘Play-Off’. Katwila aliyetamba na timu mbalimbali zikiwemo, Ihefu ambayo kwa sasa ni Singida Black Stars na Mtibwa Sugar, amejiunga na…

Read More