Kaseba, Mandonga kuzipiga Mikoani | Mwanaspoti

BINGWA wa zamani wa Kick Boxing wa Dunia, aliwahi pia kutamba kwenye Ngumi za Kulipwa nchini, Japhet Kaseba sambamba na Karim Mandonga ni miongoni mwa mabondi watakaozipiga katika mapambano maalumu ya hisani ya kusaidia jamii kupata Bima ya Afya. Mabondia hao na wengine watapambana mapambano hayo ya ngumi yatakayofanyika mwishoni mwa mwezi huu yakiandaliwa na…

Read More

Ulega awakomalia makandarasi wanaochelewesha miradi ya ujenzi

Lindi. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amezidi kuwa mwiba kwa wakandarasi wanaoshindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo, akisema Serikali haitaongeza hata siku moja kwa atakayeshindwa kukamilisha mradi wa ujenzi kwa sababu za uzembe. Ulega alitoa msimamo huo jana Mei 25 mkoani Lindi, akiwa kwenye ziara ya ukaguzi wa ukarabati wa miundombinu ya ujenzi katika mikoa ya…

Read More

DTB yabeba ndoo ya mabenki Dar

Timu ya Soka ya Diamond Trust Bank (DTB) imetawazwa kuwa bingwa mpya wa mashindano ya mabenki msimu huu yaliyofikia tamati usiku wa jana Agosti Mosi kwenye viwanja vya klabu ya Gymkhana, Dar es Salaam. DTB imeifunga timu ya CRDB benki bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliokuwa na upinzani mkali kwa pande zote. Hadi kipindi…

Read More

Suka Jamvi Lako la Ushindi Hapa

Jumatatu ya kwanza ya mwezi Februari imefika ambapo leo hii unaweza ukasuka jamvi lako na kubashiri mechi zote zinazoendelea huku nafasi ya kupiga mzigo ikiwa ni kubwa. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri hapa. Ligi kuu ya Uingereza EPL baada ya wikendi kuendelea na kushuhudia vipigo vingi sana, hatimaye leo hii kuna mechi kali kabisa…

Read More

LSF NA NORTH – SOUTH COOPERATION ZATEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO LONGIDO.

Longido, Arusha 08 Oktoba 2024. LSF, kwa kushirikiana na wadau wake NORTH-SOUTH COOPERATION kutoka Luxembourg, imekamilisha mradi wa miaka miwili unaojulikana kama ‘Wanawake Tunaweza,’ ambao umeleta mafanikio makubwa katika kuwawezesha wanawake na watoto wa kike kutoka jamii ya Kimasai wilayani Longido. Mradi huu, ulioanza kutekelezwa mwaka 2022, umelenga kuwawezesha wanawake na wasichana kijamii na kiuchumi…

Read More

Mvua zasababisha vifo 155, Majaliwa atoa maelekezo 14

Dar es Salaam. Mvua kubwa za El-Nino zilizoambatana na upepo mkali, mafuriko na maporomoko ya udongo katika maeneo mbalimbali nchini zimesababisha vifo vya watu 155 na wengine 236 kujeruhiwa. Hayo yameelezwa bungeni leo Aprili 25, 2024 katika taarifa ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati wa kipindi cha maswali ya papo kwa hapo kuhusu changamoto za…

Read More