Mechi za Ushindi Hizi Hapa na Meridianbet

LIGI ya Mabingwa Ulaya (UEFA) itaendelea leo hii ambapo mechi zote za mwisho kwenye msimamo zitapigwa huku nafasi ya wewe kuondoka na mkwanja mrefu ikiwa kubwa. Je beti yako unaiweka kwa nani leo? AS Monaco atamenyana dhidi ya Juventus ambao wapo nafasi ya 15 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 21 hadi sasa. Kila timu…

Read More

WILAYA YA SAME YAIBUKA MSHINDI WA TUZO YA KILIMANJARO AWARD FOR PRO-BUSINESS ENVIRONMENT.

Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro imepokea tuzo ya uongozi bora wa kukuza na kuwezesha mazingira bora ya Biashara, baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika tathmini ya mazingira ya biashara iliyofanyika mkoani humo. Tuzo hiyo, inayojulikana kama Kilimanjaro Award for Pro-Business Environment, imetolewa wakati wa kikao cha Baraza la Biashara la mkoa wa Kilimanjaro lililofanyika…

Read More

Maoni ya Wadau yakusanywa Uanzishwaji Bodi ya Wajiosayansi

-Rasimu ya Waraka wa Mapendekezo ya Baraza la Mawaziri ipo Tayari : Dkt. Kiruswa Na Wizara ya Madini, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Madini inaendelea na mchakato wa kuanzisha Bodi ya Usajili wa Wataalamu wa Jiosayansi Tanzania (Tanzania Geoscientists Registration Board – TGRB), ambapo kwa sasa ipo katika hatua ya kukusanya maoni na mapendekezo ya…

Read More

MILION 524.1 KUTUMIKA KULIPA KIFUTA JASHO NA MACHOZI

Na Saidi Lufune, Dodoma NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb.), amesema kuwa Serikali inatarajia kulipa Shilingi Milioni 524.1 kwa wananchi 1,603 wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Mkoani Mara kwa ajili ya malipo ya kifuta jasho na machozi kufuatia athari zinazotokana na wanyamapori wakali na waharibifu. Mhe. Chande amebainisha hayo…

Read More