Fahamu Umuhimu wa Gearbox Oil na Madhara ya Kutoibadilisha

Katika matumizi ya kila siku ya gari, wengi huzingatia kubadilisha engine oil lakini husahau kabisa gearbox oil (mafuta ya gearbox) – wakati nayo ni muhimu sana kwa afya ya gari. Ukweli ni kwamba gearbox oil ina mchango mkubwa katika utendaji mzima wa gari, na kuipuuzia kunaweza kukuingiza kwenye gharama kubwa zisizotarajiwa. Gearbox Oil ni Nini…

Read More

SERIALI KUENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KUENDELEZA SAYANSI,TEKNOLOJIA NA UBUNIFU KWA VIJANA

KATIBU Mkuu Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia Profesa Carolyne Nombo amesema kuwa Serikali itaendeleza msimamo thabiti wa kujenga mazingira wezeshi kwa sayansi, teknolojia na ubunifu wa vijana. Akizungumza leo Dar es Salaam kwa niaba ya Profesa Nombo, Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Profesa Charles Kihampa,  wakati wa Maonesho ya 15 ya…

Read More

Biashara ya chakula yatawala kwa Mkapa

ACHANA na mauzo ya jezi, biashara inayoonekana kuuzika kwa kiasi kikubwa ni vyakula mbalimbali. Ukiwatoa wale wanaouza kwenye mabanda hatua chache kidogo na Uwanja wa Mkapa, kuna walioweka meza pembezoni mwa uwanja huo uliowekewa uzuo. Kila aina ya chakula unayoijua ipo kwa Mkapa siyo chipsi na vitu vingine wala wali na ugali zipo sambusa zile…

Read More

Mwanza, Singida kuna ngoma nzito Ligi Kuu

BAADA ya hekaheka za Dabi ya Kariakoo iliyopigwa jana usiku kwenye Uwanja wa New Amaan visiwani Zanzibar, uhondo wa Ligi Kuu Bara umehamia katika miji ya Mwanza na Singida wakati mechi mbili za Ligi Kuu zikitarajiwa kupigwa leo. Simba na Yanga ziliumana juzi katika pambano la kwanza la Ligi Kuu kwa msimu huu ambapo bila…

Read More

UWT KATA YA KANGARAWE WATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE UHITAJI

Diwani wa Kata ya Makangarawe Fadhili Mboga akizungumza katika hafla ya utoaji wa msaada wa vitu mbalimbali kwa watoto wenye uhitaji kwenye shule ya msingi Yombo Dovya Manispaa ya Temeke jijini Dar es salaam  leo tar 6/3/2026 Diwani wa Viti Maalum, Farida Saumu Mkwanywe akizungumza katika hafla ya utoaji wa msaada wa vitu mbalimbali kwa watoto wenye…

Read More

Wachungaji Wamwombea Rais Trump Ikulu ya Marekani

Global Publishers March 6, 2026 0 Comments Donald Trump amefanyiwa maombi maalum na wachungaji kadhaa katika ofisi ya Oval Office, wakimuombea hekima, uimara na uwezo wa kuliongoza taifa la Marekani. Tukio hilo lilifanyika jana ambapo wachungaji hao walikusanyika ndani ya ofisi hiyo na kumzunguka rais huyo huku wakimuombea kwa pamoja. Baadhi yao walimwekea mikono wakati…

Read More