Jela Miaka Mitano Kwa Kufoji Cheti Cha Kifo Cha Baba Yake Wa Kambo
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam imemuhukumu kijana Samwel Gombo kutumikia kifungo cha miaka mitano gerezani na kulipa fidia ya zaidi ya Sh. Milioni 100 baada ya kupatikana na hatia ya kughushi cheti cha kifo cha baba yake wa kambo Aidha mahakama imemuachia huru Musa Yohana aliyekuwa…