JAJI MAHAKAMA KUU ALISHAURI BARAZA MASOKO YA MITAJI KUWA HURU ,KUTENDA HAKI KATIKA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO

Na Mwandishi Wetu,Michuzi TV JAJI wa Mahakama Kuu Dodoma Amiri Mruma amelishauri Baraza la Masoko ya Mitaji kuhakikisha kuwa linajisimamia kwa uhuru katika utendaji wake ili wananchi waweze kupata haki na kuwekeza zaidi. Ameongeza kwamba kuwa ili uchumi wa taifa ukue, ni lazima wawekezaji wahakikishiwe kuwa haki zao zinalindwa, hivyo baraza linapaswa kuwa huru bila…

Read More

Wazazi, walezi chanzo cha unyanyasaji kwa watoto

  IMEELEZWA kuwa kitendo cha wazazi na walezi kutopata muda wa kukaa na watoto wao na kutumia muda mwingi kulelewa na watoto wa kazi kumechanga kwa kiasi kikubwa kutokea kwa mmomonyoko wa maadili pamoja na vitendo vya kikatili. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma ..  (endelea). Hayo yameelezwa na mwinjilisti wa kitaifa na kimataifa Jordan Chisawino wa…

Read More

Congress yathibitisha ushindi wa Trump – DW – 07.01.2025

Kinyume na hali ilivyokuwa miaka minne iliyopita, siku ya Jumatatu (Januari 6) bunge la Marekani lilifanikisha kwa wepesi tukio hilo ambalo ni alama ya mila ya kidemokrasia kwa taifa hilo kubwa duniani bila ya mashaka yoyote. Makamu wa Rais Kamala Harris alisimamia zoezi hilo la kuhisabiwa kura za wajumbe na kisha akamtangaza rasmi aliyekuwa mpinzani wake kwenye…

Read More