Mwalimu aahidi Serikali yake kukomesha ugumu wa Maisha

Dar es Salaam. Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu, ameahidi kupambana na ugumu wa maisha unaolikumba Taifa, hususan mfumuko wa bei ya chakula katika Jiji la Dar es Salaam, endapo atachaguliwa kuwa Rais. Amesema Wananchi wa Jiji hilo, wanakumbwa na ugumu wa maisha unaochangiwa na kuongezeka…

Read More

Waziri Chana aagiza RITA kutoa elimu ya wosia, mirathi

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Balozi Dk.Pindi Chana ameagiza ofisi za wakala wa usajili ufilisi na udhamini (RITA) kwa kushirikiana na Ofisi za Makatibu Tawala wilaya zote za Tanzania bara kuendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa kuandika wosia kabla ya mauti ili kupunguza migogoro ambayo hutokeza mara baada ya wazazi kufariki. Anaripoti…

Read More

Unavyomlea ndivyo anavyokua, shtuka! | Mwananchi

Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo, ni usemi wa wahenga wenye tafakari lukuki. Na ukiutafakari kwa kina, hasa pale unapofikiria malezi ya mtoto tangu alipozaliwa hadi kufikia hatua ya kujitegemea, ni wazi utabaini jambo jema ama baya kwa mwanao. Nasema hivyo kwa sababu, tukiangalia tabia nzuri au mbaya ya mzazi aliyonayo, mara nyingi hurithiwa pia na mtoto…

Read More

WAZIRI MHAGAMA AZINDUA USAMBAZAJI WA RIPOTI YA UTAFITI WA VIASHIRIA NA MATOKEO YA UKIMWI 2022-2023

Na.Mwandishi Wetu -Ruvuma Waziri Afya Mheshimiwa Jenista Mhagama amezindua Usambazaji wa Ripoti ya Utafiti wa Viashiria na Matokeo ya UKIMWI 2022-2023 Mkoani Ruvuma. Akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma tarehe 29 Novemba, 2024 Waziri Mhagama alieleza mafanikio makubwa yaliyopatikana katika juhudi za kudhibiti maambukizi ya UKIMWI nchini Tanzania ambapo imeelezwa kuwa…

Read More

Alhamisi ya Kutafuta Kitoweo Imefika

Je unajua kuwa leo ndio siku nzuri ya wewe kuouna ukiwa na Meridinabte kwenye simu yako?. Mechi mbalimbali kuchezwa leo huku nafasi ya wewe kuondoka bingwa ikiwa mikononi mwako. Ligi kuu ya SAUDIA itaendelea leo hii ambapo AL Fateh atamenyana dhidi ya AL Wehda ambapo tofauti ya pointi kati yao ikiwa ni 3 pekee huku…

Read More

Kamwe: Mageti kwa Mkapa wazi kwa saa nne pekee

Kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga dhidi ya Silver, mageti yatafunguliwa saa 4:00 asubuhi na kufungwa saa 8:30 mchana. Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema sababu ya kufungua mageti mapema ni kuepuka msongamano wakati wa kuingia kutokana na kuamua kutoa fulsa kwaashabiki wa timu hiyo kuingia bure. “Tumewasiliana…

Read More

Safari ya mwisho ya Jenerali Musuguri ilivyokuwa Butiama

Butiama. David Musuguri (104), aliyekuwa mkuu wa majeshi ya ulinzi amehitimisha safari ya maisha yake hapa duniani kwa jeneza lenye mwili wake kuzikwa nyumbani kwake, Kijiji cha Butiama, wilayani Butiama, Mkoa wa Mara. Safari hiyo ya mwisho ya Jenerali Musuguri aliyezaliwa Januari 4, 1920 ameihitimisha kwa mazishi ya kijeshi yaliyokwenda sambamba na mizinga 17 kupigwa….

Read More

Sumaye: Vurugu haziwezi kuiondoa CCM madarakani

Dar es Salaam. Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amesema Chama cha Mapinduzi (CCM), hakiwezi kuondoka madarakani kwa upinzani kuchochea fujo na vurugu. Amesema ili kuiondoa CCM madarakani, kinahitajika chama cha upinzani kinachofanya siasa safi, akibainisha kutumia njia ya kutukana au vurugu, hakuwezi kuiondoa madarakani. “Hizi fujo zinachochewa na watu wa nje ambao walitamani miaka mingi…

Read More